Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuko mbali na maoni yako mkuuNauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Behewa la royal ni moja mengije saba ni bussiness class ambayo wanakaa watu 79,Serikali inatakiwa kuwa na Wabunifu wake...! Tatizo Kuna Watu wanafanya kazi ambazo sio zao...!
Nna uhakika Kabisa Kwa Budget ambayo walitoa Kwa kazi hii,. Waangepata Mbunifu mzuri kuwaandalia michoro ya mwonekano wa kisasa wa Mabehewa haya ya Royal, tungepata mwonekano wa Ndani ya. Ndege Kabisa Kwa Gharama ile, coz usikute Mabbehewa ya Royal ni 4 tu.
Sijui hata Huwa wanatuonaje wananchi?Duh viongozi wa Tanzania! Wanahisi hii dunia ya 2024 ni sawa na dunia 1940 kwamba unadaganya kitu na wananchi wanakukubalia.
Maana yake tangu safari zimeanza,watoto weupe mno ndiyo shida yenuFaida bil 18 kwa siku mbili na bado umeamini!!!
Watanzania tumelogwa kweli kweli
Mbaka ndiyo nini nyie wangese!!?Halafu hizi siti za kuangaliana duh, unatoka dodoma mbaka Dar umeangaliana na mtu, ukifika sura yote umeshaiweka kichwani. Kama ni adui yako itabidi muombane tu msamaha, hakuna namna
tuwape kandarasi bunge la kenya ije ituondolee haya magachagwa ya tanzaniaNauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Faida ya bilioni kwa project ya trilioni,🙂 umeshawahi hata kufanya biashara ya genge bro?Maana yake tangu safari zimeanza,watoto weupe mno ndiyo shida yenu
Kwani reli inayeyuka leo?!..hiyo iliyopo ilijengwa miaka zaidi ya 120 iliyopita,acha kutangaza ujingaFaida ya bilioni kwa project ya trilioni,🙂 umeshawahi hata kufanya biashara ya genge bro?
Kwani wewe ni lucas?Nimebubujikwa na machozi🤣🤣🤣
View attachment 3140270
Asilimia 85% ya watanzania wanakunya nje hawana maji safi na salama.Kwani reli inayeyuka leo?!..hiyo iliyopo ilijengwa miaka zaidi ya 120 iliyopita,acha kutangaza ujinga
Ndengaso maamaeeInspired by Land cruiser J70 🤣🤣
Hizo train wamenunua North Korea kwa Kim Jong Un?Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Unataka serikali ikujengee choo!?..utataka ikuchambe piaAsilimia 85% ya watanzania wanakunya nje hawana maji safi na salama.
ISRAEL FOREVER
Hapo umeweka vizuri,hilo behewa la Royal limeunganika na kichwa moja kwa moja,nadhani wangeweka wazi raha inayopatikana humo ndani tofauti na hayo mabehewa yatakayokuwa yanavutwa ambayo ni business class...Behewa la royal ni moja mengije saba ni bussiness class ambayo wanakaa watu 79,