Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

IBRAHIM hakuwa nabii....NUHU hakuwa nabii.....karibia wote uliowataja hapo hawakuwa manabii.....
 
IBRAHIM hakuwa nabii....NUHU hakuwa nabii.....karibia wote uliowataja hapo hawakuwa manabii.....
Ila walikuwa watu wanao heshimika katika Bible sio?

Ibrahim ni baba WA Imani?
 
Ila walikuwa watu wanao heshimika katika Bible sio?

Ibrahim ni baba WA Imani?
Ni wateule wa MUNGU.....ni Baba wa Imani thats all.....hata wewe ukifanya dhambi ukaijutia na kutubu...Mungu anakusamehe....fanya yanayompendeza....
 
Umeandika Ujinga mtupu! Kama wewe ndiye Shillah basi nakukemea uache mara moja njia zako mbaya mbele ya macho ya Bwana!
Nadhani wewe sio mkristu maana ungekuwa mkristu ungejua nini maana ya AGANO JIPYA !

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Ni wateule wa MUNGU.....ni Baba wa Imani thats all.....hata wewe ukifanya dhambi ukaijutia na kutubu...Mungu anakusamehe....fanya yanayompendeza....
Kwa hiyo hata Shillah Na yeye Ni mteule WA Mungu sio?
 
Umeandika Ujinga mtupu! Kama wewe ndiye Shillah basi nakukemea uache mara moja njia zako mbaya mbele ya macho ya Bwana!
Nadhani wewe sio mkristu maana ungekuwa mkristu ungejua nini maana ya AGANO JIPYA !

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kama Kweli una Imani nenda kamkemee Lutu Kwa Kuzaa na binti zake.
Yesu hakuja kubatilisha agano la kale.

Umekosa hoja ndio maana unakuja Na matusi.

Ujumbe umekuingia bila Shaka ndio maana ume panic
 
Umeandika Ujinga mtupu! Kama wewe ndiye Shillah basi nakukemea uache mara moja njia zako mbaya mbele ya macho ya Bwana!
Nadhani wewe sio mkristu maana ungekuwa mkristu ungejua nini maana ya AGANO JIPYA !

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kama Kweli una Imani nenda kamkemee Lutu Kwa Kuzaa na binti zake.
Yesu hakuja kubatilisha agano la kale.

Umekosa hoja ndio maana unakuja Na matusi.

Ujumbe umekuingia bila Shaka ndio maana ume panic

Nafsi yako haitaki kuukubali ukweli

Utaijua Kweli nayo Kweli itakuweka huru
 
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah .

Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba Nabii Shillah hastahili kuitwa Nabii basi inawezekana wewe hujaisoma Biblia vizuri.

Ungekuwa umeisoma Biblia kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo walaj usinge kuwa surprised na mtu kama Shillah kuwa Nabii.

Kwanini? Kwa Sababu ukitazama Maisha ya manabii walioandikwa kwenye Biblia halafu ukatazama Na Maisha ya Shillah basi maisha ya Shillah will be just like a Child play ( mchezo wa kitoto )

Manabii wanao heshimika ndani ya Biblia wamefanya mambo mengi ya ajabu kuliko Shillah.

Mfano Ibrahim ambae anatajwa kama Baba wa Imani.

1. Ibrahim alizaa Na dada yake ambae walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. Yes Sara Na Ibrahim walikuwa mtu Na dada yake ambao walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. ( Mwanzo 20:12)

NADHANI HII NDIO SABABU KWANINI IBRAHIM NA SARAH WALIKUWA NA CHANGAMOTO YA UZAZI. INAWEZEKANA WALIRITHI MAGONJWA YA KURITHI KUTOKA KWA BABA YAO ( TERAH) MAGONJWA AMBAYO YALI ATHIRI UZAZI. NDIO MAANA WALIPATA MTOTO MMOJA TU NA HATA MTOTO WAO ISAKA ALIOA AKIWA NA MIAKA 40 AKAPATA WATOTO MAPACHA AKIWA NA MIAKA 60 YANI MIAKA ISHIRINI BAADAE NA KATIKA HAO WATOTO MAPACHA YAKOBO AMBAE ALIOA KATIKA UKOO HUO HUO WA BABA YAKE ALIPATA TABU PIA KWENYE UZAZI ILIWALAZIMU WAKE ZAKE WAWILI KUTUMIA DAWA ASILI IITWAYO KWA KIZUNGU MANDRAKE AU KIMWERA " NDUTI" AMBAYO HUSAIDIA UZAZI KWA WANAWAKE. MTOTO MWINGINE WA IBRAHIM ( ISHMAEL) HAKUWA NA SHIDA YA UZAZI KWA SABABU ALICHANGANYA DAMU YANI IBRAHIMU NA MWANAMKE WA KIMISRI.

2. Ibrahim alizaa Na Suria/nyumba ndogo/ hawara/mchepuko Alie itwa Ketura


3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..

Binti ametoka Singida kaja Dar kufanya Kazi Kwa Don halafu mke wa Don amwambie Don nenda kalale Na binti huyo WA Kazi halafu useme sio rape hiyo?
Kuna mtu atasema Ibrahim alimuoa Hajir Kwa ridhaa ya sarai. Wajameni toka lini house girl akaozwa na boss wake WA Kazi? Yani binti wa Kazi katoka Singida kaja kufanya Kazi kwako Dar halafu wewe huyo huyo ndio umuoze Kwa mwanaume Tena mwanaume mwenyewe mume wako mwenyewe?

4. Ibrahim alikuwa anamtumia Hajjir kama MTUMWA wake WA kingono ( sex slave)

Issue HII ya Ibrahim Na asarah ingetokea leo wangeweza kushitakiwa.

Nikiyatazama Maisha ya Ibrahim huwa nashangaa kwanini aliitwa baba WA imani. Kwangu Mimi baba WA Imani angepaswa kuwa Yusufu mume WA Mariam ambae aliambiwa mke wako ambae Ni bikira amepata ujauzito Kwa uwezo WA roho matakatifu and still aka Amini. Yusufu atabaki kuwa mwanaume WA Kwanza Na mwisho duniani kuamini Jambo kama Hilo. Wengi wetu tunge break up with her.

Lakini alicho kifanya Ibrahim( kuwa tayari kumtoa Mtoto wake WA kipekee Kwa ajili ya kupokea Baraka ZA Mungu/miungu) watu wengi Sana hufanya hivyo bila KUjiuliza mara mbili.


5. Luthu ( ambae alikuwa Mtoto WA kaka yake Na Ibrahim ) alizaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe ( Kweli UKOO WA Ibrahim walikuwa Na tatizo Fulani katika UKOO wao hili suala la incest lilikuwa Jambo la kawaida Sana kwenye familia Yao)

6. King David was in a homosociality relationship with Jonathan. ( Sijasema homosexuality nimesema homosociality )

Hata hivyo baadhi ya wananzuoni wana toa hoja kwamba huenda Daud alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Jonathan ( 2 Samuel 1:26)

KWENYE ANDIKO HILO DAVID ANAMWAMBIA JONATHAN KWAMBA " MAPENZI YAKO KWANGU NI MAKUBWA KULIKO YA MWANAMKE"

7. Daud alimuua Uriah ili amuoe mke wake.

8. Daud aliwahi aliwahi kuua wanaume Mia mbili halafu govi zao akazipeleka Kwa mfalme Saul kama Mahari ya binti wa Sauli aliyeitwa Malika.

9. Daud alikuwa MTU wa damu. Alichinja Na kuua malaki ya watu.
( KWA MAONI YANGU NAFIKIRI DAUD HAKUMTUMIKIA MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI BALI ALIMTUMIKIA muungu wa vita )

10. Nuhu alikuwa analewa mpaka anabaki uchi Tena baadhi ya marabbi WA kiyahudi wanatoa hoja kwamba Hamu ali mlawiti baba yake( Nuhu) baada ya kumkuta akiwa uchi amelewa ndio maana Nuhu alipo Jua alicho FANYIWA Na MWANAE AKAMLAANI.( Nuhu alimlaani Hamu Kwa Sababu Hamu aliuona Na kuujua utupu WA baba Ake)

Mifano IPO Mingi Sana nikisema niitaje yote tutakesha.

Point yangu ni kwamba mtindo WA Maisha WA Nabii Shillah is just a child play ikilinganishwa Na Maisha Na matukio ya manabii wanao tajwa kwenye bible...

So having said that, ufuatao ndio unabii wangu Kwa Mtumishi WA Mungu Nabii Shillah.

Nabii Shillah is going to be a billionaire.

Why? Because he is pretending to be a billionaire.

Kanuni ya Maisha inasema hivi " U WILL ALWAYS BECOME WHAT U PRETENDS TO BE "

FAKE IT UNTILL U MAKE IT

View attachment 2120095
Gazeti
 
Hujasoma Uzi wangu vizuri mkuu.

Hivi Kati ya Shillah Na Lutu alie zaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe Nani ana stahili kuitwa muhuni?
HUYO LUTH ALIZAA NA BINTI ZAKE KWA KUPENDA?? AU WALIMPA POMBE WAKAMBAKA BABA YAO???
 
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah .

Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba Nabii Shillah hastahili kuitwa Nabii basi inawezekana wewe hujaisoma Biblia vizuri.

Ungekuwa umeisoma Biblia kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo walaj usinge kuwa surprised na mtu kama Shillah kuwa Nabii.

Kwanini? Kwa Sababu ukitazama Maisha ya manabii walioandikwa kwenye Biblia halafu ukatazama Na Maisha ya Shillah basi maisha ya Shillah will be just like a Child play ( mchezo wa kitoto )

Manabii wanao heshimika ndani ya Biblia wamefanya mambo mengi ya ajabu kuliko Shillah.

Mfano Ibrahim ambae anatajwa kama Baba wa Imani.

1. Ibrahim alizaa Na dada yake ambae walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. Yes Sara Na Ibrahim walikuwa mtu Na dada yake ambao walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. ( Mwanzo 20:12)

NADHANI HII NDIO SABABU KWANINI IBRAHIM NA SARAH WALIKUWA NA CHANGAMOTO YA UZAZI. INAWEZEKANA WALIRITHI MAGONJWA YA KURITHI KUTOKA KWA BABA YAO ( TERAH) MAGONJWA AMBAYO YALI ATHIRI UZAZI. NDIO MAANA WALIPATA MTOTO MMOJA TU NA HATA MTOTO WAO ISAKA ALIOA AKIWA NA MIAKA 40 AKAPATA WATOTO MAPACHA AKIWA NA MIAKA 60 YANI MIAKA ISHIRINI BAADAE NA KATIKA HAO WATOTO MAPACHA YAKOBO AMBAE ALIOA KATIKA UKOO HUO HUO WA BABA YAKE ALIPATA TABU PIA KWENYE UZAZI ILIWALAZIMU WAKE ZAKE WAWILI KUTUMIA DAWA ASILI IITWAYO KWA KIZUNGU MANDRAKE AU KIMWERA " NDUTI" AMBAYO HUSAIDIA UZAZI KWA WANAWAKE. MTOTO MWINGINE WA IBRAHIM ( ISHMAEL) HAKUWA NA SHIDA YA UZAZI KWA SABABU ALICHANGANYA DAMU YANI IBRAHIMU NA MWANAMKE WA KIMISRI.

2. Ibrahim alizaa Na Suria/nyumba ndogo/ hawara/mchepuko Alie itwa Ketura


3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..

Binti ametoka Singida kaja Dar kufanya Kazi Kwa Don halafu mke wa Don amwambie Don nenda kalale Na binti huyo WA Kazi halafu useme sio rape hiyo?
Kuna mtu atasema Ibrahim alimuoa Hajir Kwa ridhaa ya sarai. Wajameni toka lini house girl akaozwa na boss wake WA Kazi? Yani binti wa Kazi katoka Singida kaja kufanya Kazi kwako Dar halafu wewe huyo huyo ndio umuoze Kwa mwanaume Tena mwanaume mwenyewe mume wako mwenyewe?

4. Ibrahim alikuwa anamtumia Hajjir kama MTUMWA wake WA kingono ( sex slave)

Issue HII ya Ibrahim Na asarah ingetokea leo wangeweza kushitakiwa.

Nikiyatazama Maisha ya Ibrahim huwa nashangaa kwanini aliitwa baba WA imani. Kwangu Mimi baba WA Imani angepaswa kuwa Yusufu mume WA Mariam ambae aliambiwa mke wako ambae Ni bikira amepata ujauzito Kwa uwezo WA roho matakatifu and still aka Amini. Yusufu atabaki kuwa mwanaume WA Kwanza Na mwisho duniani kuamini Jambo kama Hilo. Wengi wetu tunge break up with her.

Lakini alicho kifanya Ibrahim( kuwa tayari kumtoa Mtoto wake WA kipekee Kwa ajili ya kupokea Baraka ZA Mungu/miungu) watu wengi Sana hufanya hivyo bila KUjiuliza mara mbili.


5. Luthu ( ambae alikuwa Mtoto WA kaka yake Na Ibrahim ) alizaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe ( Kweli UKOO WA Ibrahim walikuwa Na tatizo Fulani katika UKOO wao hili suala la incest lilikuwa Jambo la kawaida Sana kwenye familia Yao)

6. King David was in a homosociality relationship with Jonathan. ( Sijasema homosexuality nimesema homosociality )

Hata hivyo baadhi ya wananzuoni wana toa hoja kwamba huenda Daud alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Jonathan ( 2 Samuel 1:26)

KWENYE ANDIKO HILO DAVID ANAMWAMBIA JONATHAN KWAMBA " MAPENZI YAKO KWANGU NI MAKUBWA KULIKO YA MWANAMKE"

7. Daud alimuua Uriah ili amuoe mke wake.

8. Daud aliwahi aliwahi kuua wanaume Mia mbili halafu govi zao akazipeleka Kwa mfalme Saul kama Mahari ya binti wa Sauli aliyeitwa Malika.

9. Daud alikuwa MTU wa damu. Alichinja Na kuua malaki ya watu.
( KWA MAONI YANGU NAFIKIRI DAUD HAKUMTUMIKIA MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI BALI ALIMTUMIKIA muungu wa vita )

10. Nuhu alikuwa analewa mpaka anabaki uchi Tena baadhi ya marabbi WA kiyahudi wanatoa hoja kwamba Hamu ali mlawiti baba yake( Nuhu) baada ya kumkuta akiwa uchi amelewa ndio maana Nuhu alipo Jua alicho FANYIWA Na MWANAE AKAMLAANI.( Nuhu alimlaani Hamu Kwa Sababu Hamu aliuona Na kuujua utupu WA baba Ake)

Mifano IPO Mingi Sana nikisema niitaje yote tutakesha.

Point yangu ni kwamba mtindo WA Maisha WA Nabii Shillah is just a child play ikilinganishwa Na Maisha Na matukio ya manabii wanao tajwa kwenye bible...

So having said that, ufuatao ndio unabii wangu Kwa Mtumishi WA Mungu Nabii Shillah.

Nabii Shillah is going to be a billionaire.

Why? Because he is pretending to be a billionaire.

Kanuni ya Maisha inasema hivi " U WILL ALWAYS BECOME WHAT U PRETENDS TO BE "

FAKE IT UNTILL U MAKE IT

View attachment 2120095
1. Hao wote uliowataja hapo hakuna nabii hata mmoja. Nabii ni kama Elia, Elisha na Yohana Mbatizaji.

2. Hata kama kweli wangekuwa manabii. Haimaanishi kuwa maovu waliyofanya ni halali na sisi tuyafanye.

3. Ungejenga hoja yako kwa mazuri anayofanya Shilla kwa kulinganisha na waliyoyafanya manabii. Ila kwa kulinganisha uovu, hapa umekosea mkuu.
 
Mungu hajawahi kuwaita waliostahili..Bali amewastahilisha aliowaita...
Sijui Kama umenielewa mleta thread
 
Wakati wa agano la kale Mungu anasema; Acts 17:30, so huwezi kushuhudia fake prophet act kutoka kwa wale wazee, although unaweza ukajiuliza why Mungu kwa wakati huo aliruhusu vile vitendo ni kwa makusudi gani?.
 
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah .

Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba Nabii Shillah hastahili kuitwa Nabii basi inawezekana wewe hujaisoma Biblia vizuri.

Ungekuwa umeisoma Biblia kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo walaj usinge kuwa surprised na mtu kama Shillah kuwa Nabii.

Kwanini? Kwa Sababu ukitazama Maisha ya manabii walioandikwa kwenye Biblia halafu ukatazama Na Maisha ya Shillah basi maisha ya Shillah will be just like a Child play ( mchezo wa kitoto )

Manabii wanao heshimika ndani ya Biblia wamefanya mambo mengi ya ajabu kuliko Shillah.

Mfano Ibrahim ambae anatajwa kama Baba wa Imani.

1. Ibrahim alizaa Na dada yake ambae walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. Yes Sara Na Ibrahim walikuwa mtu Na dada yake ambao walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. ( Mwanzo 20:12)

NADHANI HII NDIO SABABU KWANINI IBRAHIM NA SARAH WALIKUWA NA CHANGAMOTO YA UZAZI. INAWEZEKANA WALIRITHI MAGONJWA YA KURITHI KUTOKA KWA BABA YAO ( TERAH) MAGONJWA AMBAYO YALI ATHIRI UZAZI. NDIO MAANA WALIPATA MTOTO MMOJA TU NA HATA MTOTO WAO ISAKA ALIOA AKIWA NA MIAKA 40 AKAPATA WATOTO MAPACHA AKIWA NA MIAKA 60 YANI MIAKA ISHIRINI BAADAE NA KATIKA HAO WATOTO MAPACHA YAKOBO AMBAE ALIOA KATIKA UKOO HUO HUO WA BABA YAKE ALIPATA TABU PIA KWENYE UZAZI ILIWALAZIMU WAKE ZAKE WAWILI KUTUMIA DAWA ASILI IITWAYO KWA KIZUNGU MANDRAKE AU KIMWERA " NDUTI" AMBAYO HUSAIDIA UZAZI KWA WANAWAKE. MTOTO MWINGINE WA IBRAHIM ( ISHMAEL) HAKUWA NA SHIDA YA UZAZI KWA SABABU ALICHANGANYA DAMU YANI IBRAHIMU NA MWANAMKE WA KIMISRI.

2. Ibrahim alizaa Na Suria/nyumba ndogo/ hawara/mchepuko Alie itwa Ketura


3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..

Binti ametoka Singida kaja Dar kufanya Kazi Kwa Don halafu mke wa Don amwambie Don nenda kalale Na binti huyo WA Kazi halafu useme sio rape hiyo?
Kuna mtu atasema Ibrahim alimuoa Hajir Kwa ridhaa ya sarai. Wajameni toka lini house girl akaozwa na boss wake WA Kazi? Yani binti wa Kazi katoka Singida kaja kufanya Kazi kwako Dar halafu wewe huyo huyo ndio umuoze Kwa mwanaume Tena mwanaume mwenyewe mume wako mwenyewe?

4. Ibrahim alikuwa anamtumia Hajjir kama MTUMWA wake WA kingono ( sex slave)

Issue HII ya Ibrahim Na asarah ingetokea leo wangeweza kushitakiwa.

Nikiyatazama Maisha ya Ibrahim huwa nashangaa kwanini aliitwa baba WA imani. Kwangu Mimi baba WA Imani angepaswa kuwa Yusufu mume WA Mariam ambae aliambiwa mke wako ambae Ni bikira amepata ujauzito Kwa uwezo WA roho matakatifu and still aka Amini. Yusufu atabaki kuwa mwanaume WA Kwanza Na mwisho duniani kuamini Jambo kama Hilo. Wengi wetu tunge break up with her.

Lakini alicho kifanya Ibrahim( kuwa tayari kumtoa Mtoto wake WA kipekee Kwa ajili ya kupokea Baraka ZA Mungu/miungu) watu wengi Sana hufanya hivyo bila KUjiuliza mara mbili.


5. Luthu ( ambae alikuwa Mtoto WA kaka yake Na Ibrahim ) alizaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe ( Kweli UKOO WA Ibrahim walikuwa Na tatizo Fulani katika UKOO wao hili suala la incest lilikuwa Jambo la kawaida Sana kwenye familia Yao)

6. King David was in a homosociality relationship with Jonathan. ( Sijasema homosexuality nimesema homosociality )

Hata hivyo baadhi ya wananzuoni wana toa hoja kwamba huenda Daud alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Jonathan ( 2 Samuel 1:26)

KWENYE ANDIKO HILO DAVID ANAMWAMBIA JONATHAN KWAMBA " MAPENZI YAKO KWANGU NI MAKUBWA KULIKO YA MWANAMKE"

7. Daud alimuua Uriah ili amuoe mke wake.

8. Daud aliwahi aliwahi kuua wanaume Mia mbili halafu govi zao akazipeleka Kwa mfalme Saul kama Mahari ya binti wa Sauli aliyeitwa Malika.

9. Daud alikuwa MTU wa damu. Alichinja Na kuua malaki ya watu.
( KWA MAONI YANGU NAFIKIRI DAUD HAKUMTUMIKIA MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI BALI ALIMTUMIKIA muungu wa vita )

10. Nuhu alikuwa analewa mpaka anabaki uchi Tena baadhi ya marabbi WA kiyahudi wanatoa hoja kwamba Hamu ali mlawiti baba yake( Nuhu) baada ya kumkuta akiwa uchi amelewa ndio maana Nuhu alipo Jua alicho FANYIWA Na MWANAE AKAMLAANI.( Nuhu alimlaani Hamu Kwa Sababu Hamu aliuona Na kuujua utupu WA baba Ake)

Mifano IPO Mingi Sana nikisema niitaje yote tutakesha.

Point yangu ni kwamba mtindo WA Maisha WA Nabii Shillah is just a child play ikilinganishwa Na Maisha Na matukio ya manabii wanao tajwa kwenye bible...

So having said that, ufuatao ndio unabii wangu Kwa Mtumishi WA Mungu Nabii Shillah.

Nabii Shillah is going to be a billionaire.

Why? Because he is pretending to be a billionaire.

Kanuni ya Maisha inasema hivi " U WILL ALWAYS BECOME WHAT U PRETENDS TO BE "

FAKE IT UNTILL U MAKE IT

View attachment 2120095
Sitaki kumzungumzia shila,ila Mungu amkumbuke, shetani kamuwahi kuharibu destiny!

Mmmhhh....
Ibrahim na Sara hawakuwa na changamoto ya uzazi,ila Mungu mwenyewe alilifunga tumbo la Sara kwa ajili ya Isaka mtt wa Agano!
Kuna tofauti kubwa sn hapo...

Hajiri alibakwa?
Mbona sioni hicho kinachoonyeshwa alibakwa?

Ketura aliolewa na Ibrahim baada ya mkewe Sara kufariki! (Ibrahim alikuwa na ndoa ya mke 1)
Kuzaa na hajiri kijakazi ni mke ndo aliruhusu baada ya kuona hawapati mtt!,nadhani unelewa kilichotokea baada ya yy kumpata mtt wa kwake!

Ngoja niingie hapa kwanza....
 
Bongo kuna manabii? loh hawa wapiga miuno na wake za watu na wapaka mafuta ya alizeti? loh mmepigwa sana shtukeni kima nyie hakuna nabii wala mtume ni wajasiriamali tu , mtakuja kunishukuru baadaye
 
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah .

Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba Nabii Shillah hastahili kuitwa Nabii basi inawezekana wewe hujaisoma Biblia vizuri.

Ungekuwa umeisoma Biblia kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo walaj usinge kuwa surprised na mtu kama Shillah kuwa Nabii.

Kwanini? Kwa Sababu ukitazama Maisha ya manabii walioandikwa kwenye Biblia halafu ukatazama Na Maisha ya Shillah basi maisha ya Shillah will be just like a Child play ( mchezo wa kitoto )

Manabii wanao heshimika ndani ya Biblia wamefanya mambo mengi ya ajabu kuliko Shillah.

Mfano Ibrahim ambae anatajwa kama Baba wa Imani.

1. Ibrahim alizaa Na dada yake ambae walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. Yes Sara Na Ibrahim walikuwa mtu Na dada yake ambao walishare baba mmoja ila mama mbalimbali. ( Mwanzo 20:12)

NADHANI HII NDIO SABABU KWANINI IBRAHIM NA SARAH WALIKUWA NA CHANGAMOTO YA UZAZI. INAWEZEKANA WALIRITHI MAGONJWA YA KURITHI KUTOKA KWA BABA YAO ( TERAH) MAGONJWA AMBAYO YALI ATHIRI UZAZI. NDIO MAANA WALIPATA MTOTO MMOJA TU NA HATA MTOTO WAO ISAKA ALIOA AKIWA NA MIAKA 40 AKAPATA WATOTO MAPACHA AKIWA NA MIAKA 60 YANI MIAKA ISHIRINI BAADAE NA KATIKA HAO WATOTO MAPACHA YAKOBO AMBAE ALIOA KATIKA UKOO HUO HUO WA BABA YAKE ALIPATA TABU PIA KWENYE UZAZI ILIWALAZIMU WAKE ZAKE WAWILI KUTUMIA DAWA ASILI IITWAYO KWA KIZUNGU MANDRAKE AU KIMWERA " NDUTI" AMBAYO HUSAIDIA UZAZI KWA WANAWAKE. MTOTO MWINGINE WA IBRAHIM ( ISHMAEL) HAKUWA NA SHIDA YA UZAZI KWA SABABU ALICHANGANYA DAMU YANI IBRAHIMU NA MWANAMKE WA KIMISRI.

2. Ibrahim alizaa Na Suria/nyumba ndogo/ hawara/mchepuko Alie itwa Ketura


3. Ibrahim ALIMBAKA mwanamke aitwae HAJIRA. Yes what Abraham did to Hajjar amounted to statutory rape. Sarah alimwambia Ibrahim NENDA kamuingilie mjakazi wangu HAJIRA labda nitapata uzao kupitia kwake Na Ibrahim akafanya kama alivyo elekezwa Na mkewe... Hiyo ilikuwa rape. Hakukuwa Na consent upande wa HAJIRA. ..

Binti ametoka Singida kaja Dar kufanya Kazi Kwa Don halafu mke wa Don amwambie Don nenda kalale Na binti huyo WA Kazi halafu useme sio rape hiyo?
Kuna mtu atasema Ibrahim alimuoa Hajir Kwa ridhaa ya sarai. Wajameni toka lini house girl akaozwa na boss wake WA Kazi? Yani binti wa Kazi katoka Singida kaja kufanya Kazi kwako Dar halafu wewe huyo huyo ndio umuoze Kwa mwanaume Tena mwanaume mwenyewe mume wako mwenyewe?

4. Ibrahim alikuwa anamtumia Hajjir kama MTUMWA wake WA kingono ( sex slave)

Issue HII ya Ibrahim Na asarah ingetokea leo wangeweza kushitakiwa.

Nikiyatazama Maisha ya Ibrahim huwa nashangaa kwanini aliitwa baba WA imani. Kwangu Mimi baba WA Imani angepaswa kuwa Yusufu mume WA Mariam ambae aliambiwa mke wako ambae Ni bikira amepata ujauzito Kwa uwezo WA roho matakatifu and still aka Amini. Yusufu atabaki kuwa mwanaume WA Kwanza Na mwisho duniani kuamini Jambo kama Hilo. Wengi wetu tunge break up with her.

Lakini alicho kifanya Ibrahim( kuwa tayari kumtoa Mtoto wake WA kipekee Kwa ajili ya kupokea Baraka ZA Mungu/miungu) watu wengi Sana hufanya hivyo bila KUjiuliza mara mbili.


5. Luthu ( ambae alikuwa Mtoto WA kaka yake Na Ibrahim ) alizaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe ( Kweli UKOO WA Ibrahim walikuwa Na tatizo Fulani katika UKOO wao hili suala la incest lilikuwa Jambo la kawaida Sana kwenye familia Yao)

6. King David was in a homosociality relationship with Jonathan. ( Sijasema homosexuality nimesema homosociality )

Hata hivyo baadhi ya wananzuoni wana toa hoja kwamba huenda Daud alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Jonathan ( 2 Samuel 1:26)

KWENYE ANDIKO HILO DAVID ANAMWAMBIA JONATHAN KWAMBA " MAPENZI YAKO KWANGU NI MAKUBWA KULIKO YA MWANAMKE"

7. Daud alimuua Uriah ili amuoe mke wake.

8. Daud aliwahi aliwahi kuua wanaume Mia mbili halafu govi zao akazipeleka Kwa mfalme Saul kama Mahari ya binti wa Sauli aliyeitwa Malika.

9. Daud alikuwa MTU wa damu. Alichinja Na kuua malaki ya watu.
( KWA MAONI YANGU NAFIKIRI DAUD HAKUMTUMIKIA MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI BALI ALIMTUMIKIA muungu wa vita )

10. Nuhu alikuwa analewa mpaka anabaki uchi Tena baadhi ya marabbi WA kiyahudi wanatoa hoja kwamba Hamu ali mlawiti baba yake( Nuhu) baada ya kumkuta akiwa uchi amelewa ndio maana Nuhu alipo Jua alicho FANYIWA Na MWANAE AKAMLAANI.( Nuhu alimlaani Hamu Kwa Sababu Hamu aliuona Na kuujua utupu WA baba Ake)

Mifano IPO Mingi Sana nikisema niitaje yote tutakesha.

Point yangu ni kwamba mtindo WA Maisha WA Nabii Shillah is just a child play ikilinganishwa Na Maisha Na matukio ya manabii wanao tajwa kwenye bible...

So having said that, ufuatao ndio unabii wangu Kwa Mtumishi WA Mungu Nabii Shillah.

Nabii Shillah is going to be a billionaire.

Why? Because he is pretending to be a billionaire.

Kanuni ya Maisha inasema hivi " U WILL ALWAYS BECOME WHAT U PRETENDS TO BE "

FAKE IT UNTILL U MAKE IT

View attachment 2120095
Umeuvusha na kuurefusha uzi wa Ibrahim na Sarai kwa kuanzisha thread mpya.....

Janja mingi mingi
 
Back
Top Bottom