Huu ndio Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu (Mita 133) katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara

Hilo daraja la chuma limetutesa sana wakazi wa Ifakara. Ilikuwa ni mwendo tu wa kusubiriana. Gari za upande wa pili kuzisubiri gari nyingine zipite kwanza.

Ahueni ndugu zangu wa Ifakara, lami imewafikia.
 
Mradi ulianza 2017 wanasema, ukakamilika 2024! Umbali ni km 67 nadhani, daraja likiwa na mita 133.

Gharama ni 157bn, eti wamelipa fidia pia.

Tunajenga km 70 kwa miaka 7? Wastani wa 10km kwa miezi 12?
Tunajenga km 1 kwa 2.25bn?
#WajinGaSiSi.
 
Hilo daraja la chuma limetutesa sana wakazi wa Ifakara. Ilikuwa ni mwendo tu wa kusubiriana. Gari za upande wa pili kuzisubiri gari nyingine zipite kwanza.

Ahueni ndugu zangu wa Ifakara, lami imewafikia.
Mkuu hawa vijana wanadai ni kazi ya samia wakati ni magufuli

Japokuwa sikuwa namkubali ila hawa vijana ni wa hovyo sana
 
Kumbe mbali hivyo , almost dar shinyanga ?


Sidhani kama ni kweli
Unabishi nn?..mm nipo nasafirisha Tv yangu hisense inchi 55...nimepakata sijui kama ntafika nayo haijavunjika roho juu tu....ni masaa 12 na zaidi kufika malinyi huko mbele
 
Unabishi nn?..mm nipo nasafirisha Tv yangu hisense inchi 55...nimepakata sijui kama ntafika nayo haijavunjika roho juu tu....ni masaa 12 na zaidi kufika malinyi huko mbele
Unaenda wapi?
 
Hiyo Ndo njia wazee wetu zamani walikuwa wanaenda kwa mganga Binti Kalembwani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…