Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

Namnukuu Tucker Carlson "we dont choose our martyrs,we can only choose our principles" .
Hata ww chawa wa Dpworld na awamu ya 6 ukija kuwakataa maboss wako baadae tutakuunga mkono kwasababu umesimama tuliposimama..na hiyo ndiyo kawaida.
Wewe hukuwa na uelewa kabisa. Prof alielewesha hasara zake na baada ya kustaafu Mkapa alikubali makosa. Tuwe na kumbukumbu wajameni
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..

Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..

Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..

Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu.

Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Katika mikataba ya uwekezaji aliyoingia mkapa ni mingapi iliyofanya vyema
 
AMEANDIKA MALISA GJ

#TimuYaWananchi
1. Profesa Anne Tibaijuka (Waziri Mstaafu, Mkurugenzi wa zamani UN Habitat, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali)
2. Profesa Issa Shivji (Nguli wa Sheria, Mwanamajumui wa Afrika, Mwanazuoni)
3. Tundu Lissu (Wakili Msomi, Mwanasiasa hodari, Rais mstaafu wa TLS)
4. Dr.Rugemezela Nshala (Wakili Msomi, Rais Mstaafu wa TLS, Mwalimu wa Law School aliyemfundisha Tulia Akson)
5. Dr.Charles Kitima (Katibu mkuu TEC, Mwanazuoni hodari, VC mstaafu Chuo kikuu SAUT)
6. Dr.Fredrick Shoo (Mkuu wa KKKT, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali, Mwanazuoni)
7. Sheikh Abubakar Zubeir (Sheikh Mkuu Tanzania, Mwanazuoni)
8. Freeman Mbowe (Mwanasiasa mbobevu, Mwenyekiti Chadema)
9. Jaji Joseph Sinde Warioba (Waziri Mkuu mstaafu, Jaji mstaafu, Mwanamajumui wa Afrika)
10. Dr.Wilbroad Slaa (Mwanasiasa Nguli, Balozi mstaafu, Katibu mkuu mstaafu Baraza la Maaskofu, katibu mkuu wa zamani Chadema).

#TimuYaMakasuku
1. Baba Levo (Chawa Mwandamizi)
2. Mwijaku (Chawa mwandamizi daraja la kwanza)
3. Zembwela (Msanii wa Futuhi aliyevamia taaluma ya habari)
4. Hando (Mwandishi aliyeamua kuharibu heshima yake ili kujaza utumbo mpana)
5. Kitenge (Dalali Mwandamizi daraja la kwanza)
6. Isaa Azam (Mtuhumiwa wa upinde)
7. Sophia(ni) Juma (Mtuhumiwa wa upinde)
8. Tivu ake (Msanii wa Futuhi)
9. Msukuma (darasa la 7 anayeamuni ana PhD bila kwenda darasani)
10. Kibajaji (Kepteni wa timu ya kusifu watawala ili kushibisha utumbo mpana)

Mechi ni dakika ya 25 kipindi cha kwanza, Timu ya Wananchi inaongoza bao 3 bila. Ukipenda sema tatu sifuri, au tatu nunge, au tatu yai, au tatu duara, au tatu bashite. Ngoma bado mbichi hii, hata half time bado.!
Mkuu naomba andikia uzi hii mechi alafu ongezea jina la The Boss kwenye mechi namba mbili.
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..

Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..

Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..

Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu.

Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
HV hyuy Ni muhindi au Ni kabila gani
 
Kuuelewa, (to interpret) mkataba wa wa DPWORLD kwa Tanzania huhitaji kusoma shule ya sheria .Unyumbu ni tabia ya watu wanao fikiri vizuri kuahirisha kufikiri kwasababu ya uoga, (amygdala), kuogopa viongozi, ama kutumikia kundi fulani, (CCM). Herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of fear, (amygdala), in this case fearing their leaders or in favor of group objective, (CCM)
Hio ni sababu ya hofu ya njaa tu sababu wengi wanaokuwa chini ya CCM wana similar habits.
 
Nimesoma kidogo sana SHAMBULIO lako kwa Issa Shivviji na kuuita " nadharia ya farasi mfu" huenda iko kiujumla sana. Maswali
1. Unaikumbuka CRDB? Hii ilikuwa mahususi kwa wakulima na kukumbwa nakile unakiita jambo la maana. Lakini leo serkali inaanzisha Benki nyingine kwa lengo lilelile. Huoni ni ujinga?

2. Una taarifa NBC iliuzwa bei gani? Na kuishia tena serkali kuwa na NMB?

3. Unaelewa kama Privatization ya Mkapa iliuza mashirika kwa kutupa kiasi kwamba haikuwa na manufaa?. Fikiri mashamba ya Mkonge na akina Chavda. Je umewaza hili?

Swala sio kuuza au kutouza, kubinafisisha au kutobinafsisha. Kuweka muqekezaji au kutoweka. Swala ni manufaa yake unayopata. Hivi nyumba yako ukiamua uweke wapangaji kwa kuwa familia haiitunzi, na wewe kuenda kupanga kwenye pango la laki 3 huku ukilipwa na muwekezaji sh laki 1, hizo laki 2 utakuwa unaongezea kwenye pango lako kuna faida gani? Serkali inaweka muwekezaji halafu inaweka na ruzuku, what a shit?
Issue ya BANDARI si mbaya ikiingiwa kwa uzuri ili Bandari yetu itoke kwenye mfumo mbaya usio tija na wa kiushindani. Lakini je iingiweje?
 
Profesa Shivji ni miongoni mwa maprofesa wengi tu nisioelewa umuhimu wao hapa Tanzania. Sijawahi ona impact ya maana ya maprofesa wetu zaidi ya kutuzalishia wafanyakazi wezi na mafisadi tu. Siamini katika communist.
 
Nimesoma kidogo sana SHAMBULIO lako kwa Issa Shivviji na kuuita " nadharia ya farasi mfu" huenda iko kiujumla sana. Maswali
1. Unaikumbuka CRDB? Hii ilikuwa mahususi kwa wakulima na kukumbwa nakile unakiita jambo la maana. Lakini leo serkali inaanzisha Benki nyingine kwa lengo lilelile. Huoni ni ujinga?

2. Una taarifa NBC iliuzwa bei gani? Na kuishia tena serkali kuwa na NMB?

3. Unaelewa kama Privatization ya Mkapa iliuza mashirika kwa kutupa kiasi kwamba haikuwa na manufaa?. Fikiri mashamba ya Mkonge na akina Chavda. Je umewaza hili?

Swala sio kuuza au kutouza, kubinafisisha au kutobinafsisha. Kuweka muqekezaji au kutoweka. Swala ni manufaa yake unayopata. Hivi nyumba yako ukiamua uweke wapangaji kwa kuwa familia haiitunzi, na wewe kuenda kupanga kwenye pango la laki 3 huku ukilipwa na muwekezaji sh laki 1, hizo laki 2 utakuwa unaongezea kwenye pango lako kuna faida gani? Serkali inaweka muwekezaji halafu inaweka na ruzuku, what a shit?
Issue ya BANDARI si mbaya ikiingiwa kwa uzuri ili Bandari yetu itoke kwenye mfumo mbaya usio tija na wa kiushindani. Lakini je iingiweje?
Hebu rudia kusoma ulichoandika
 
Elimu
Elimu
Elimu
Haina mwisho na si bado ni mwalimu kwa maana yako hata wanafunzi anao wafundisha WABEZWE na WASIAJILIWE? Kwa hoja zako.
 
Nimesoma kidogo sana SHAMBULIO lako kwa Issa Shivviji na kuuita " nadharia ya farasi mfu" huenda iko kiujumla sana. Maswali
1. Unaikumbuka CRDB? Hii ilikuwa mahususi kwa wakulima na kukumbwa nakile unakiita jambo la maana. Lakini leo serkali inaanzisha Benki nyingine kwa lengo lilelile. Huoni ni ujinga?

2. Una taarifa NBC iliuzwa bei gani? Na kuishia tena serkali kuwa na NMB?

3. Unaelewa kama Privatization ya Mkapa iliuza mashirika kwa kutupa kiasi kwamba haikuwa na manufaa?. Fikiri mashamba ya Mkonge na akina Chavda. Je umewaza hili?

