Huu ndio Msafara wa Mwigulu kuelekea Bungeni kusoma Bajeti Kuu

Huu ndio Msafara wa Mwigulu kuelekea Bungeni kusoma Bajeti Kuu

Kiongozi mzalendo sana, hawajawi tokea waziri wa fedha mzalendo kama yeye. Hapendi makuu, anapenda maendeleo hata uchumi ulioimarika kwetu raia ni matokeo ya kazi zake.Kwa kazi anayofanya huo msafara ni mdogo sana kulingana na nafasi yake. Wa Tanzania tupunguze kulalamika magari yenyewe siyo kwamba ni ya anasa kama mataifa mengine. Mh waziri chapa kazi sisi tupo nyuma yako tuna kupenda sana huku mtaani mambo yetu ni mazuri.
 
Kiongozi mzalendo sana, hawajawi tokea waziri wa fedha mzalendo kama yeye. Hapendi makuu, anapenda maendeleo hata uchumi ulioimarika kwetu raia ni matokeo ya kazi zake.Kwa kazi anayofanya huo msafara ni mdogo sana kulingana na nafasi yake. Wa Tanzania tupunguze kulalamika magari yenyewe siyo kwamba ni ya anasa kama mataifa mengine. Mh waziri chapa kazi sisi tupo nyuma yako tuna kupenda sana huku mtaani mambo yetu ni mazuri.
Naunga mkono hoja
 
Unaelewa maana ya mhimili...kwa kukusaidia ipo mitatu tuu, itaje
Mitatu ! Upi na upi? Kwenye mihimili ya ukweli huwezi kumsikia mbunge akiisifia serikali. Sasa hapa kila mbunge kabla ya kuanza kilichomfanya asimame anaanza kusifia, unategemea huyo mtu ataikosoa na kuirekebisha serikali inayoongozwa na mtu anayemsifia?
 
Mitatu ! Upi na upi? Kwenye mihimili ya ukweli huwezi kumsikia mbunge akiisifia serikali. Sasa hapa kila mbunge kabla ya kuanza kilichomfanya asimame anaanza kusifia, unategemea huyo mtu ataikosoa na kuirekebisha serikali inayoongozwa na mtu anayemsifia?
Kumbe unaelewa bunge nalo ni mhimili, tatizo wabunge wetu kutokana na akili za chama kimoja au kutokuelewa wengi wamejikuta wakifanya kazi kama chawa wa executive branch (President), lakini katiba yetu nayo inmpa nguvu sana Raisi ndio maana anajiona ana nguvu kuliko bunge au mahakama,, kiukweli hao wote watatu inabidi wachekiane ili nchi ifanye kazi Kwa haki, mfano tungekuwa na majority wapinzani wanaojielewa katiba inawapa uwezo wa kumcheck Raisi na hata kumkataa waziri mkuu wake na budget yake na ninafikiri hata kumwondoa (Sina uhakika wanaojua watatuambia , mahakama nazo zina nguvu lakini kutokana na katiba kumpa Raisi kuteua majaji bila kuchekiwa au kuthibitishwa na bunge , majaji wengi wameishia kufanya kazi kama chawa tuu, Kuna mengi na ndio maana wanaoelewa wanataka katiba mpya ili nchi ifanye kazi vizuri
 
Tanganyika inaliwa inatafunwa na wachache MNO!!





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ila wakazi wa Dodoma nawaonea huruma kupisha misafara.
 
Aliyemuweka mwigulu hapo alipo hana sauti kwa mwigulu ndo mana mwigulu na maswahiba wake wanajiamulia tu!!!! Hebu fikri hiyo bajeti isiposomwa bungeni itatupunguzia nn sisi wananchi masikini??? Yani pesa waitumie wao alafu waje watuigizie sisi!!!!! So bora wawe wanasomeana wao kwa wao tu
 
Kamua watu kwenye tozo halafu nunua gari la mi 500
 
Sidhani kama Kuna tatizo hapa. Hapo utakuta Kuna gari la Waziri, na wanaomsindikiza kama Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, na viongozi wengine waandamizi wa Wizara wanaoelekea Bungeni na inafahamika hao Wote Wana usafiri wao.

Sioni kama kuna matumizi ya rasilimali usio wa kawaida katika msafara huo
Hiyo plate namba ni Bure? Hayo matumizi ya barabara umeyaona vizuri?
 
Halafu alipofika mkoba ukagoma kufunguka.Ka nchi ka kishamba sna haka
 
Back
Top Bottom