Huu ndio mjengo wa Vicky Kamata

Huu ndio mjengo wa Vicky Kamata

Nimejaa tele kama kombe la dunia, naona mama kirikuu kaamua kuwarusha roho mmemsema sana na ndoa yake ilivyododa

Hahahaaa....eti mama kirikuuu....lol aturushe tu ili angalau apate ahueni Kama ndio hivyo
 
Hahahaaa....eti mama kirikuuu....lol aturushe tu ili angalau apate ahueni Kama ndio hivyo

Achaneni nae yule, vicky ana pesa chafu makinda anasubiri??

ivi jaman nani analijua ghorofa la florah mbasha??, maana mwanamke anajishaua yule na sura yake nzito ka tope la uyole msyuuuuuuuuu....
 
Achaneni nae yule, vicky ana pesa chafu makinda anasubiri??

ivi jaman nani analijua ghorofa la florah mbasha??, maana mwanamke anajishaua yule na sura yake nzito ka tope la uyole msyuuuuuuuuu....

Mwambie Vicky K anirushie buku 50 kwenye namba 112 aisee..

Binamu Flora kakufanya nn
 
Yaani hiyo nyumba ya kawaida sana hakuna mvuto wa jengo kabisa ni matofali tu! Exterior decoration sifuri. ImageUploadedByJamiiForums1402918950.909993.jpg
 
Nakumbuka wimbo wa Fm Academia-Hata uwe na mali nyingi,majumnba ya kifahari,magari,bila mume ni kazi bure! Hivi ndoa yao lini vile?

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Achaneni nae yule, vicky ana pesa chafu makinda anasubiri??

ivi jaman nani analijua ghorofa la florah mbasha??, maana mwanamke anajishaua yule na sura yake nzito ka tope la uyole msyuuuuuuuuu....

Tope la uyole ndio likoje mkuu warumi?
 
Back
Top Bottom