Sun Zu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2022
- 636
- 1,819
Hiyo nauli ya 150K kwa litakataka bora nioNauli kutoka Dsm hadi Dodoma ni 150,000/= ? Hiyo 150,000/= ni pesa ya Tanzania au pesa ya Zimbabwe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nauli ya 150K kwa litakataka bora nioNauli kutoka Dsm hadi Dodoma ni 150,000/= ? Hiyo 150,000/= ni pesa ya Tanzania au pesa ya Zimbabwe??
Hakika mie nimeduwaa yaani hata behewa za sgr yetu ya kawaida ziko vizuri kuliko hili mchongoko, au kuna watu walichonga mchongo wao kupitia mchongoko huu?Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
hapa utasikia mama anautandika mpaka wananchi wanaloa 😥😥😥😥Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hapo kwenye nauli wanazingua sana, nauli ya daraja lolote kwenye hiyo treni haikutakiwa kuzidi 60,000.Ni sw ila nauli haipaswi kuwa kubwa ivo apo hakuna tofaut na madaraja ya kawaida
🤣😂😂 oyaa yaaani kila unavyojiuliza unaishia kukosa majibu kuna namna viogozi wanatukosea sanaHakika mie nimeduwaa yaani hata behewa za sgr yetu ya kawaida ziko vizuri kuliko hili mchongoko, au kuna watu walichonga mchongo wao kupitia mchongoko huu?
Bongo wamechomelea vigoda ndiyo wameviweka royal class??Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Achana na speed, zingatia maneno "Royal Class"Hiyo ya kwetu labda unaweza kuweka miguu hapo ukishikwa na usingizi,halafu ya kwetu inakwenda haraka zaidi kuliko ya Kenya hivyo hizo complications nyingine hazina maana......
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Wenye treni yao wamekuandikia kabisa hapo kuwa ni Royal au haujasoma?Boss una uhakika hicho kiti cha SGR TZ kuwa ni Royal?,
Pamoja na kwamba sijachungulia huko Royal kukoje ila kwa akili ya kawaida hicho kiti ni cha daraja la tatu....
ACHA KUPOTOSHA!!!
Bongo upunguani hautakuja uishe. Enzi hizo unatafuta chumba cha kukaa, unaambiwa chumba kipo, bei yake ni 35,000 ila ukitaka master (chumba na choo cha peke yako) ni 70,000 hadi 100,000 (Gharama ya cho ni sawa au zaidi ya chumba)Hapo kwenye nauli wanazingua sana, nauli ya daraja lolote kwenye hiyo treni haikutakiwa kuzidi 60,000.
Kusoma hujui hata picha umeshindwa kutazama?Boss una uhakika hicho kiti cha SGR TZ kuwa ni Royal?,
Pamoja na kwamba sijachungulia huko Royal kukoje ila kwa akili ya kawaida hicho kiti ni cha daraja la tatu....
ACHA KUPOTOSHA!!!
Hao ni viongozi ni mpaka tarehe 3, treni imeondoka na abira wasiozid 300 inamaana hajafikisha hata nusu treni huku zile royal na business za ya kawaida yetu zikiwa ndo Huwa zinawahi kujaa kabla ya daraja la tatu.Hiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.
Ndio sababu miradi ya serikali huwa inakufa kibudu, maana hii mchongoko inaenda kuwa ni mzigo wa serikali kimatumizi.
Haiingii akilini pesa niliyoitafuta kwa jasho niende kuichoma kwa masaa mawili bila sababu za maana,
Kwenye booking nimeona loyal class kwa kesho tar 2 ipo fully booked, naamini sio sisis ni wao wenyewe viongozi wanasafiri.
Siku hizi pua ya treni nayo inalipiwaHiyo nauli ya 150K kwa litakataka bora nio
Nawaza tu hapo kwa sisi vibonge na kitambi changu nimekaa hapo kwenye seat halafu mbele yangu akae abiria wa kike mdada mrembo tumeangaliana hivyo safari nzima mie mwepesi wa kusinzia safarini na nikisinzia huwa nakoroma natoa mpaka udenda sambamba na kujamba mara moja mojaNauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?