Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Mleta mada wore uliowataja Hanna nabii hata mmoja hapo Ibrahim,Lutu,mfalme Daud hawakuwa manabii walikuwa watu wa kawaida mifano yako inaonyesha hata hujui nabii ni nani
Mimi pia nimeshangaa
 
Siyo kweli sababu jibu lako halija kidhi vigezo vya kuwa jibu kwa swali.

Fata utaratibu kisha tuendelee. Usilete utoto wa kukimbia maswali. Watu wa humu wengi huwa mnakanusha mambo msiyo kuwa na elimu nayo tukiwataka ushahidi mnakimbia.
Unaamini hicho unachokiamini kililetwa na wakoloni?
 
75A05831-CB8F-4976-B2C6-96E52A639F40.png
19E0EF31-467F-43B5-8E3E-F4227C7AB335.png
 
Kwa jinsi ya hii mada mtiririko wake na aina ya uandishi pasipo shaka yeyote mleta mada atakuwa ni nabii shilla mwenyewe

Ana elimu ya mambo potofu mengi sana ndiye alitukana Yesu hadi TV ikataka kufungiwa na TCRA
 
Unaamini hicho unachokiamini kililetwa na wakoloni?
Kijana tuliza akili usiruke ruke kama bisi, tumalize kwanza hili la Abu Nawas (Abu Al al-Hassan bin Hani al-Haakam) kisha tuendelee na hili.

Kingini mimi ni Muislamu nimejengwa katika ukweli na na kuhakiki habari toka kwenye asili. Sasa jua unajadiliana na mtu wa aina gani.

Nithibitishie ya kuwa hizi habari kutungwa au mfano wake kisha nitarudi kukupa faida kuhusu Abu Nawas na tuhakiki habari zake.
 
Hii maana ya kubaka umeipata wapi ? Natamani sana ungekuwa unaandika haya kwa uadilifu na elimu.

Sasa jambo ambalo limeruhusiwa linakuwaje baya ? Unatumia vipimo gani ?
Limeruhusiwa na Nani?
 
Hii maana ya kubaka umeipata wapi ? Natamani sana ungekuwa unaandika haya kwa uadilifu na elimu.

Sasa jambo ambalo limeruhusiwa linakuwaje baya ? Unatumia vipimo gani ?
Limeruhusiwa na Nani
 
ILA Lutu kuzaa Na binti zake sio kufuru?
Nimekuomba ushahidi wa kuzaa na mabinti zake ukaweka andiko nikakuuliza nani aliandika hilo andiko na je umehakiki vipi vipi kujua hilo andiko ni sahihi mpaka unalijengea hoja ?

Shida yenu vijana hamjishughulishi na elimu wala kuhakiki mnayo yasoma na kuyasikia.

Nataka tuhakiki kwanza hilo andiko tujue ni la kweli au la. Sababu mitume na manabii wamekikingwa na makosa ya udhalili na kuvunja heshima.

Nasubiri majibu.
 
Kijana tuliza akili usiruke ruke kama bisi, tumalize kwanza hili la Abu Nawas (Abu Al al-Hassan bin Hani al-Haakam) kisha tuendelee na hili.

Kingini mimi ni Muislamu nimejengwa katika ukweli na na kuhakiki habari toka kwenye asili. Sasa jua unajadiliana na mtu wa aina gani.

Nithibitishie ya kuwa hizi habari kutungwa au mfano wake kisha nitarudi kukupa faida kuhusu Abu Nawas na tuhakiki habari zake.
Chochote tunachokijadili hapa ni mapokeo kutoka mitazamo ya watu kutoka nchi za mbali, kutuletea tamaduni zao kwa faida ya kwao. Kama unachokiamini ni cha kweli, biashara ya utumwa isingekuwepo pamoja na kunyanyaswa kwa mwafrika kutoka kwa waarabu na wengineo kusingekuwepo. Inakuwaje anayekuletea imani, huyo huyo ndio akufanye kuwa wewe ni mtumwa? Fanya utafiti...
 
Nje ya Mada.

Ya Shillah ni kama ya Prophet Bushiri (Malawi).

Kuutaka ubillionea , mwisho wa siku amekamatwa na kesi ya kutakatisha fedha na wizi.

Kuwa Nabii sio lazima uwe billionea, sasa kwann yeye anautaka ubillionea?.
Ukifikiria haya , ndio unapata conclusion kuwa ni Motive yake ni hela na sio Kuhubiri neno.


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ibrahim hajawahi kuwa nabii
Mkuu unazo leta Ni technicalities Tu lakini ukweli unabaki kuwa pale pale Ibrahim Ni MTU muhimu kwenye Biblia.

Anyways tufanye Ibrahimu hakuwa Nabii.

Ibrahim Ni baba WA imani so unakubaliana Na Mimi kwamba Ibrahimu Ni baba WA Imani?
 
Hujasoma Uzi wangu vizuri mkuu.

Hivi Kati ya Shillah Na Lutu alie zaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe Nani ana stahili kuitwa muhuni?
Lutu alinyweshwa pombe na binti zake. Wakalala nae akiwa hajielewi.So lutu sio muhuni
 
Back
Top Bottom