Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Unategemea nini toka kwa watu waliokubali kuitwa wanakondoo? Kondoo hawana akili unawaswaga tu wanaenda unakotaka. Ndivyo hawa wanaojiita mitume wengi wanavyofanya.

Ni kama vile uwa wanashindana kuonyesha ni nani ambaye ana kondoo wajinga kuliko mwenzake. Utakuta huyu anawavua kondoo wake wa kike chupi madhabahuni nao wanakubali, huyu anakula ugali madhabahuni anaita kondoo wake wa kiume waje wamlambe mikono.
Huyu anawanywesha dawa ya kuulia wadudu.

Ukikubali kuwa kondoo kwisha kazi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] eti kondoo hawana akili
 
dah halafu majamaa matajiri kishenzi..

hivi watoto wao nao wanasali kwenye hayo makanisa yao? na kupokea hiyo miujiza..? watoto wao wanasoma kwenye hizi shule wanazomesha wanakondoo?
Thubutu, mimi kuna mwaka nilianza sali kwa mzee wa upako, mke na watoto wake sikuwahi kuwaona, ni mara moja tu mtoto wake alipohudhuria.
Tena kuna siku kaja sijui ashazimua asubuhi akawa anamsema mke wake kuwa analeta ujinga ujinga, anasema kwanini hafanyi kama makanisa mengine sijui akina ngwajima, akasema hana ushirika na mtu kwenye business ya kanisa lake. Kanisa ni la kwake wala mkewe hausiki. Alikuwa anasema madhabahuni na mkewe hakuwepo sijui walikuwa wametibuana home.
Anasema unakaa na wajinga wenzako huko manasema sema...
 
Daah keki ya miujiza😂😂😂😂
 
Ndio

Wale ni waganga wa kienyeji waliojibadilisha na kuwa manabii kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu kulaghai watu....Wana dhambi sana asee[emoji26]
Yule sijui nabii sibue sijui nani yule anasema uwa wanakutana five star hotels dubai wanagonga champaigne.
🤣🤣🤣 Ni business nzuri kusema kweli.
Na mimi ningekuwa na kipaji cha kuzungumza ningeanzisha la kwangu la new generation church niende sawa na feel free to worship jesus la masanja
 
Mambo ya kipuuzi haya. Nigga be feeding on desperate folks.

Hii ni screenshot ya mshkaji wangu
IMG_20220207_102811.jpg
 
Daa matumizi mabaya ya media na umeme kwa watazamaji wa kipindi, Pengine mshuhudiaji alilenga watu waelewe kuwa shuhuda zote zimejikita kwenye fix. Akatoa fix yake
 
Yule sijui nabii sibue sijui nani yule anasema uwa wanakutana five star hotels dubai wanagonga champaigne.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni business nzuri kusema kweli.
Na mimi ningekuwa na kipaji cha kuzungumza ningeanzisha la kwangu la new generation church niende sawa na feel free to worship jesus la masanja
Humuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Likikapu likubwa liko mbele kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]

Jamani huwaga nacheka mpaka tumbo linauma
 
Ila watu wa Mwamposa wana misimamo mikali sijawahi ona na wanajivunia kanisa lao hata useme nini. Ningekuwa na mtazamo huo katika kila kitu sijui ningekuwa wapi saa hizi hahaaa
 
Humuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Likikapu likubwa liko mbele kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]

Jamani huwaga nacheka mpaka tumbo linauma
🤣🤣🤣🤣 Kwakweli hii ni fursa aisee.
Sema ukikamatwa wakamatwa haswaa. Na bahati bukuku ana kanisa lake huku.
 
Ndio

Wale ni waganga wa kienyeji waliojibadilisha na kuwa manabii kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu kulaghai watu....Wana dhambi sana asee[emoji26]
ila bora huko kuliko kwa waganga ambapo utaskia mama au baba yako ndio kakuroga. Kaka zako wamekuibia nyota ndio maana hufanikiwi

Wifi na mama mkwe wako wamekufunga kizazi. Mimi naona ni kheri tu waendelee kwenda kula keki na kukanyaga mafuta kwa mwamposa
 
