Wakati huo msafara wake ulikuwa benzi 2 na mbele ya msafara Volkswagen Golf 1 na pikipiki 1Enzi za Nyerere Waziri alikuwa anakuja Karimjee Kwa miguu na wapambe wake
Angekuwa Bashite kelele zingekuwa nyingi sana 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo msafara wake ulikuwa benzi 2 na mbele ya msafara Volkswagen Golf 1 na pikipiki 1Enzi za Nyerere Waziri alikuwa anakuja Karimjee Kwa miguu na wapambe wake
Angekuwa Bashite kelele zingekuwa nyingi sana 😂😂
Mwalimu asingeruhusu huu ujingaEnzi za Nyerere Waziri alikuwa anakuja Karimjee Kwa miguu na wapambe wake
Angekuwa Bashite kelele zingekuwa nyingi sana 😂😂
Wangepanda coster wasingefika?Sidhani kama Kuna tatizo hapa. Hapo utakuta Kuna gari la Waziri, na wanaomsindikiza kama Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, na viongozi wengine waandamizi wa Wizara wanaoelekea Bungeni na inafahamika hao Wote Wana usafiri wao.
Sioni kama kuna matumizi ya rasilimali usio wa kawaida katika msafara huo
Kabisa, hapo kuna mwalimu anadai fedha za likizo elfu 50 anazungushwa miaka 2Maskini akipata na masifa ya kifala
Ni matumizi makubwa na ya kijingaMtu mshamba ni mshamba tu, hata akipata madaraka. Sasa haya yana ticha gani
Matumizi makubwa na ya kijinga sn ya fedha za umma
Akisindikizwa na ukoo mzimaHapo hajawa Rais, ile Mwigulu Rais 2015 ingetiki angetua Bungeni na Chopa 🙌
Nadhani hili tatizo wanalo Viongozi wengi wasiojiamini.Akisindikizwa na ukoo mzima
Anautamani uprezidaa kweli kweli ðŸ¤OGOPA LI MTU LINAJITANGAZA NA KULAZIMISHA KUONEKANA NI LIZALENDO
Unaelewa maana ya mhimili...kwa kukusaidia ipo mitatu tuu, itajemwigulu ana power sawa na raisi kama siyo zaidi yeye (mwigulu) pamoja na gavana wa bot na bashe ni mhimili unaojitegemea …