Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hebu Tujadili kama Watanzania wanataka huu usanii au wanahitaji Maisha Bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani angemkaba kumuibia hayo makabrasha yake ya bajeti ya kisanii?
Huyu jamaa hajawahi kuwa serious hata kwenye mambo ya msingi.
Watu wanaopenda timu za Simba na Yanga Wana mbwembwe sana mfano yule Kigwangala angekuwa Rais 2015 😂😂😂Hapo hajawa Rais, ile Mwigulu Rais 2015 ingetiki angetua Bungeni na Chopa 🙌
SAKO KWA BAKO.
Noma sana!Huyu jamaa hajawahi kuwa serious hata kwenye mambo ya msingi.
Ni hatari aisee 🙌Watu wanaopenda timu za Simba na Yanga Wana mbwembwe sana mfano yule Kigwangala angekuwa Rais 2015 😂😂😂
Ukiona hivyo utadhani ni vitu vya maana kumbe ni bla bla bla tu. Ulimbukeni mtupu.
Alaala yasikukute ya nawanda tuNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Unawaza Mbunye tuNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Anasema Yanga uwekwe kwenye NOTISAKO KWA BAKO.