Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Hilo Pia linawezekana lakini ujue Ebola ilikuwa ikiuwa 25% mpaka 90% kwa walioathirika
Lakini corona imeuwa 10% kwa walioathirika
Hapo inaonekana bado Ebola ilikuwa tishio sana
Yaani kutokwa damu sehemu zote daa mimi naona Ebola kiboko
Hii corona wengi waliopata wametibiwa na kupona wakiwa wametoka nje ya China



Sent from my iPhone using Tapatalk
Jana China imethibitisha kuwa wale waliosemekana kuwa wamepona wameonekana tena na vimelea vya conv mkuu. Ngoja niitafute ile link ujiridhishe mwenyewe.
Ebola kweli ni tishio lakini tusiidhalau hii CONV kwasababu imeanzia kwao. We should take all precaution measures to make sure it doesn't touch our soil.
Nilisikitika Sana niliposikia tumepokea watalii wakichina wakati nchi zingine duniani zipitisha total immigrational ban to Chinese to their countries
 
Jana China imethibitisha kuwa wale waliosemekana kuwa wamepona wameonekana tena na vimelea vya conv mkuu. Ngoja niitafute ile link ujiridhishe mwenyewe.
Ebola kweli ni tishio lakini tusiidhalau hii CONV kwasababu imeanzia kwao. We should take all precaution measures to make sure it doesn't touch our soil.
Nilisikitika Sana niliposikia tumepokea watalii wakichina wakati nchi zingine duniani zipitisha total immigrational ban to Chinese to their countries

Ngoja nisome hiyo
Kwa kweli ni tishio sana mkuu
Yaani huku Europe watu wako makini na wanaogopa haswa
Kila mtu ana antibacterial hand gel mfukoni, kila ukitumia kitu lazima uoshe mikono na kujipaka gel
Kuna jamaa yangu hapa ana mafua makali tangu juzi nimemkimbia sitaki ujinga huu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ngoja nisome hiyo
Kwa kweli ni tishio sana mkuu
Yaani huku Europe watu wako makini na wanaogopa haswa
Kila mtu ana antibacterial hand gel mfukoni, kila ukitumia kitu lazima uoshe mikono na kujipaka gel
Kuna jamaa yangu hapa ana mafua makali tangu juzi nimemkimbia sitaki ujinga huu


Sent from my iPhone using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa makini Mkuu huu ugonjwa si mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nendeni KWENYE mitandao yaani wachinaa wamejazana kuomba urafiki kila sehemu

Huko kwa wakubwa ndio balaa wanaomba na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania

Watanzania msichezee opportunity ndio sasa tuoe Wachina kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na China
Ukimuoa mchina ni lazima uwe na small house Mtanzania. Hao binadamu ni too cold. Niliwahi kutumia pesa mingi kumpata kisha nililaani kutumia pesa yangu kwa binadamu wa aina hiyo. Mwili baridi, shimo baridi, hawafai kabisa hao watu wa corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaweza kubeba corona kwenye pochi akaja kutumaliza huyu
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi ya watu hiyo kwasababu iliikumba Africa, je fikilia Convi ndo ingeikumba Africa kabla ya huko ulimwenguni wa kwanza unazani idadi ingekuwa the same mkuu?
What I can conclude is Conv ni very deadly disease than Ebora.
Ebola balaa kubwa zaidi kwa kila hali
 
Ebola balaa kubwa zaidi kwa kila hali
Ebola sio deadly Sana ukilinganisha na Corona kwa sababu ebola yenyewe haijifichi ikiingia inakuburuluza ndani ya muda mfupi saana.

Corona yenyewe unakaa nayo Hadi mwezi mzima unaambukiza watu hata 100 ndio inaanza kukupelekesha, hivyo Corona inaua wengi saana tofauti na Ebola yenyewe Ni epidemic disease inalipuka na kuzimika tofauti na Corona inaonekana sio ya kuwaka na kuzima hii tunayo na kukatika sio leo. It's a pandemic disease not epidemic.

And it's here to stay.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebola sio deadly Sana ukilinganisha na Corona kwa sababu ebola yenyewe haijifichi ikiingia inakuburuluza ndani ya muda mfupi saana.

Corona yenyewe unakaa nayo Hadi mwezi mzima unaambukiza watu hata 100 ndio inaanza kukupelekesha, hivyo Corona inaua wengi saana tofauti na Ebola yenyewe Ni epidemic disease inalipuka na kuzimika tofauti na Corona inaonekana sio ya kuwaka na kuzima hii tunayo na kukatika sio leo. It's a pandemic disease not epidemic.

And it's here to stay.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwapo pia SARS , sasa sijui Cov19, wakati utafika utajua Ebola ni kama ngumi ya KO kwe mchezo wa ngumi, omba iskupate, Cov19 ni hatari kwa wakati wake, naona option nyingi za utabibu juu yake kutokana na kukawia kwake kuua in "some cases". Wale magwiji wa tiba waweza beba hata serum kwa alyepona wakafanya yao, nmesikia hvyo,
Tchao Muuza Nyanya
 
Tokea lini mchina akawa na chura
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom