Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Maelezo yako katika bandiko hili yanathibitisha tabia na mwenendo wa utakasishaji pesa. Wahusika kwenye mtandao wa aina hiyo huishika Serikali kwa kuwa karibu zaidi na mamlaka za udhibiti na uteuzi ili mambo yaende bila kuhojiwa.
Jiulize, kwa nini ukiwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye akaunti yako benki kisichotarajiwa, unahojiwa chanzo chake?.
 
Haaaaahaaaahaaaahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Jamani mbavu zangu uwiii
Gwajiboy amemzidi mipunga na kondoo ndo maana bifu[emoji38]

Ila anapenda kulewa jamani mweeh
Angekuwa anakunywa amejificha, sema uzuri kondoo hata wakikuona unazini ukisema sio mimi kondoo wanaamini au watasema shetani kakupitia.
Sijui mimi nafail vipi.... Kuna mmoja nilimsikia anasema inakuaje unakuwa na gari zuri kuliko mchungaji wako, una gari mbili wakati mchungaji analo moja 🤣🤣🤣
 
Mimi kuna manzi mmoja nimeamua tu kumpotezea mazima. Niliplan kumuoa mwaka huu!

Ila kwa kitendo chake cha kusali kwa huyo Mwamposa, nikaona atakuja tu kunisumbua siku za usoni.
Mbaya zaidi ukute hana kazi kutwa kushinda kanisani na mikesha
Ungejua hujui
 
ila bora huko kuliko kwa waganga ambapo utaskia mama au baba yako ndio kakuroga. Kaka zako wamekuibia nyota ndio maana hufanikiwi

Wifi na mama mkwe wako wamekufunga kizazi. Mimi naona ni kheri tu waendelee kwenda kula keki na kukanyaga mafuta kwa mwamposa
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] lakini hivyo vitu si ndo uwekezaji wa kupata milioni 10 kwenye M-Pesa bila kujua ilipotoka, ondoa hofu kabsaa

ila sadaka ya kujimaliza ndio huwa siielewi, imagine mtu anatoa hela yote aliyonayo kiasi cha kukosa nauli ya daladala, sijawahi kuelewa hiki kitu
Sasa hapo mkuu unaona ni akili ya kawaida hiyo?...utoe hela yote ukose nauli[emoji848]

Yaan we ukiingia humo cha kwanza kabisa unapigwa msasa (juju)...hapo ndo unakuwa ndondocha mazima sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Yuko na meena wake wanatafuta mkwanja wa lv Gucci na mapochipochi
Bado kidogo na yeye atakua anaenda Dubei shopping anakodi Ramossine au Roisi Roisi kama ya mondi na kupiga nayo mapicha
Wewe subiri mgogo atakuja kua mtamu kama Bushir wa Dibaland!
😁😁😁
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
Anaambiwa hivyo hivyo huko kwa manabii... Na ndio maana nikasema wale ni witch doctor waliochangamkaa
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23]yeye ndio mwanga sasa. Hajui faida ya mijusi huyo
 
Bado kidogo na yeye atakua anaenda Dubei shopping anakodi Ramossine au Roisi Roisi kama ya mondi na kupiga nayo mapicha
Wewe subiri mgogo atakuja kua mtamu kama Bushir wa Dibaland!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Haahaahaa ......atakuwa mcharo soon

Halafu haya mambo lazima pia utoe kafara!

Si unaona Dad Bushiri baada ya kumtoa his beloved daughter
 
Sasa hapo mkuu unaona ni akili ya kawaida hiyo?...utoe hela yote ukose nauli[emoji848]

Yaan we ukiingia humo cha kwanza kabisa unapigwa msasa (juju)...hapo ndo unakuwa ndondocha mazima sasa

kila kitu ni kwa kiasi na hata imani ikikulevya unakuwa kipofu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema uwa ananiombea sana katika maombi yake
Wenye imani haba wakiomba kidogo maombi yao yanafika faster kuliko wa kukesha kanisani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angekuwa anakunywa amejificha, sema uzuri kondoo hata wakikuona unazini ukisema sio mimi kondoo wanaamini au watasema shetani kakupitia.
Sijui mimi nafail vipi.... Kuna mmoja nilimsikia anasema inakuaje unakuwa na gari zuri kuliko mchungaji wako, una gari mbili wakati mchungaji analo moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawezi jificha kwa sabb kondoo wake wapo full kumtetea na kumsingizia shetani[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji23]

Nisingekuwa namuogopa Mwenyezi Mungu na mimi ningeanzisha church nipige hela asee maana bongo vilaza wengi!
Easy money ile asee[emoji848]
 
Wahanga wakubwa ni house girls, divorced, ambao hawajasoma (la saba na form IV ) na wachaga
Hapo na wachaga naomba unifafanulie kwakweli.
Halafu kuna ambao shule ipo lakini nao wahanga vilevile.
 
Wenye imani haba wakiomba kidogo maombi yao yanafika faster kuliko wa kukesha kanisani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ulokole ni kama katrend. Ila mwamposa anakula vichwa bwana, nilikuwa mwaka 2018 naishi sehemu mmama flani lishangazi jirani yangu Mwsilam ila anaenda kwa mwamposa kukanyaga mafuta. Sio kwamba alikuwa kaacha kuswali, ila alikuwa anaenda kwa mwamposa pia.
Yule jamaa inabdi aanze kutulipa kodi
 
kila kitu ni kwa kiasi na hata imani ikikulevya unakuwa kipofu
Inategemea unaamini nini. Unamuamini Mungu au zidumu fikra za baba mchungaji [emoji2957]
Maana unakuta mtu hajala pesa yote anampa mchungaji kwamba itarudi mara 10. Si bora upeleke hospitalini.
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo

Hii ya kushuku kila mtu mwanga ni kweli 😂😂

kuna vitu vingine havipo hata kiroho ila mtu atalazimisha maana kashajengewa hisia za kila kitu ni adui na anatakiwa kupambana navyo.
 
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]

Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa[emoji1787][emoji1787]

Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limoja[emoji2307][emoji2307]tena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.

Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.

Hela zote hajui zinatoka wapi.

Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani
Hakuna kitu hapo.
Asiyefanya kazi na asile!
 
Hawezi jificha kwa sabb kondoo wake wapo full kumtetea na kumsingizia shetani[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji23]

Nisingekuwa namuogopa Mwenyezi Mungu na mimi ningeanzisha church nipige hela asee maana bongo vilaza wengi!
Easy money ile asee[emoji848]
Anzisha wewe fursa inakupita. Ila usije kuwa kama baba god wa mwanza. Hivi yule wa mwanza aliewaaminisha waumini wake kuwa yeye ni mungu sijui zumaridi aliishia wapi? Sijui hawakusanuka baada ya mungu wao kufungiwa na serikali wakajua kuwa yuko weak?
 
Back
Top Bottom