Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

imani yako kwa Mungu mwenyezi inapokuw haba ,matokeo yake ni kuaminishwa kinguvu kwa miujiza..
 
Miujiza huwa inatokea ila huu mh, kondoo wenyewe sasa, huwaelezi kitu kuhusu hawa so called "Manabii" sijui wamewabrainwash ama kwasababu haichukui hata akili kubwa kiivo kuona hapa kuna kitu hakipo sawa. Juzi nimeona video kwenye mitandao ya kijamii nabii wa kike anamuombea mtu ana jini mahaba eti anamwambia lia kwa nguvu kidogo akasema tena piga yowe, ajabu na kondoo anapiga duh 🤣
 
Sasa hapo mkuu unaona ni akili ya kawaida hiyo?...utoe hela yote ukose nauli[emoji848]

Yaan we ukiingia humo cha kwanza kabisa unapigwa msasa (juju)...hapo ndo unakuwa ndondocha mazima sasa
Hichi kitu Ni kweli Nahisi juju inahusika Sana sababu mm nawajua Hawa watu Kuna siku nimeingia kanisa flan aina ya hizi kanisa unaona kabsa hata mwili unachange na Unaanza Ku adapt haya mambo so hio Ni kweli kabsa
 
Wakristo wanapenda miujiza nadhani ndio kitu pekee chenye kuwafanya waone wapo sahihi kiimani.
 
Aaaah kmmke nimecheka Sana
 
Haya mambo haya, ipo siku ukwel utawekwa wazi!
 
Upako yuke Gentleman aninivunjaga mbavu sana,, [emoji23],a standup guy....
 
Mkuu we anzisha halafu ajili ma pastor uwalipe kwa mwezi,, utapiga pesa sana
 
Maombezi na ushirikina ndio kimbilio la mswahili kupata pesa
 
Ukiona mtume au mganga anakuambia anatoa utajiri hali ndugu zake ni masikini, ujue wewe ndie fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…