Huu ndio Mjengo wa Msanii SHILOLE..!! Na Biashara ya madini ya Fid Q

Huu ndio Mjengo wa Msanii SHILOLE..!! Na Biashara ya madini ya Fid Q

iyo nyumba bado sana from there ndo pesa inaitajika kwa wingi na inaenda bila ya kuiona maana uku kwingine alikua anainua tu!!!
 
Si alisemaga harudi igunga atabanana na jiji la dar es salaam ata nguo atavua..naona kashaanza kuvua sasa,hongera zake
 
Mii ana nichosha anavyo jimamanua kwenye interview zakwenye matv?
apambane nyumba imalizike aja aowe visharo uharo naku walea?
 
Halafu mbona kama hiyo nyumba inafanana sana na nyumba moja ya mchaga mmoja anaishi riverside karibu kabisa na landmark hotel? Alikuwa anaiuza iko jirani kabisa na Nyumbani kwa Omari Mkali
mtemi unakusudia kusema nini hapa?
 
Tangu ameanza kuimba
Plus show za kila mwaka
Huu mjengo ndoa aneshindwa
Kuumalizia

Pesa wanapelekaga wap hawa wasanii??
 
Back
Top Bottom