Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi habari za nabii Lut kuza na mabinti zake mnazipata wapi na mnaweza kututhibitishia ?Hujasoma Uzi wangu vizuri mkuu.
Hivi Kati ya Shillah Na Lutu alie zaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe Nani ana stahili kuitwa muhuni?
Unaweza kututbibitishia ya kuwa hizo ni hadithi tu ?Zile ni hadithi tu mkuu, hazina uhalisia wowote ni sawa na historia inavyotuaminisha ya kuwa sisi tulikuwa sokwe.
Sina uhakika... unaweza kunionyesha kifungu kinachoonyesha alikuwa nabii?Ibrahim sio Nabii?
Unaweza kuthibitisha hadithi za abunwasi ni za kweli?Unaweza kututbibitishia ya kuwa hizo ni hadithi tu ?
Hii maana ya kubaka umeipata wapi ? Natamani sana ungekuwa unaandika haya kwa uadilifu na elimu.3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..
Jibu kwanza swali nililo kuuliza. Kisha nikujibu swali lako.Unaweza kuthibitisha hadithi za abunwasi ni za kweli?
Jibu la hili swali ni sawa na jibu la swali ulilouliza.Jibu kwanza swali nililo kuuliza. Kisha nikujibu swali lako.
Ndio maana Sisi waafrika tunapaswa kurejea kwenye matambiko yetu ya asili.Sasa huyo beki tatu wa Ibu ambaye wewe unadai alibakwa mbona naskia huyo mtoto aliyekuja kumzaa ndio aliyekuja kuwa Baba wa waislamu?
Hii niliipata kwa Pachal mayalla
Siyo kweli sababu jibu lako halija kidhi vigezo vya kuwa jibu kwa swali.Jibu la hili swali ni sawa na jibu la swali ulilouliza.
Ibrahim hajawahi kuwa nabiiIbrahim sio Nabii?
Kitabu cha Mwanzo kimeandikwa na nani ? Ushawahi kuthibitisha ukweli wa hizi habari au mnachukua chukua tu na kuzieneza na kuzijengea hoja ?Genesis 19:30-37 ( Mwanzo 19:30-37)