Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Nchi ilivyo kua maskini hii kila mara utawasikia viongozi wa serikali ya ccm wakilalamika hakuna pesa lakini hiyo hiyo serikali ya ccm kila mwaka bado inachezea hela zetu kwa huu upumbavu 😡😡 yani wanakopa mabilioni ya pesa Kila siku ili wazichezee kipumbavu namna hiyo 😡 😡 inakera Sana 😡😡
 
Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.

Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.

Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.

Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.

Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Sema Mwenge oyeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania bado sana kama wananchi wake ndiyo kama wewe
 
Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.

Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.

Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.

Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.

Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Sema Mwenge oyeeeeee
Fact
 
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Wasira yupo anatukana na lugha ya kutweza utu wa mtanzania badala ya kujibu hoja za wapinzani Ni jamaa babe Sanaa 😊
 
Harafu mimi sijawahi kusikia serikali inatenga bajeti kiasi kukimbiza huo moto!
Lakini niliwahi kuwaza kuwa huo moto ni uchawi wa Chama pendwa wakupumbaza watanzania wasihoji cho chote hata kama kuna dhuluma inafanyika.
 
Karne hii badala ya kufanya vitu vyenye tija kwa Taifa tunashinda mabarabarani kukimbiza moto nchi mzima.
 
Back
Top Bottom