Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Yani royal class ina seat kama za isamilo🤣Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Wacha tumuite kadogosa aje atoe ufafanuzi!Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Nauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Hiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.Nauli kutoka Dsm hadi Dodoma ni 150,000/= ? Hiyo 150,000/= ni pesa ya Tanzania au pesa ya Zimbabwe??
Kwani lazima upande royal?Wanatudharau sana aisee 🙆🏿♂️
Huna hela, halafu siku mbili hizi wamepiga faida 18bHiyo ya mchongoko watapanda viongozi zi wanaolipiwa nauli na serikali, sie ngumbaro ile ya naulin32000 inatufaaa.
Ndio sababu miradi ya serikali huwa inakufa kibudu, maana hii mchongoko inaenda kuwa ni mzigo wa serikali kimatumizi.
Haiingii akilini pesa niliyoitafuta kwa jasho niende kuichoma kwa masaa mawili bila sababu za maana,
Kwenye booking nimeona loyal class kwa kesho tar 2 ipo fully booked, naamini sio sisis ni wao wenyewe viongozi wanasafiri.
Utalii wa ndani 😆😆Serikali imeamua kutuletea treni la KIMANG'ATI
Uhakika BroUtalii wa ndani 😆😆
Mkuu kwani ukisema hauli chakula wewe maana yake hata kipikwe hovyo kwaajili ya wengine ni sawa?Kwani lazima upande royal?
Mabehewa yote 8 kwenye treni yamchongoko ni business class, nauli ya chini ni 120000, behewa moja ni royal class ndio hilo, Lina nauli ya 150,000.Boss una uhakika hicho kiti cha SGR TZ kuwa ni Royal?,
Pamoja na kwamba sijachungulia huko Royal kukoje ila kwa akili ya kawaida hicho kiti ni cha daraja la tatu....
ACHA KUPOTOSHA!!!
Mchg Msigwa anasemajeNauli ya hii treni mpya ya Royal ni Laki na Hamsini (150,000) Dar mpaka Dodoma.
Na huu ndio muonekano wake ndaniView attachment 3140258
Watu wengi wamepatwa naa kigugumizi kuhusu gharama za behewa hili ukilinganisha na ubora.
Hili hapa ni behewa la Royal kwa SGR ya Kenya, wenzetu wako mbaliView attachment 3140260
View attachment 3140261
Wadau wengine wanadai ni bora siti za mabasi zina ubora mzuri kushinda Royal Class ya SGRView attachment 3140263Yapi maoni yako?
Kumbe ndiyo huyuNimebubujikwa na machozi🤣🤣🤣
View attachment 3140270
Ni sw ila nauli haipaswi kuwa kubwa ivo apo hakuna tofaut na madaraja ya kawaidaHivyo viti kwa Tanzania ni sahihi, hii nchi population yake kubwa sana, mkileta madoido hapo mtasafirisha watu wawili watatu tu huku maelfu wakikosa huo usafari.