AMEANDIKA MALISA GJ
#TimuYaWananchi
1. Profesa Anne Tibaijuka (Waziri Mstaafu, Mkurugenzi wa zamani UN Habitat, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali)
2. Profesa Issa Shivji (Nguli wa Sheria, Mwanamajumui wa Afrika, Mwanazuoni)
3. Tundu Lissu (Wakili Msomi, Mwanasiasa hodari, Rais mstaafu wa TLS)
4. Dr.Rugemezela Nshala (Wakili Msomi, Rais Mstaafu wa TLS, Mwalimu wa Law School aliyemfundisha Tulia Akson)
5. Dr.Charles Kitima (Katibu mkuu TEC, Mwanazuoni hodari, VC mstaafu Chuo kikuu SAUT)
6. Dr.Fredrick Shoo (Mkuu wa KKKT, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali, Mwanazuoni)
7. Sheikh Abubakar Zubeir (Sheikh Mkuu Tanzania, Mwanazuoni)
8. Freeman Mbowe (Mwanasiasa mbobevu, Mwenyekiti Chadema)
9. Jaji Joseph Sinde Warioba (Waziri Mkuu mstaafu, Jaji mstaafu, Mwanamajumui wa Afrika)
10. Dr.Wilbroad Slaa (Mwanasiasa Nguli, Balozi mstaafu, Katibu mkuu mstaafu Baraza la Maaskofu, katibu mkuu wa zamani Chadema).
#TimuYaMakasuku
1. Baba Levo (Chawa Mwandamizi)
2. Mwijaku (Chawa mwandamizi daraja la kwanza)
3. Zembwela (Msanii wa Futuhi aliyevamia taaluma ya habari)
4. Hando (Mwandishi aliyeamua kuharibu heshima yake ili kujaza utumbo mpana)
5. Kitenge (Dalali Mwandamizi daraja la kwanza)
6. Isaa Azam (Mtuhumiwa wa upinde)
7. Sophia(ni) Juma (Mtuhumiwa wa upinde)
8. Tivu ake (Msanii wa Futuhi)
9. Msukuma (darasa la 7 anayeamuni ana PhD bila kwenda darasani)
10. Kibajaji (Kepteni wa timu ya kusifu watawala ili kushibisha utumbo mpana)
Mechi ni dakika ya 25 kipindi cha kwanza, Timu ya Wananchi inaongoza bao 3 bila. Ukipenda sema tatu sifuri, au tatu nunge, au tatu yai, au tatu duara, au tatu bashite. Ngoma bado mbichi hii, hata half time bado.!