TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Waboreshe nandhari ya hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waboreshe nandhari ya hapo
Nimecheki hiyo inanipitishaa Iringa.
Safi kabisa Nigerians
YeahHii road ndo itakuja Hadi huku Namtumbo??
Zinafika Km ngapi kutoka hapo Moro Hadi pale Lumecha pachani?Yeah
Daraja hili halina hata taa za barabarani Wala deflectors kwa pembeni?? Designing process ilikuwaje Hadi wamesahau kuweka vitu hivi muhimu???Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara sehemu ya Kidatu - Ifakara kilometa 66.9 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami Mkoani Morogoro.
Daraja hilo limejengwa na Mkandarasi Reynolds Construction Company - RCC ya Nigeria na Mhandisi Mshauri kutoka Kitengo cha Uhandisi (TANROADS Engineering Consulting Unit - TECU).
Usanifu na maandalizi ya nyaraka za zabuni ulifanywa na Kampuni ya kihandisi ya Crown-Tech Ltd ya Tanzania.
Ujenzi wa Daraja la Ruaha Mkuu limejengwa sambamba na barabara ya Kidatu - Ifakara kwa kiwango cha lami, Ujenzi ulianza 02 Oktoba 2017 na kukamilika 30 Juni, 2024 kwa gharama ya Shilingi Billion 157.15, ikihusisha ujenzi wa barabara, daraja, usimamizi na fidia ya mali zilizoathiriwa na mradi.
Barabara ya Kidatu - Ifakara na Daraja la Ruaha Mkuu imefunguliwa rasmi leo Agosti 04, 2024 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mradi ulianza 2017 wanasema, ukakamilika 2024! Umbali ni km 67 nadhani, daraja likiwa na mita 133.Daraja hili halina hata taa za barabarani Wala deflectors kwa pembeni?? Designing process ilikuwaje Hadi wamesahau kuweka vitu hivi muhimu???
Hili litapewa jina la rais gani?
Nimefanya utafiti wangu nimebaini umbali wake ni kama hivi ifuatavyo:-Zinafika Km ngapi kutoka hapo Moro Hadi pale Lumecha pachani?
Hapo sawa so Ni kama masaa 11 hivi kwa basi .Nimefanya utafiti wangu nimebaini umbali wake ni kama hivi ifuatavyo:-
1. Umbali wa kutoka Morogoro Mjini Hadi Mikumi ni 120 km.
2. Mikumi Hadi Kidatu ni 35 km.
3. Kidatu-Ifakara-Lupiro-Malinyi - Lumecha Namtumbo ni 486 km
Hivyo basi, JUMLA ya Umbali wa kutoka Morogoro Mjini-Mikumi-Ifalara-Malinyi hadi Lumecha Namtumbo ni Kilomita 641.
Aidha, umbali wa kutoka Dsm hadi Morogoro ni 196 km.
Hivyo, umbali wa kutoka Dsm- Morogoro-Mikumi-Ifakara-Malinyi-Lumecha Namtumbo ni Kilomita 837.
KibunangoHili litapewa jina la rais gani?
Safari ya Siku moja kwa usafiri wa motokaa ya aina yoyoteHivyo, umbali wa kutoka Dsm- Morogoro-Mikumi-Ifakara-Malinyi-Lumecha Namtumbo ni Kilomita 837.
Punguza malalamiko bro, wape credit where its due. Ohh wamepigwa ,ohh hakuna daraja ulishawahi kujenga , unajua ni kiasi gani kusimamaisha darwja jipya kama hilo?Hapo tumepigwa.hakuna daraja hapo.kwa sisi wataalamu tunaelewa.kodi za wananchi zimechezewa
Ni kazi yake kusimamia, sifa zinazidi hadi kero.Tusibeze mafanikio ya awamu ya sita
Mama anastahili kongole kwa kuwa imara kusimamia miradi hii
Huo mradi wa jiwe kwani umesahau lijualikali alipiga mpaka magoti akiomba hiyo rami ijengwe jiwe akapiga simu ujenzi ukaanza hapo hapoKweli kasimamia, maana pesa ya ujenzi walitoa israel toka mwaka 2017 ndio barabara imekamilika leo
Inawezekana. Maana ya kutokea Namtumbo inaanzia Malinyi huko. Hiyo ni kuelekea Ifakara. Mbele ya Ifakara ndo kuna ya kwenda Namtumbo.Hii road ndo itakuja Hadi huku Namtumbo??
Tena wanaigeria hawa tunaowafaham kwa ile angle ya pili 😐!.Kampuni yenyewe kutoka Nigeria..yetu macho na masikio.
Tufafanulie kidogo na wengine tueleweHapo tumepigwa.hakuna daraja hapo.kwa sisi wataalamu tunaelewa.kodi za wananchi zimechezewa