Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Acha ujingaTatizo hujamuelewa katumia fasihi, Usipende kukurupuka
Vijana wa Kenya wangemtia mkong'oto kwa matumizi mabaya ya raslimali ikiwa inatokana na mikopo ambayo italipwa na jeneresheni ijayo. Watanzania tunanyamaza tu kama hatuoni tatizo
Wewe unafikiri yeye haijui mihimili ya Serikali?Acha ujinga
MUNGU anakupenda sana,ndo maana kakunyima ππNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Hilo linatongoza lenyewe. Unalipaki tu sehemu wanayopita warembo ππNkiwa nalo hata moja hilo Li LC nyapu ztanikoma
Wananua tu maV8