Huu ndio Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu (Mita 133) katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara

Huu ndio Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu (Mita 133) katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara

Hii road ndo itakuja Hadi huku Namtumbo??
Wafanye hivyo maana Watu wa ifakara wanapata tabu sana kuja Lindi ni hadi upite Dar au Makambako siku mbili njiani ,wakati wakipita Hifadhi ya Nyerere ni masaa manne tu washafika Liwale.
 
Fala ww pita kushoto siongei na wapumbavu mimi
Mipango ya Magu mama ana implement 😁😁😁👇👇
20240805_113749.jpg
20240805_113827.jpg
20240804_151517.jpg
20240805_113735.jpg
20240803_192802.jpg
 
Huo mradi wa jiwe kwani umesahau lijualikali alipiga mpaka magoti akiomba hiyo rami ijengwe jiwe akapiga simu ujenzi ukaanza hapo hapo
Acha upotoshaji wewe, hiyo barabara fedha zimetoka israel, jiulize kwanini TANROADS walikuwa hawatii maguu hapo
 
Back
Top Bottom