Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Kwani reli inayeyuka leo?!..hiyo iliyopo ilijengwa miaka zaidi ya 120 iliyopita,acha kutangaza ujinga
Unasemaje umepata faids ya bilioni 18 ilhali gharama za project ni karibu trilioni kadhaa? Nani kati yangu anatangaza ujinga?
Reli haiyeyuki leo wala kesho sawa, what if kutatokea ushindani mpya ukaifanya reli useless? Yanayotekea kwenye mwendokasi hayakufundishi kitu?
 
Tunaviongozi Vichaa na wajinga sana awamu ya Wala urojo.Nauli yote hiyo ya Nini?kama laki na nusu ni kutoka dar Hadi Dodoma Kwa maana ikifika mwanza itakuwa nauli ni laki tatu na nusu ambayo ni sawa na nauli ya ndege!kiufupi huo mkweche ambao tumepigwa kuanzia bei ya ununuzi hautakuwa na manufaa Kwa wtz.
 
Ume address vitu viwili tofauti....
1. Umeonesha nauli kwenye maandishi (inayo tozwa kwa Royal class)
2. ukaweka picha ya daraja la tatu (ukiaminisha watu kuwa ndio Royal class)

Katafute Picha ya uhakika ya Royal Class uambatanishe kwenye hiyo nauli, ILI usipotezee watu muda kujadili kitu kisicho sahihi...
Madhara ya elimu bure🚮🚮🚮
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
10%
 
Unasemaje umepata faids ya bilioni 18 ilhali gharama za project ni karibu trilioni kadhaa? Nani kati yangu anatangaza ujinga?
Reli haiyeyuki leo wala kesho sawa, what if kutatokea ushindani mpya ukaifanya reli useless? Yanayotekea kwenye mwendokasi hayakufundishi kitu?
Najadiliana na bogus kumbe!!
 
Ume address vitu viwili tofauti....
1. Umeonesha nauli kwenye maandishi (inayo tozwa kwa Royal class)
2. ukaweka picha ya daraja la tatu (ukiaminisha watu kuwa ndio Royal class)

Katafute Picha ya uhakika ya Royal Class uambatanishe kwenye hiyo nauli, ILI usipotezee watu muda kujadili kitu kisicho sahihi...
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?

Nauli Mpya Za Treni Ya Mwendokasi SGR, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema bei za treni za mchongoko zitakuwa Tsh. 100,000 hadi 120,000 kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambapo treni hizo zitakuwa ni express ambazo hazitosimama kila kituo bali kutoka Dar es salaam zitasimama Morogoro kisha Dodoma .
 
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.

Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258

Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.

Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261

Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hii ndio Tanzania 🇹🇿.
Hatari tupu. Nimevifananisha na viti vya zahanati fulani ya mtu binafsi huku maeneo.
 
Back
Top Bottom