Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hamtaki wazawa wa africa?Kampuni yenyewe kutoka Nigeria..yetu macho na masikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaki wazawa wa africa?Kampuni yenyewe kutoka Nigeria..yetu macho na masikio.
Nimezunguka duniani kote hakuna daraja refu na zuri kama hili, ulaya qanatuonea wivu.
Alisikika mzilankende mmja 😂🤪Nimezunguka duniani kote hakuna daraja refu na zuri kama hili, ulaya qanatuonea wivu.
Hawaaminiki kabisa, janja-janja nyingi sana. Wanachoweza wao ni kufanya uchakachuaji kwenye miradi. Hawaaminiki, hatuwataki.Hamtaki wazawa wa africa?
Enhee! Waveja gisoga hambu!Alisikika mzilankende mmja 😂🤪
Kazi ya Magu hii. Maza ana implement tu
Kama ni kazi ya Magu ,kwa nini haku implement awamu ya 5?Kazi ya Magu hii. Maza ana implement tu
Ilianza awamu ya MaguKama ni kazi ya Magu ,kwa nini haku implement awamu ya 5?
Ilikuwa tayari kwenye Pepa mikataba ilishasainiwa na mkandarasi alishakula pasenti muda tu.....na Magu akafarikiKama ni kazi ya Magu ,kwa nini haku implement awamu ya 5?
Wafanye hivyo maana Watu wa ifakara wanapata tabu sana kuja Lindi ni hadi upite Dar au Makambako siku mbili njiani ,wakati wakipita Hifadhi ya Nyerere ni masaa manne tu washafika Liwale.Hii road ndo itakuja Hadi huku Namtumbo??
Kuna mradi ambao ulitekelezwa awamu ya 5 haikuwepo kwenye paper? Acha kuwa mjinga kama sio mpumbavuIlikuwa tayari kwenye Pepa mikataba ilishasainiwa na mkandarasi alishakula pasenti muda tu.....na Magu akafariki
Ww nimamtko baridi....punguza shoboKuna mradi ambao ulitekelezwa awamu ya 5 haikuwepo kwenye paper? Acha kuwa mjinga kama sio mpumbavu
Ndiyo wanasimamia na Ujenzi wa Bwawa la Nyerere na Viwanja wa Ndege kwa sasa.Halafu mshauri ni Local Company, ambaye sehemu ya TANROADS
Shobo kwako wewe mjinga au? 😂😂😂Ww nimamtko baridi....punguza shobo
Shobo kwako wewe mjinga au? 😂😂😂
Dalili za kuishiwa hoja,Mzee wa mipango ya Magu,Bado hujasema 🤣🤣🤣👇👇
View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1819443185203958019?t=P4kEt3Z0BG3TU_Rk3HHEfg&s=19
Mipango ya Magu mama ana implement 😁😁😁👇👇Fala ww pita kushoto siongei na wapumbavu mimi
Mbona reli mnasiliba kina JK na mkapa ambao nao walishaweka mambo kwenye pepa ?Ilikuwa tayari kwenye Pepa mikataba ilishasainiwa na mkandarasi alishakula pasenti muda tu.....na Magu akafariki
Acha upotoshaji wewe, hiyo barabara fedha zimetoka israel, jiulize kwanini TANROADS walikuwa hawatii maguu hapoHuo mradi wa jiwe kwani umesahau lijualikali alipiga mpaka magoti akiomba hiyo rami ijengwe jiwe akapiga simu ujenzi ukaanza hapo hapo