Takbiiiiiiir.Hoja zake zote kuhusu IGA hazina mashiko since hata Dpworld wenyewe wamesema hawasaini mkataba kuhusu Bandari ya Tanzania....yeye kama wengine kalazimisha Tu kuwa IGA ndo mkataba na final...kitu ambacho hayuko sahihi
Mkuu umeongea Fact kubwa hapa ila naona wadau wengi wanakimbia hii Fact ya Nmb na Crdb kuwa so successfully watu wengi hawataki kuiongelea.Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....
Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...
Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..
Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....
Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Huyo takataka Hana unufaika wowote, akichoangalia hapo ni dini tu. Ni choko la machokoBila ya shaka yoyote. Huyo mtu anayejiita "The Boss" ni mnufaika mkubwa sana wa haya matakataka anayoyatetea yeye.
Sasa kajipambanua sana; ile tahadhari aliyokuwa kaiweka huko siku za nyuma kaachia upepo uipeperushie mbali.
Kawa kipofu kabisa, hata haoni panapotolewa tahadhari, yeye anadhani ni kupinga tu!
Na Shivji na wafuasi wake humu hawataki kabisa Ku acknowledge kuwa tunazo Benki za Serikali na zinafeli bado kila siku as we speak....Mkuu umeongea Fact kubwa hapa ila naona wadau wengi wanakimbia hii Fact ya Nmb na Crdb kuwa so successfully watu wengi hawataki kuiongelea.
Nmb imetajwa mwaka 2021 Na Tra kwenye maadhimisho ya Miaka 60 kama kampuni ya Tatu kwa Ulipaji Kodi Tanzania Nyuma ya Geita Gold Mining na TBL.
Kama Kampuni Tatu kubwa zinazoongoza Ulipaji kodi ni Matokeo ya Ubinafsishaji huoni waliopinga Ubinafsishaji wakati wa Mkapa hawakuwa sahihi?
Kama Nchi Tungekua wapi Bila ule Ubinafsishaji? Pengine sasa hivi hata tusingekopesheka na Nchi ingekua Katika Hali mbaya.
Shivji ni resource person. Shivji mmoja ni sawa sawa na kotena 100,000 zilizojaa vitabu. Apewe maua yakeMiaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....
Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...
Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..
Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....
Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Tufanye kuwa hatumsikilizi huyo Shivji, je ubinafsi wa kipindi cha Mkapa ulikuwa wa mafanikio?Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....
Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...
Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..
Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....
Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Tubinafsishe Basi bunge na Ikulu maana ndio chanzo Cha udhaifu wa mifumo yote nchi hii.Na Shivji na wafuasi wake humu hawataki kabisa Ku acknowledge kuwa tunazo Benki za Serikali na zinafeli bado kila siku as we speak....
Wanaongea as if Mkapa alifuta Benki zote za Serikali...Benki za Serikali zipo lakini hazina uwezo wa Ku perform kabisa....na zingine zimekufa tayari
Hoja YakeThe Boss angempinga Shivji hoja kwa hoja na kusema wapi Shivji kakosea na kuja na hoja mbadala siyo ku generalize a bunch of statements Shivji may have made, in a vague and out of context manner. Halafu kwani Mwanasheria huwa ana expiry date? Sheria si zilezile?
Kwa hiyo mtoa mada unashauri tumsikilize/tuwasikilize akina nani? Tuwasikilize akina Joseph Kasheku Msukuma, au!!!!
Majibu tafadhali.
Haukua na Mafanikio asilimia 100, ila Nchi hii inaendeshwa na huo Ubinafsishaji wa mkapa,Tufanye kuwa hatumsikilizi huyo Shivji, je ubinafsi wa kipindi cha Mkapa ulikuwa wa mafanikio?
Kakae na wapuuzi wenzio kina bi kiroboto muambiane hamtutoi kwenye reli.Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....
Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...
Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..
Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....
Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Mkuu Bandari karibia zote Duniani sasa hivi zinaenda kwenye Model ya Public-private ownership.Tubinafsishe Basi bunge na Ikulu maana ndio chanzo Cha udhaifu wa mifumo yote nchi hii.
Hata JWTZ TUIKODISHE KWA WAGNER PMC.
Yaani uteue Watoto wa vigogo, waliokusaidia kampeni, machawa,wakwe zako na watu maarufu kwa kuwapa Teuzi za fadhila.
Halafu wapafomu chini ya kiwango, unaona suluhisho ili kupata matokeo ni kubinafsisha kila kitu.
Huo ni ujuha
Tofautisha ubinafsishaji wa NMB au CRDB na huu utumbo wa DPW..Kwenye hizo benki wawekezaji wamechukua sehemu ya umiliki na kuweza kusimamia na ndiyo maana hata sisi watanzania wengine tuna shares japo kidogo kidogo...hii inayobishaniwa ni ya kumkabidhi mwekezaji aendeshe mwenyewe kwa utashi wake na sisi tunabaki watazamaji....unaonaje sheria ya kuunda TPA Ingebadilishwa ikawa kampuni na DPW ikanunua hisa hata asilimia 60?ingine ikabaki kwa serikali na wananchi?Na Shivji na wafuasi wake humu hawataki kabisa Ku acknowledge kuwa tunazo Benki za Serikali na zinafeli bado kila siku as we speak....
Wanaongea as if Mkapa alifuta Benki zote za Serikali...Benki za Serikali zipo lakini hazina uwezo wa Ku perform kabisa....na zingine zimekufa tayari
Sasa kama haukuwa na mafanikio ya 100%, si ndio ulipokuwa wasiwasi wa huyo Shivji?Haukua na Mafanikio asilimia 100, ila Nchi hii inaendeshwa na huo Ubinafsishaji wa mkapa,
1. Makampuni Makubwa yote yanayoongoza Ulipaji kodi, TBL, Nmb, CRDB, Airtel, Geita Gold Mining etc ni zao la Ubinafsishaji.
2. Matajiri wa kubwa nchi hii utajiri wao umetokana na Ubinafsishaji
-Mo na Metl yake wana Viwanda vya Nguo, Mashamba ya mkonge ambayo yamebinafsishwa
-Bakhresa wengi wanasema humu viwanda vya ngano vilivyomtoa ni Ubinafsishaji
-Mengi pia alitoka wakati wa Ubinafsishaji.
Hivyo tunaishi Ubinafsishaji, kuna kipindi nchi hii watu walikua wakipanga foleni kupata mahitaji yao, kipindi Kifupi cha Mkapa na Kikwete tumetoka uchumi wa Dola 200 kwa mtu mmoja hadi Dola 1000, walioishia hawa wawili tunatakiwa tuendelee na momentum ile ile
Kama Kuna Vifungu vya kubadili vibadilishwe ila 100% Dp world waje, Bandari sio madini kwamba yatachimbwa yataisha.
Tokea anyang'anywe nyumba wakati wa azimio la arachuga huyo mzee amekuwa anauabudu ukomunisti.
Hoja ya mtoa mada ni specific bank na amemcopy ShivjiSasa kama haukuwa na mafanikio ya 100%, si ndio ulipokuwa wasiwasi wa huyo Shivji?
Na Shivji na wafuasi wake humu hawataki kabisa Ku acknowledge kuwa tunazo Benki za Serikali na zinafeli bado kila siku as we speak....
Wanaongea as if Mkapa alifuta Benki zote za Serikali...Benki za Serikali zipo lakini hazina uwezo wa Ku perform kabisa....na zingine zimekufa tayari