concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Ila ni mara mbili ya nauli ya kwetu 250,000Hiyo ya kenya imekaa vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni mara mbili ya nauli ya kwetu 250,000Hiyo ya kenya imekaa vizuri
Sawa zinaweza kuwa hazina maana ila hapo kwenye 150k, ndio u maana unapoanzia.Hiyo ya kwetu labda unaweza kuweka miguu hapo ukishikwa na usingizi,halafu ya kwetu inakwenda haraka zaidi kuliko ya Kenya hivyo hizo complications nyingine hazina maana......
Yanazidiwa na siti za machame expressJamani hawa watendaji wetu wanamatatizo sana..
Hata wangeangalia mabasi ya kimbinyiko na shabibi basi namna walivyopangilia siti zao za vip
Kuliko kuja na ubunifu kama huu ni bora wangeacha kwanza wakomae na ile ordinary.Wateja wa Roya sio wengi kama tunavyojiamijisha ila tuna wateja wengi wa Hali za kawaida wa Kila siku
Na Wala sio haraka Bali utofauti ni dakika 20 tu na Ile loco tena naamini Ile loco Kuna kadereva kanakuwaga na wastan wa 166 mkizubaa kanafika mpk 170 inaweza fika mapema kuliko hiyoSawa zinaweza kuwa hazina maana ila hapo kwenye 150k, ndio u maana unapoanzia.
Kama suala ninkwemda haraka bas si bora kusimama tu watuchaji 5k maana kufika ni kule kule tu
Hiyo 150,000 ingekuwa mwanza sawaMambo luxurious waachie private sector wayafanye fully..., Kodi zetu zikitumike if at all kwenye Huduma..., thus hata kama mabehewa yana nondo ya watu kusimama basi yawepo baadhi lakini gharama iwe ya chini kushinda hata basi.... Karne hii mtu aweze kuishi Morogoro au Dodoma na kufanya kazi Dar.....;
Isee sijui kuna kuwaga na shida gani kwa hawa watendaji wetu..Yanazidiwa na siti za machame express
Yaani kama ni mtu binafsi na anahudumia soko lake niche market; hata angefanya bilioni tatu its okay..., ni private institution na pesa yake binafsi..., ila kwenye Kodi zetu na nchi ambayo transport ni muhimu kwa ujenzi wa taifa na watu kujipatia mkate wao wa kila siku..., utendaji wa hizi mali za UMMA ninaupima kwa affordability na sio how luxury au petty it looks... hata wakiweka behewa moja na wenye pesa basi waweke mengine 30 ya walalahoi wasio na alternative...Hiyo 150,000 ingekuwa mwanza sawa
Hivyo viti mbona kama vimetengenezwa Keko magurumbasi😅😅Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
You are Intelligent Man. Bravo!Yaani kama ni mtu binafsi na anahudumia soko lake niche market; hata angefanya bilioni tatu its okay..., ni private institution na pesa yake binafsi..., ila kwenye Kodi zetu na nchi ambayo transport ni muhimu kwa ujenzi wa taifa na watu kujipatia mkate wao wa kila siku..., utendaji wa hizi mali za UMMA ninaupima kwa affordability na sio how luxury au petty it looks... hata wakiweka behewa moja na wenye pesa basi waweke mengine 30 ya walalahoi wasio na alternative...
Kusoma hujui hata picha umeshindwa kutazama?
Hiyo Royal ya SGR ya Bongo watakuwa wamekosea picha.hiyo si ni ile ya Mwakyembe kweli.mkae kwa kupumuliana hivyo halafu ulipe 150k to Dom,si heri niongezw kidogo niende na ATCLNauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Ndo hiyohiyo bosiHiyo Royal ya SGR ya Bongo watakuwa wamekosea picha.hiyo si ni ile ya Mwakyembe kweli.mkae kwa kupumuliana hivyo halafu ulipe 150k to Dom,si heri niongezw kidogo niende na ATCL
Faida bil 18 kwa siku mbili na bado umeamini!!!Huna hela, halafu siku mbili hizi wamepiga faida 18b