Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Yani royal class ina seat kama za isamilo🤣
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Wacha tumuite kadogosa aje atoe ufafanuzi!
 
IMG_4154.jpeg
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?

Boss una uhakika hicho kiti cha SGR TZ kuwa ni Royal?,
Pamoja na kwamba sijachungulia huko Royal kukoje ila kwa akili ya kawaida hicho kiti ni cha daraja la tatu....
ACHA KUPOTOSHA!!!
 
Nauli kutoka Dsm hadi Dodoma ni 150,000/= ? Hiyo 150,000/= ni pesa ya Tanzania au pesa ya Zimbabwe??
Hiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.
Ndio sababu miradi ya serikali huwa inakufa kibudu, maana hii mchongoko inaenda kuwa ni mzigo wa serikali kimatumizi.
Haiingii akilini pesa niliyoitafuta kwa jasho niende kuichoma kwa masaa mawili bila sababu za maana,
Kwenye booking nimeona loyal class kwa kesho tar 2 ipo fully booked, naamini sio sisis ni wao wenyewe viongozi wanasafiri.
 
Hiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.
Ndio sababu miradi ya serikali huwa inakufa kibudu, maana hii mchongoko inaenda kuwa ni mzigo wa serikali kimatumizi.
Haiingii akilini pesa niliyoitafuta kwa jasho niende kuichoma kwa masaa mawili bila sababu za maana,
Kwenye booking nimeona loyal class kwa kesho tar 2 ipo fully booked, naamini sio sisis ni wao wenyewe viongozi wanasafiri.
Huna hela, halafu siku mbili hizi wamepiga faida 18b
 
Boss una uhakika hicho kiti cha SGR TZ kuwa ni Royal?,
Pamoja na kwamba sijachungulia huko Royal kukoje ila kwa akili ya kawaida hicho kiti ni cha daraja la tatu....
ACHA KUPOTOSHA!!!
Mabehewa yote 8 kwenye treni yamchongoko ni business class, nauli ya chini ni 120000, behewa moja ni royal class ndio hilo, Lina nauli ya 150,000.
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Mchg Msigwa anasemaje
 
Back
Top Bottom