Swala sio kuuza au kutouza, kubinafisisha au kutobinafsisha. Kuweka muqekezaji au kutoweka. Swala ni manufaa yake unayopata. Hivi nyumba yako ukiamua uweke wapangaji kwa kuwa familia haiitunzi, na wewe kuenda kupanga kwenye pango la laki 3 huku ukilipwa na muwekezaji sh laki 1, hizo laki 2 utakuwa unaongezea kwenye pango lako kuna faida gani? Serkali inaweka muwekezaji halafu inaweka na ruzuku, what a shit?
Issue ya BANDARI si mbaya ikiingiwa kwa uzuri ili Bandari yetu itoke kwenye mfumo mbaya usio tija na wa kiushindani. Lakini je iingiweje?
NBC kuuzwa bei gani?wewe ulithibitisha thamani ya NBC ni tofauti na bei husika?au thamani ya Benki ni majengo?Leo NBC ina thamani gani?serikali ina hisa asilimia ngapi zenye thamani gani? Serikali imepata gawio la kiasi gani Kwa miaka 25?..

Crdb NMB na NBC zote Leo zina thamani gani??...
Usipotoshe watu kuwa tuliuza NBC ndo tukaanzisha NMB sio kweli.. NMB iliundwa kama sehemu ya mchakato WA kuuza NBC...ndo maana NMB ikarithi pia majengo ya NBC...
 
Watanzania hamuwezi kujiendesha wenyewe. UBINAFSISHAJI ndiyo njia pekee ya kuukuza uchumi. Na tunaona mafanikio hayo. Kama wewe huoni ni upofu huo sasa
Hata huko hakuna kitu tunapigwa tu kila mahali hatuwezi.
 
Mkuu umeongea Fact kubwa hapa ila naona wadau wengi wanakimbia hii Fact ya Nmb na Crdb kuwa so successfully watu wengi hawataki kuiongelea.

Nmb imetajwa mwaka 2021 Na Tra kwenye maadhimisho ya Miaka 60 kama kampuni ya Tatu kwa Ulipaji Kodi Tanzania Nyuma ya Geita Gold Mining na TBL.

Kama Kampuni Tatu kubwa zinazoongoza Ulipaji kodi ni Matokeo ya Ubinafsishaji huoni waliopinga Ubinafsishaji wakati wa Mkapa hawakuwa sahihi?

Kama Nchi Tungekua wapi Bila ule Ubinafsishaji? Pengine sasa hivi hata tusingekopesheka na Nchi ingekua Katika Hali mbaya.
Uongo mkubwaa
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..

Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..

Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..

Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu.

Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Chawa wa mama kazini badala ujadili hoja za Shivji unamjadili Shivji mwenyewe.
Nonsense.
 
NBC kuuzwa bei gani?wewe ulithibitisha thamani ya NBC ni tofauti na bei husika?au thamani ya Benki ni majengo?Leo NBC ina thamani gani?serikali ina hisa asilimia ngapi zenye thamani gani? Serikali imepata gawio la kiasi gani Kwa miaka 25?..

Crdb NMB na NBC zote Leo zina thamani gani??...
Usipotoshe watu kuwa tuliuza NBC ndo tukaanzisha NMB sio kweli.. NMB iliundwa kama sehemu ya mchakato WA kuuza NBC...ndo maana NMB ikarithi pia majengo ya NBC...
Umesema kile kile. Umeuza na kuanzisha . Sasa nini?

Ujue sio kuwa watu hatupendi Bandari iwe compitetive ukiangalia na nchi zimetuzunguka. Sio kweli, tusiwekeane maneno mdomoni TUNATAKA lakini laxima maslahi yawe sawa kwa sawa. Wewe sasa zipinge hoja za Prof Issa kwa hoja moja baada ya nyingine, mbona utakuwa umesaidia sana.
Halafu usaidie hili kama IGA sio msingi wa kile kitakuja
 
NBC kuuzwa bei gani?wewe ulithibitisha thamani ya NBC ni tofauti na bei husika?au thamani ya Benki ni majengo?Leo NBC ina thamani gani?serikali ina hisa asilimia ngapi zenye thamani gani? Serikali imepata gawio la kiasi gani Kwa miaka 25?..

Crdb NMB na NBC zote Leo zina thamani gani??...
Usipotoshe watu kuwa tuliuza NBC ndo tukaanzisha NMB sio kweli.. NMB iliundwa kama sehemu ya mchakato WA kuuza NBC...ndo maana NMB ikarithi pia majengo ya NBC...
Sahihi kabisa. Ndio maana nikamwambia "rudia kusoma ulichoandika". Hata mfano wake wa mashamba ya mkonge, natamani aeleze namna tulivyotoka uzalishaji wa tani laki 2+ hadi chini ya 20k na hali ikoje baada ya akina Mo kushika hatamu huko kwenye mkonge.
 
Back
Top Bottom