kaa chini
JF-Expert Member
- Jun 4, 2022
- 1,935
- 4,048
Dah hii Nchi hii! Haya ngoja tuone mwisho wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hii Nchi hii! Haya ngoja tuone mwisho wake
😆😆😆😆Gari hizo zote kama billion 3 na ukiangalia vizuri hapo hata barabara wamefunga, halafu anaenda kutangaza kodi mpya na kutuongezea kero zaidi za maisha, waliosema ng'ombe wa maskini hazai hawakukosea
Alikuwa anatembea kutoka pale Hazina hadi Karimjee akisindikizwa na wafanyakazi wa WizaraWakati huo msafara wake ulikuwa benzi 2 na mbele ya msafara Volkswagen Golf 1 na pikipiki 1
Nauli yangu imeisha SIWEZI FIKA HUKOAlaala yasikukute ya nawanda tu
Acha kabisaUnawaza Mbunye tu
Hili ni tatizo kwelikweli
Nasemea msafara wa mwlAlikuwa anatembea kutoka pale Hazina hadi Karimjee akisindikizwa na wafanyakazi wa Wizara
6X500m=3b
Mbona mdogo inabidi tumchangie ziongezeke gari huu ni kama msafara wa kina Dimondi platinum na Jux🐒
Wakina nani?Jamaa hawana ajenda ni za kuokoteza okoteza tu kama makamu wao mwenyekiti!
Yaani tunakopa ili tutumie kwennye misafara kama hii.
Unaelewa maana ya mhimili...kwa kukusaidia ipo mitatu tuu, itaje
PIGA cha ukuchaAcha kabisa