Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Askari wa Kiteto Koplo Ismail Ally Juma amepongezwa na kupewa cheti kwa kitendo chake cha kukataa shilingi milioni 5 kutoka kwa mtu mmoja aliyekuwa anasafirisha wahamiaji harama 11 wakitokea Ethiopia kuelekea Afrika ya kusini.
Koplo Ismail ni miongoni mwa askari 13 waliopongezwa na Kamanda wa Polisi Manyara ACP George Katabazi kwa utendaji wao bora kwa mwaka 2021 - 2022.
Koplo Ismail ni miongoni mwa askari 13 waliopongezwa na Kamanda wa Polisi Manyara ACP George Katabazi kwa utendaji wao bora kwa mwaka 2021 - 2022.