Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Hujasoma Uzi wangu vizuri mkuu.

Hivi Kati ya Shillah Na Lutu alie zaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe Nani ana stahili kuitwa muhuni?
Ungetulia ukasoma Bible vizuri usingekuja na hii kufuru. Lutu alileweshwa na binti zake hivyo wakamtegeshea baba yao ili wapate uzazi kutokana na mazingira ya upeke waliyokuwa nayo. Ndomaana Lutu baada ya kunua ile hali aliilani pombe. Sasa wewe ukisoma kihuni na kutafsiri kihuni ili ulete unachotaka kukileta, wewe ni kama Nabii Tito tu na huna lingine.
Incidence ya Yacob na wake zake angalia vizuri mila na desturi za wakati ule. Jacob alitumwa na mama Yake kwenda Ujombani ili ajipatie mke huko. Hiyo ni mila kama za Wakurya kuchaguliwa mke na wazazi. Ndugu yangu Bible sio novel ya kusoma wakati umechoka ili kupunguza uchovu. Omba Mungu na uache kufuru. Soma tena kwa Tafakari.
 
Nalijua Hilo mkuu. I have mastered Esotheric Bible teachings. Ningesema nifunguke hapa ningewachanganya wengi Sana.
Bible haitakiwi kisomwa literally, ni coded text ambayo Freemasons ndo wanaelewa kilichoandikwa, hata taji la miba la Yesu ni symbolic ya Sun rays na Yesu kuitwa Son of God but to Masons ni Sun of God ndo maana picha nyingi za Yesu zina "Halo" yaani imezungukwa na jua, the same to Wanafunzi wake 12 na mwalimu wao wa 13. Namba kumi na Tatu ni symbolic...
Na idadi ya wanafunzi 12 ni symbol ya Zodiac au saa iliyoganywa kwa robo nne..and so so...
Sina muda wa kuandika lakini hongera mtoa mada uko sahihi
Dini zote ni mind controll tools za Illuminatti
 
Kisa Cha safiya ni Cha kuuzunisha Sana , Muhammad alichinja familia yake na akambaka nenda kasome , alimkatakata mume wa safiya mbele yake
Safiyah was by all accounts a captive. Her father and uncle had been beheaded, and her husband was tortured to death. All her brothers and male relatives were massacred and his female relatives were enslaved by Muslims. She was alone. She was caught among the enemy.
Naona umekimbia.
 
ha ha ha ha hutakiwi kutumia nguvu nyingi katika kujenga hoja kwa kitu ambacho hakina 'financial benefits'; kwa kifupi hizi imani ni miradi ya watu, ndio maana kila sehemu lazima utoe fedha kwa mfumo wa sadaka, itahitaji uwe na akili kubwa kukubaliana na ninachokisema.
Siku nyingine uache kuropoka ropoka kama jambo huna elimu nalo.

Muda wote unapoteza unashindwa kukitetea unacho kiamini.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah .

Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba Nabii Shillah hastahili kuitwa Nabii basi inawezekana wewe hujaisoma Biblia vizuri.

Ungekuwa umeisoma Biblia kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo walaj usinge kuwa surprised na mtu kama Shillah kuwa Nabii.

Kwanini? Kwa Sababu ukitazama Maisha ya manabii walioandikwa kwenye Biblia halafu ukatazama Na Maisha ya Shillah basi maisha ya Shillah will be just like a Child play ( mchezo wa kitoto )

Manabii wanao heshimika ndani ya Biblia wamefanya mambo mengi ya ajabu kuliko Shillah.

Mfano Ibrahim ambae anatajwa kama Baba wa Imani.

1. Ibrahim alizaa Na dada yake ambae walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. Yes Sara Na Ibrahim walikuwa mtu Na dada yake ambao walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. ( Mwanzo 20:12)

NADHANI HII NDIO SABABU KWANINI IBRAHIM NA SARAH WALIKUWA NA CHANGAMOTO YA UZAZI. INAWEZEKANA WALIRITHI MAGONJWA YA KURITHI KUTOKA KWA BABA YAO ( TERAH) MAGONJWA AMBAYO YALI ATHIRI UZAZI. NDIO MAANA WALIPATA MTOTO MMOJA TU NA HATA MTOTO WAO ISAKA ALIOA AKIWA NA MIAKA 40 AKAPATA WATOTO MAPACHA AKIWA NA MIAKA 60 YANI MIAKA ISHIRINI BAADAE NA KATIKA HAO WATOTO MAPACHA YAKOBO AMBAE ALIOA KATIKA UKOO HUO HUO WA BABA YAKE ALIPATA TABU PIA KWENYE UZAZI ILIWALAZIMU WAKE ZAKE WAWILI KUTUMIA DAWA ASILI IITWAYO KWA KIZUNGU MANDRAKE AU KIMWERA " NDUTI" AMBAYO HUSAIDIA UZAZI KWA WANAWAKE. MTOTO MWINGINE WA IBRAHIM ( ISHMAEL) HAKUWA NA SHIDA YA UZAZI KWA SABABU ALICHANGANYA DAMU YANI IBRAHIMU NA MWANAMKE WA KIMISRI.

2. Ibrahim alizaa Na Suria/nyumba ndogo/ hawara/mchepuko Alie itwa Ketura


3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..

Binti ametoka Singida kaja Dar kufanya Kazi Kwa Don halafu mke wa Don amwambie Don nenda kalale Na binti huyo WA Kazi halafu useme sio rape hiyo?
Kuna mtu atasema Ibrahim alimuoa Hajir Kwa ridhaa ya sarai. Wajameni toka lini house girl akaozwa na boss wake WA Kazi? Yani binti wa Kazi katoka Singida kaja kufanya Kazi kwako Dar halafu wewe huyo huyo ndio umuoze Kwa mwanaume Tena mwanaume mwenyewe mume wako mwenyewe?

4. Ibrahim alikuwa anamtumia Hajjir kama MTUMWA wake WA kingono ( sex slave)

Issue HII ya Ibrahim Na asarah ingetokea leo wangeweza kushitakiwa.

Nikiyatazama Maisha ya Ibrahim huwa nashangaa kwanini aliitwa baba WA imani. Kwangu Mimi baba WA Imani angepaswa kuwa Yusufu mume WA Mariam ambae aliambiwa mke wako ambae Ni bikira amepata ujauzito Kwa uwezo WA roho matakatifu and still aka Amini. Yusufu atabaki kuwa mwanaume WA Kwanza Na mwisho duniani kuamini Jambo kama Hilo. Wengi wetu tunge break up with her.

Lakini alicho kifanya Ibrahim( kuwa tayari kumtoa Mtoto wake WA kipekee Kwa ajili ya kupokea Baraka ZA Mungu/miungu) watu wengi Sana hufanya hivyo bila KUjiuliza mara mbili.


5. Luthu ( ambae alikuwa Mtoto WA kaka yake Na Ibrahim ) alizaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe ( Kweli UKOO WA Ibrahim walikuwa Na tatizo Fulani katika UKOO wao hili suala la incest lilikuwa Jambo la kawaida Sana kwenye familia Yao)

6. King David was in a homosociality relationship with Jonathan. ( Sijasema homosexuality nimesema homosociality )

Hata hivyo baadhi ya wananzuoni wana toa hoja kwamba huenda Daud alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Jonathan ( 2 Samuel 1:26)

KWENYE ANDIKO HILO DAVID ANAMWAMBIA JONATHAN KWAMBA " MAPENZI YAKO KWANGU NI MAKUBWA KULIKO YA MWANAMKE"

7. Daud alimuua Uriah ili amuoe mke wake.

8. Daud aliwahi aliwahi kuua wanaume Mia mbili halafu govi zao akazipeleka Kwa mfalme Saul kama Mahari ya binti wa Sauli aliyeitwa Malika.

9. Daud alikuwa MTU wa damu. Alichinja Na kuua malaki ya watu.
( KWA MAONI YANGU NAFIKIRI DAUD HAKUMTUMIKIA MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI BALI ALIMTUMIKIA muungu wa vita )

10. Nuhu alikuwa analewa mpaka anabaki uchi Tena baadhi ya marabbi WA kiyahudi wanatoa hoja kwamba Hamu ali mlawiti baba yake( Nuhu) baada ya kumkuta akiwa uchi amelewa ndio maana Nuhu alipo Jua alicho FANYIWA Na MWANAE AKAMLAANI.( Nuhu alimlaani Hamu Kwa Sababu Hamu aliuona Na kuujua utupu WA baba Ake)

Mifano IPO Mingi Sana nikisema niitaje yote tutakesha.

Point yangu ni kwamba mtindo WA Maisha WA Nabii Shillah is just a child play ikilinganishwa Na Maisha Na matukio ya manabii wanao tajwa kwenye bible...

So having said that, ufuatao ndio unabii wangu Kwa Mtumishi WA Mungu Nabii Shillah.

Nabii Shillah is going to be a billionaire.

Why? Because he is pretending to be a billionaire.

Kanuni ya Maisha inasema hivi " U WILL ALWAYS BECOME WHAT U PRETENDS TO BE "

FAKE IT UNTILL U MAKE IT

View attachment 2120095
Mimi siyo msomi sana wa mambo ila ninao uelewa wangu kwa sehemu unaonipatia ujasiri kwa sehemu hata niandike hiki ninachoandika. Nina wasi wasi sana na ufahamu wako kuingiliwa na roho nyingine ya upotoshaji. Unapata wapi uhakika wa hayo uliyoyarejea kwamba ndivyo ilivyo katika uhalisia wake?
 
Ungetulia ukasoma Bible vizuri usingekuja na hii kufuru. Lutu alileweshwa na binti zake hivyo wakamtegeshea baba yao ili wapate uzazi kutokana na mazingira ya upeke waliyokuwa nayo. Ndomaana Lutu baada ya kunua ile hali aliilani pombe. Sasa wewe ukisoma kihuni na kutafsiri kihuni ili ulete unachotaka kukileta, wewe ni kama Nabii Tito tu na huna lingine.
Incidence ya Yacob na wake zake angalia vizuri mila na desturi za wakati ule. Jacob alitumwa na mama Yake kwenda Ujombani ili ajipatie mke huko. Hiyo ni mila kama za Wakurya kuchaguliwa mke na wazazi. Ndugu yangu Bible sio novel ya kusoma wakati umechoka ili kupunguza uchovu. Omba Mungu na uache kufuru. Soma tena kwa Tafakari.
Kufuru? Unachekesha Kweli wewe. Kati ya Lutu Alie lala Na watoto wake Hadi kuzaa nao Na Mimi ninaesema Lutu alilala Na binti zake Nani amekufuru?

Naamini umeenda shule Na una akili timamu.. incase kama huna akili Sawa Sawa ngoja nikukumbushe kitu. The most sensitive sexual organ of a man is his mind. Ili uume uweze kusimama Ni lazima Kwanza upate wazo la kufanya tendo la ndoa ukisha pata wazo mishipa ya Ubongo inatoa ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo then mishipa ya uti wa mgongo inapeleka taarifa kwenye ateri zinafunguka then damu Ina flow kwenda kwenye misuli ya uume hence MTU ana erect.

MTU hawezi kulewa kiasi cha kuzimia kama inavyo semwa Kwa Lutu Na akawa Na uwezo WA kufanya tendo la ndoa..

Lutu alikuwa anajua anacho kifanya. Mlevi Alie zimia Kwa pombe hawezi kumuingilia mwanamke ila yeye anaweza kulawitiwa kwa Sababu anakuwa hajitambui...

Hao binti WA Lutu ambae Ni Nabii Nani aliwafundisha kutengeneza pombe wakati baba Yao alikuwa Nabii?

Siku kadhaa kabla ya KULALA Na binti zake Lutu Alisha JARIBU kuwatoa binti zake Kwa Kundi la wahuni ( thugs) ili wabakwe.

Mkuu baba ako mzazi Ni Bora kuliko Lutu

Walevi wote huwa wanaachwa Na wake zao Kwa Sababu wakishalewa wanakuwa hawana uwezo Tena Kupiga Kazi.

Mfano mzuri ni kule Rombo wake ZA watu wakawa wanaenda Kenya kutafuta wanaume Kwa Sababu Waume zao wameendekeza ulevi.
 
Kisa Cha safiya ni Cha kuuzunisha Sana , Muhammad alichinja familia yake na akambaka nenda kasome , alimkatakata mume wa safiya mbele yake
Safiyah was by all accounts a captive. Her father and uncle had been beheaded, and her husband was tortured to death. All her brothers and male relatives were massacred and his female relatives were enslaved by Muslims. She was alone. She was caught among the enemy.
Weka Hilo andiko hapa tuone ,Acha bla bla na rubbish kisha tuambie zinapatikan kitabu gan na wanachuon wamezungumzia vip usahihi wake
 
Yameandikwa kwenye Biblia.
Mimi siyo msomi sana wa mambo ila ninao uelewa wangu kwa sehemu unaonipatia ujasiri kwa sehemu hata niandike hiki ninachoandika. Nina wasi wasi sana na ufahamu wako kuingiliwa na roho nyingine ya upotoshaji. Unapata wapi uhakika wa hayo uliyoyarejea kwamba ndivyo ilivyo katika uhalisia wake?
 
Kuna sehemu imeandikwa Hamu alimlawiti babake ndiyo sababu alivyolevuka akagundua na kumlaani?

Screenshot_20220215-131731.png
 
Back
Top Bottom