Thubutu, mimi kuna mwaka nilianza sali kwa mzee wa upako, mke na watoto wake sikuwahi kuwaona, ni mara moja tu mtoto wake alipohudhuria.
Tena kuna siku kaja sijui ashazimua asubuhi akawa anamsema mke wake kuwa analeta ujinga ujinga, anasema kwanini hafanyi kama makanisa mengine sijui akina ngwajima, akasema hana ushirika na mtu kwenye business ya kanisa lake. Kanisa ni la kwake wala mkewe hausiki. Alikuwa anasema madhabahuni na mkewe hakuwepo sijui walikuwa wametibuana home.
Anasema unakaa na wajinga wenzako huko manasema sema...
Haaahaaahaaahaa...mzee wa bapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yule akilewaga anasema " Dar ukifa masikini umejitakia maana majinga ya kumwaga"

Siku nimecheka ile clip kalewa tilalila asubuhi na mapema anatukanana mtaaani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....

Kondoo wake wakasema eti shetani yuko kazini so tumuombeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]
 
Haaahaaahaaahaa...mzee wa bapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yule akilewaga anasema " Dar ukifa masikini umejitakia maana majinga ya kumwaga"

Siku nimecheka ile clip kalewa tilalila asubuhi na mapema anatukanana mtaaani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....

Kondoo wake wakasema eti shetani yuko kazini so tumuombeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]
🤣🤣🤣🤣 Mzee katisha. Ila hampendi Ngwajima nahisi ni adui yake namba 1.
Maana hata kanisani kwake akikuona wewe mpya anakuuliza hivi wewe hujatumwa na ngwajima, maana ngwajima anatuma watu wake waniibie waumini. We njoo hapa walinzi ebu mleteni hapa 🤣🤣🤣 we sio wa ngwajima kweli 🤣🤣🤣
 
ila bora huko kuliko kwa waganga ambapo utaskia mama au baba yako ndio kakuroga. Kaka zako wamekuibia nyota ndio maana hufanikiwi

Wifi na mama mkwe wako wamekufunga kizazi. Mimi naona ni kheri tu waendelee kwenda kula keki na kukanyaga mafuta kwa mwamposa
Hakuna hata unafuu mkuu, tatizo wanafilisi hii ni baada ya kutumia hivyo vitu vyao sijui kukanyaga mafuta, maji, na zile leso wanakusukuma nazo uanguke [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Juju
 
Humuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Likikapu likubwa liko mbele kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]

Jamani huwaga nacheka mpaka tumbo linauma
likikapu la kukingira ama pene Kwa kondoro waliokosa mchungaji
Acha yule mgogo apige pesa maana kabadilisha tu style ya ombaomba now Kawa mgogo aliestaarabika anaomba kijanja fweza ila Hana tofauti na wale ndugu zake wagogo wa city center road!
😁😁😁😁
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee katisha. Ila hampendi Ngwajima nahisi ni adui yake namba 1.
Maana hata kanisani kwake akikuona wewe mpya anakuuliza hivi wewe hujatumwa na ngwajima, maana ngwajima anatuma watu wake waniibie waumini. We njoo hapa walinzi ebu mleteni hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] we sio wa ngwajima kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haaaaahaaaahaaaahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Jamani mbavu zangu uwiii
Gwajiboy amemzidi mipunga na kondoo ndo maana bifu[emoji38]

Ila anapenda kulewa jamani mweeh
 
likikapu la kukingira ama pene Kwa kondoro waliokosa mchungaji
Acha yule mgogo apige pesa maana kabadilisha tu style ya ombaomba now Kawa mgogo aliestaarabika anaomba kijanja fweza ila Hana tofauti na wale ndugu zake wagogo wa city center road!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Yuko na meena wake wanatafuta mkwanja wa lv Gucci na mapochipochi
 
Hakuna hata unafuu mkuu, tatizo wanafilisi hii ni baada ya kutumia hivyo vitu vyao sijui kukanyaga mafuta, maji, na zile leso wanazikusukuma nazo uanguke [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Juju

😂😂😂 lakini hivyo vitu si ndo uwekezaji wa kupata milioni 10 kwenye M-Pesa bila kujua ilipotoka, ondoa hofu kabsaa

ila sadaka ya kujimaliza ndio huwa siielewi, imagine mtu anatoa hela yote aliyonayo kiasi cha kukosa nauli ya daladala, sijawahi kuelewa hiki kitu
 
Back
Top Bottom