[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] eti kondoo hawana akiliUnategemea nini toka kwa watu waliokubali kuitwa wanakondoo? Kondoo hawana akili unawaswaga tu wanaenda unakotaka. Ndivyo hawa wanaojiita mitume wengi wanavyofanya.
Ni kama vile uwa wanashindana kuonyesha ni nani ambaye ana kondoo wajinga kuliko mwenzake. Utakuta huyu anawavua kondoo wake wa kike chupi madhabahuni nao wanakubali, huyu anakula ugali madhabahuni anaita kondoo wake wa kiume waje wamlambe mikono.
Huyu anawanywesha dawa ya kuulia wadudu.
Ukikubali kuwa kondoo kwisha kazi.
Thubutu, mimi kuna mwaka nilianza sali kwa mzee wa upako, mke na watoto wake sikuwahi kuwaona, ni mara moja tu mtoto wake alipohudhuria.dah halafu majamaa matajiri kishenzi..
hivi watoto wao nao wanasali kwenye hayo makanisa yao? na kupokea hiyo miujiza..? watoto wao wanasoma kwenye hizi shule wanazomesha wanakondoo?
NdioAnapeleka ada kwa mwamposa? Huyo sasa kavuka kipimo.
Wengine hapo eti wanaendaga kuombewa michepuko yenye familia iwe inachunika kirahisi iache ubahiri.
Sasa si wanakondoo wakiwa na mchungaju wao, mchungaji nawaswaga anavyotaka. Ni kondoo tu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] eti kondoo hawana akili
Yaan ni anazungumzia hela tu, hela hivi hela vile asee....hata kama ni mjinga kiasi gani unaona kabisa huyu ni money oriented[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na inaonekana upepo umeamia kwake
Yule sijui nabii sibue sijui nani yule anasema uwa wanakutana five star hotels dubai wanagonga champaigne.Ndio
Wale ni waganga wa kienyeji waliojibadilisha na kuwa manabii kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu kulaghai watu....Wana dhambi sana asee[emoji26]
Humuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule sijui nabii sibue sijui nani yule anasema uwa wanakutana five star hotels dubai wanagonga champaigne.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni business nzuri kusema kweli.
Na mimi ningekuwa na kipaji cha kuzungumza ningeanzisha la kwangu la new generation church niende sawa na feel free to worship jesus la masanja
π€£π€£π€£π€£ Kwakweli hii ni fursa aisee.Humuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Likikapu likubwa liko mbele kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
Jamani huwaga nacheka mpaka tumbo linauma
ila bora huko kuliko kwa waganga ambapo utaskia mama au baba yako ndio kakuroga. Kaka zako wamekuibia nyota ndio maana hufanikiwiNdio
Wale ni waganga wa kienyeji waliojibadilisha na kuwa manabii kwa kutumia jina la Mwenyezi Mungu kulaghai watu....Wana dhambi sana asee[emoji26]
Haaahaaahaaahaa...mzee wa bapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Thubutu, mimi kuna mwaka nilianza sali kwa mzee wa upako, mke na watoto wake sikuwahi kuwaona, ni mara moja tu mtoto wake alipohudhuria.
Tena kuna siku kaja sijui ashazimua asubuhi akawa anamsema mke wake kuwa analeta ujinga ujinga, anasema kwanini hafanyi kama makanisa mengine sijui akina ngwajima, akasema hana ushirika na mtu kwenye business ya kanisa lake. Kanisa ni la kwake wala mkewe hausiki. Alikuwa anasema madhabahuni na mkewe hakuwepo sijui walikuwa wametibuana home.
Anasema unakaa na wajinga wenzako huko manasema sema...
π€£π€£π€£π€£ Mzee katisha. Ila hampendi Ngwajima nahisi ni adui yake namba 1.Haaahaaahaaahaa...mzee wa bapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule akilewaga anasema " Dar ukifa masikini umejitakia maana majinga ya kumwaga"
Siku nimecheka ile clip kalewa tilalila asubuhi na mapema anatukanana mtaaani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....
Kondoo wake wakasema eti shetani yuko kazini so tumuombeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]
Hakuna hata unafuu mkuu, tatizo wanafilisi hii ni baada ya kutumia hivyo vitu vyao sijui kukanyaga mafuta, maji, na zile leso wanakusukuma nazo uanguke [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila bora huko kuliko kwa waganga ambapo utaskia mama au baba yako ndio kakuroga. Kaka zako wamekuibia nyota ndio maana hufanikiwi
Wifi na mama mkwe wako wamekufunga kizazi. Mimi naona ni kheri tu waendelee kwenda kula keki na kukanyaga mafuta kwa mwamposa
likikapu la kukingira ama pene Kwa kondoro waliokosa mchungajiHumuoni mc pilipili kaona kushinda kwenye maharusi anapoteza mda kaona awe nabii na yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Likikapu likubwa liko mbele kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
Jamani huwaga nacheka mpaka tumbo linauma
Haaaaahaaaahaaaahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee katisha. Ila hampendi Ngwajima nahisi ni adui yake namba 1.
Maana hata kanisani kwake akikuona wewe mpya anakuuliza hivi wewe hujatumwa na ngwajima, maana ngwajima anatuma watu wake waniibie waumini. We njoo hapa walinzi ebu mleteni hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] we sio wa ngwajima kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji2960][emoji2960][emoji2960]likikapu la kukingira ama pene Kwa kondoro waliokosa mchungaji
Acha yule mgogo apige pesa maana kabadilisha tu style ya ombaomba now Kawa mgogo aliestaarabika anaomba kijanja fweza ila Hana tofauti na wale ndugu zake wagogo wa city center road!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hakuna hata unafuu mkuu, tatizo wanafilisi hii ni baada ya kutumia hivyo vitu vyao sijui kukanyaga mafuta, maji, na zile leso wanazikusukuma nazo uanguke [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Juju