Huu ndio ushauri pekee aliopewa Mkapa na Mwalimu Nyerere alipokuwa akiunda serikali yake 1995

Ujumbe umefika pahali pake
 
Kwa sasa hatupangiwi
Sikuuliza hilo la ushauri kuwa 'valid' lini au bado uko 'valid' leo. Tafadhali nielewe.

Labda nikupe 'hint' kidogo ndipo utaelewa.

Huyo aliyepewa ushauri huo hapo 1995, na yeye leo anatoa ushauri huo huo kwa mtu wake?
 
Rest in eternal peace my present. You were a true patriot who dared to reform our beloved Tanzania.

Your legacy will forever live on.
 
Nimeshindwa kuamini baada ya kuliona baraza la JPM la muhula wake wa pili, sijui ni nani wanaomshauri kwenye mambo haya.

Lakini hiki alichokifanya kina weka 'precedent', kwamba pindi tukapopata rais kutoka upande wa pili basi watu wasije kulalamika akiteua wengi wa upande huo.
 
Ulikuwa ushauri mzuri kwa kila anayetaka mema nchi hii, lakini wenye nyoyo na nyuso za viburi nyuma ya miwani ya mbao hawawezi kuona umuhimu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…