Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hakika mie nimeduwaa yaani hata behewa za sgr yetu ya kawaida ziko vizuri kuliko hili mchongoko, au kuna watu walichonga mchongo wao kupitia mchongoko huu?
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
hapa utasikia mama anautandika mpaka wananchi wanaloa 😥😥😥😥
 
Hakika mie nimeduwaa yaani hata behewa za sgr yetu ya kawaida ziko vizuri kuliko hili mchongoko, au kuna watu walichonga mchongo wao kupitia mchongoko huu?
🤣😂😂 oyaa yaaani kila unavyojiuliza unaishia kukosa majibu kuna namna viogozi wanatukosea sana
Wanahisi kwenye hii nchi watu wote ni wajinga kumbe sivyo ilivo
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Bongo wamechomelea vigoda ndiyo wameviweka royal class??
 
Hapo kwenye nauli wanazingua sana, nauli ya daraja lolote kwenye hiyo treni haikutakiwa kuzidi 60,000.
Bongo upunguani hautakuja uishe. Enzi hizo unatafuta chumba cha kukaa, unaambiwa chumba kipo, bei yake ni 35,000 ila ukitaka master (chumba na choo cha peke yako) ni 70,000 hadi 100,000 (Gharama ya cho ni sawa au zaidi ya chumba)

Tafsiri ni kwamba maisha ya bongo ni kama shule au jela tu kiasi kwamba kuwa na choo cha peke yako inachukuliwa kuwa ni anasa.
 
Hiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.
Ndio sababu miradi ya serikali huwa inakufa kibudu, maana hii mchongoko inaenda kuwa ni mzigo wa serikali kimatumizi.
Haiingii akilini pesa niliyoitafuta kwa jasho niende kuichoma kwa masaa mawili bila sababu za maana,
Kwenye booking nimeona loyal class kwa kesho tar 2 ipo fully booked, naamini sio sisis ni wao wenyewe viongozi wanasafiri.
Hao ni viongozi ni mpaka tarehe 3, treni imeondoka na abira wasiozid 300 inamaana hajafikisha hata nusu treni huku zile royal na business za ya kawaida yetu zikiwa ndo Huwa zinawahi kujaa kabla ya daraja la tatu.
Siti za daraja zinavutiq hata kwa macho kuliko hizo royal za mchongoko.
Behewa Moja la mchongoko mnakaaa mpaka watu 90 huku kwenye loco letu hat 50 na Bado viti vyake vimekaaa kiclassic.
Siwez lipia pua tu ya treni mara mbili ya nauli ya kawaida
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Nawaza tu hapo kwa sisi vibonge na kitambi changu nimekaa hapo kwenye seat halafu mbele yangu akae abiria wa kike mdada mrembo tumeangaliana hivyo safari nzima mie mwepesi wa kusinzia safarini na nikisinzia huwa nakoroma natoa mpaka udenda sambamba na kujamba mara moja moja
Sasa huyo anayekaa mbele yangu hapo si atafanya niogope kusinzia ili kuepuka aibu?
 
Back
Top Bottom