warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo mjengo wa kisasa ,unaodaiwa kumilikiwa na mheshimiwa mbunge, Vicky kamata.
ndo mpango,we unadhan bila kutengenezwa utapat kitu, labda uambulie huawei 300 ya kuingilia instagram
Hayo mambo ya shopping hong kong sijui ndo apo sasa pa kujipanga kwa bwana mkubwa wa mabopande sasa
Tatizo lako ww hunitakii mema kabisa...unasema tuu kutekeleza zero.. mi nataka niende mabwepande kesho tuma direction..
Shikamoo hiyo ipe ile kitu inayowezesha pesa kutoka
Sasa wajameni mnategemea second first lady awe na mjengo mbaya?? Chezea K ya kisukuma wewe jumlisha na kupuliza ile kitu yao ya kushikilia waume. Naona Charles atakuwa na zindiko kali ndumba iligoma.
Ukifika tu mabwepande, ulizia mzee kifimbo ni maarufu sana mitaa ile yan akikufanyia mambo we unaagiza tu ninunulie gari ,mara natak kwenda Dubai , yan ni wewe tu, maana mambo ya kukatikiana sana kitandan sijui umnogeshe ndo akununulie gari hayo mambo ukoo chalinze siku iz, mjini kila mtu anaroga
Ntakutumia upumzishe mauno mpaka siku iz umeanza kubinuka hat cmu hujanunuliwa mfyuuu manina, ndo mjifunze kuroga, aliyekwambia mjini msingi kiuno nani??
Ugly building, beautiful owner!
Ntakutumia upumzishe mauno mpaka siku iz umeanza kubinuka hat cmu hujanunuliwa mfyuuu manina, ndo mjifunze kuroga, aliyekwambia mjini msingi kiuno nani??
Zaman nshkutupia pm
Ukifika tu mabwepande, ulizia mzee kifimbo ni maarufu sana mitaa ile yan akikufanyia mambo we unaagiza tu ninunulie gari ,mara natak kwenda Dubai , yan ni wewe tu, maana mambo ya kukatikiana sana kitandan sijui umnogeshe ndo akununulie gari hayo mambo ukoo chalinze siku iz, mjini kila mtu anaroga
Heheheee, hatari.....ndo maana wengine hatuhongwii?
Sasa ukikuta huyo unayetaka kumroga nae kigagula utafanyaje?