TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Apo kinachofuata ni kuroga kwanzia utosin had unyayoni, hayo mambo ya kutumiana msg whatsapp mwache atumiane na mke wake, we kaz moja tu binamu
Binamu kumbe kuna kuroga tena. Mi nikajua huwa wanatoa wakiwa in a sane state! Haya hebu nielekeze kwa mtaalamu nianze maandalizi