Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Kwani kuna mikoa mingine ambayo wanaweza wakakwama zaidi ya masaa mawili barabarani kusubiri mwenge upite?Watu wa dasalama bhana kwa kujipa umuhimu, kwahyo mwenge uwe unakimbizwaga tu huku mikoani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.
Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.
Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.
Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.
Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.
Sema Mwenge oyeeeeee
Kazi iendelee mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania bado sana kama wananchi wake ndiyo kama wewe
Mbona yule hakutoboa na hakuuzuia?Wanasema rais atakayezuia huo uchawi ,hatoboi miaka mitano madarakani,anachimbiwa ardhini
FactMwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.
Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.
Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.
Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.
Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.
Sema Mwenge oyeeeeee
Mmmmh unamtakia nnYeye yuko wapi
Wasira yupo anatukana na lugha ya kutweza utu wa mtanzania badala ya kujibu hoja za wapinzani Ni jamaa babe Sanaa 😊Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse