Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumba halina mvuto, naona hat kuisha halijaisha, kimbele mbele cha kurysha roh watu
We binamu wewe hyo namba 112 c ndo natumia mm, we jishaue tu apa mfyuu
Hahaha inabidi kwa kweli
He he dua langu limesikika nimempata muheshimiwa first class muzee ya pesa tulikuwa safarini wote tukakaa sit moja.
He he he shosti sijui mambo yatajipa cc warumi Dinazarde Heaven on Earth Kim nana Mrembo by Nature
Mmh binamu huyo, sasa ikawaje baada ya kukaa siti moj? Ulichukukua namba au?, tuliza munkar utupe umbea vzur binamu
Wacha weee, Mola ajaalie mambo yaende vizuri.
Iv Heaven on Earth unafanyagaje picha binamu??, naona wat wanakuwawa unawasaidia ku zoom wakt mm hat sion unacho zoom, ebu nifungue na mie
Binamu wala sikuomba namba nlimkuta katangulia mie nlichelewa keshakaa kwa siti nikamsalimia shikamoo akaitikia baada ya hapo kila mtu kimya kimya ha ha ha ha ha binamu kama alikuwa anaisoma roho yangu nikachukua magazine zilizokuwemo nikaanza kusoma mie yeye kimya baadae akaniuliza unaenda wapi nikamwambia akaniuliza kufanya nini nikamjibu yaani akawa anauliza tu kimtegomtego mi nikamjibu mara jina mara ninimara business card mara no he he he alijua nimempa fake no ile kushuka tu naona kawasha simu akanibipu.
Akaniambia nitakupigia.
Sasa whatsappp kwa sana na msg he he he
Wacha weee, Mola ajaalie mambo yaende vizuri.
Hahahahahaaaa...utumie fursa vizuri sasa sio urukeruke....
Sema wewe binam picha zote size moja yako na ya heaven.
Ngoja nikung'ate sikio inasemekana Heaven on Earth ni bint mmoja matata humu ndani chuma cha ukweli so vijana s
Fagilia kwa sana si wajua tena binamu.
Ha ha afu nshaanza kumpenda sasa sijui ndo hela uchawi wa kizungu loo
Lazima kieleweke dua ishajibiwa tayari loo
Iv Heaven on Earth unafanyagaje picha binamu??, naona wat wanakuwawa unawasaidia ku zoom wakt mm hat sion unacho zoom, ebu nifungue na mie
Halafu Heaven on Earth Una kesi na mimi..jisalimishe plz
Binamu wala sikuomba namba nlimkuta katangulia mie nlichelewa keshakaa kwa siti nikamsalimia shikamoo akaitikia baada ya hapo kila mtu kimya kimya ha ha ha ha ha binamu kama alikuwa anaisoma roho yangu nikachukua magazine zilizokuwemo nikaanza kusoma mie yeye kimya baadae akaniuliza unaenda wapi nikamwambia akaniuliza kufanya nini nikamjibu yaani akawa anauliza tu kimtegomtego mi nikamjibu mara jina mara ninimara business card mara no he he he alijua nimempa fake no ile kushuka tu naona kawasha simu akanibipu.
Akaniambia nitakupigia.
Sasa whatsappp kwa sana na msg he he he
hii kesi ngoja nitafute wakili kabisa lol
Binamu wala sikuomba namba nlimkuta katangulia mie nlichelewa keshakaa kwa siti nikamsalimia shikamoo akaitikia baada ya hapo kila mtu kimya kimya ha ha ha ha ha binamu kama alikuwa anaisoma roho yangu nikachukua magazine zilizokuwemo nikaanza kusoma mie yeye kimya baadae akaniuliza unaenda wapi nikamwambia akaniuliza kufanya nini nikamjibu yaani akawa anauliza tu kimtegomtego mi nikamjibu mara jina mara ninimara business card mara no he he he alijua nimempa fake no ile kushuka tu naona kawasha simu akanibipu.
Akaniambia nitakupigia.
Sasa whatsappp kwa sana na msg he he he
Bora ufanye hivyo maana chance ya ww kushinda ni ndogo sana especially Kama huna competent lawyer