t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Unasemaje umepata faids ya bilioni 18 ilhali gharama za project ni karibu trilioni kadhaa? Nani kati yangu anatangaza ujinga?Kwani reli inayeyuka leo?!..hiyo iliyopo ilijengwa miaka zaidi ya 120 iliyopita,acha kutangaza ujinga
Reli haiyeyuki leo wala kesho sawa, what if kutatokea ushindani mpya ukaifanya reli useless? Yanayotekea kwenye mwendokasi hayakufundishi kitu?