Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nani angemkaba kumuibia hayo makabrasha yake ya bajeti ya kisanii?
Huyu jamaa hajawahi kuwa serious hata kwenye mambo ya msingi.
Watu wanaopenda timu za Simba na Yanga Wana mbwembwe sana mfano yule Kigwangala angekuwa Rais 2015 πππHapo hajawa Rais, ile Mwigulu Rais 2015 ingetiki angetua Bungeni na Chopa π
SAKO KWA BAKO.
Noma sana!Huyu jamaa hajawahi kuwa serious hata kwenye mambo ya msingi.
Ni hatari aisee πWatu wanaopenda timu za Simba na Yanga Wana mbwembwe sana mfano yule Kigwangala angekuwa Rais 2015 πππ
Ukiona hivyo utadhani ni vitu vya maana kumbe ni bla bla bla tu. Ulimbukeni mtupu.
Alaala yasikukute ya nawanda tuNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Unawaza Mbunye tuNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Anasema Yanga uwekwe kwenye NOTISAKO KWA BAKO.