Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Hilo behewa la Kenya ni mkono wa Mchina na hilo basi ni Yutong nalo ni mkono wa Mchina

Hayo mabehewa ya mchongoko ni Mkorea Kusini

Ukweli ni kwamba inapohusu interior design ya vyombo vya usafiri wa umma Mchina anajua sana

Maoni yangu wampe kazi Mchina awadizainie behewa lenye level halisi za royal
 
Hakika mie nimeduwaa yaani hata behewa za sgr yetu ya kawaida ziko vizuri kuliko hili mchongoko, au kuna watu walichonga mchongo wao kupitia mchongoko huu?
Watendaji wa serikali sijui wamefikiria Nini nauli ya mchongoko ilipaswa isitofautiane sana na Ile business class ya loco kama walikuwa wanataka utofaut in na viongozi au CEO wangeteua behewa Moja tu na wakaweka hizo Bei za 150,000 na pale terminal wakawatengenezea bonge la lounge wakati wanasubiri huduma.
Yaan nilipie royal halafu nikasimame kusubiri foleni ya kupanda
 
Hilo behewa la Kenya ni mkono wa Mchina na hilo basi ni Yutong nalo ni mkono wa Mchina

Hayo mabehewa ya mchongoko ni Mkorea Kusini

Ukweli ni kwamba inapohusu interior design ya vyombo vya usafiri wa umma Mchina anajua sana

Maoni yangu wampe kazi Mchina awadizainie behewa lenye level halisi za royal
Mkuu hata mkorea Yuko njema ni Hela yako tu.
 
Watendaji wa serikali sijui wamefikiria Nini nauli ya mchongoko ilipaswa isitofautiane sana na Ile business class ya loco kama walikuwa wanataka utofaut in na viongozi au CEO wangeteua behewa Moja tu na wakaweka hizo Bei za 150,000 na pale terminal wakawatengenezea bonge la lounge wakati wanasubiri huduma.
Yaan nilipie royal halafu nikasimame kusubiri foleni ya kupanda
Sio wewe na wenzio kwenye thread ya Dar vs Nrb niliwaambia hii ni scum na itabuma? Mara ya mwisho naangalia ilikuwa na abiria chini ya 20% sijui iliondoka na wangapi. Kwa nauli hizo itawadodea na watu watabaki na ile ordinary service. Yaani mwendo ule ule 160kph kuwahi dakika 20 ndio mtu alipie 150,000? Labda wale wanaolipiwa na wako wachache hawawezi kujaza hio treni. Hio itakuwa inagharamiwa na mapato ya ordinary service,
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Serikali inatakiwa kuwa na Wabunifu wake...! Tatizo Kuna Watu wanafanya kazi ambazo sio zao...!

Nna uhakika Kabisa Kwa Budget ambayo walitoa Kwa kazi hii,. Waangepata Mbunifu mzuri kuwaandalia michoro ya mwonekano wa kisasa wa Mabehewa haya ya Royal, tungepata mwonekano wa Ndani ya. Ndege Kabisa Kwa Gharama ile, coz usikute Mabbehewa ya Royal ni 4 tu.
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Jamani hawa watendaji wetu wanamatatizo sana..
Hata wangeangalia mabasi ya kimbinyiko na shabibi basi namna walivyopangilia siti zao za vip
 
Siku hizi pua ya treni nayo inalipiwa
Binadamu hajawahi kuridhika hata siku moja,vichwa vya kwanza vya SGR vilivyokuja watu walipiga kelele kuwa treni tumepigwa ni vichwa used,wakaona isiwe kesi,wakawaambia wakorea tuwekeeni pua ili waridhike mkawekewa pua ya kuchongoka,sasa mnapiga kelele tena viti navyo sio...
 
Sio wewe na wenzio kwenye thread ya Dar vs Nrb niliwaambia hii ni scum na itabuma? Mara ya mwisho naangalia ilikuwa na abiria chini ya 20% sijui iliondoka na wangapi. Kwa nauli hizo itawadodea na watu watabaki na ile ordinary service. Yaani mwendo ule ule 160kph kuwahi dakika 20 ndio mtu alipie 150,000? Labda wale wanaolipiwa na wako wachache hawawezi kujaza hio treni. Hio itakuwa inagharamiwa na mapato ya ordinary service,
Labda umenichanganya nilikuwa against nauli hii sio project, hii nauli ni kubwa sana kaka.
Hata dhamani ya ununuzi ukija piga hesabu zile loco ukijumlisha na mabehewa ni zaid ya hizi emu kwanini unichajji zaidi.
Emu dhama ni wastan wa USD 18mil
Kichwa tu Cha loco ni wastan 5.5mil bila mabehewa
 
Sio wewe na wenzio kwenye thread ya Dar vs Nrb niliwaambia hii ni scum na itabuma? Mara ya mwisho naangalia ilikuwa na abiria chini ya 20% sijui iliondoka na wangapi. Kwa nauli hizo itawadodea na watu watabaki na ile ordinary service. Yaani mwendo ule ule 160kph kuwahi dakika 20 ndio mtu alipie 150,000? Labda wale wanaolipiwa na wako wachache hawawezi kujaza hio treni. Hio itakuwa inagharamiwa na mapato ya ordinary service,
Umenichanganya na geuza ulole
 
Serikali inatakiwa kuwa na Wabunifu wake...! Tatizo Kuna Watu wanafanya kazi ambazo sio zao...!

Nna uhakika Kabisa Kwa Budget ambayo walitoa Kwa kazi hii,. Waangepata Mbunifu mzuri kuwaandalia michoro ya mwonekano wa kisasa wa Mabehewa haya ya Royal, tungepata mwonekano wa Ndani ya. Ndege Kabisa Kwa Gharama ile, coz usikute Mabbehewa ya Royal ni 4 tu.
Wateja wa Roya sio wengi kama tunavyojiamijisha ila tuna wateja wengi wa Hali za kawaida wa Kila siku
 
Binadamu hajawahi kuridhika hata siku moja,vichwa vya kwanza vya SGR vilivyokuja watu walipiga kelele kuwa treni tumepigwa ni vichwa used,wakaona isiwe kesi,wakawaambia wakorea tuwekeeni pua ili waridhike mkawekewa pua ya kuchongoka,sasa mnapiga kelele tena viti navyo sio...
Issue sio viti ila halo kabei hapana mkuu
 
Back
Top Bottom