Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ndio nchi ilipofikia hapa...hivi watu hamuamini kuwa wapo watu wasiopokea rushwa kabisa?Tusidanganyane. Huyo aliogopa kupokea mlungula kwa kudhania anategwa.Hivihivi angekwara minoti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nchi ilipofikia hapa...hivi watu hamuamini kuwa wapo watu wasiopokea rushwa kabisa?Tusidanganyane. Huyo aliogopa kupokea mlungula kwa kudhania anategwa.Hivihivi angekwara minoti.
Uishi Maisha marefu mkuuWewe unatetea rushwa?
Unadhani hata angechukua ingemsaidia kwa lolote?
Njaa isikutoe akili.
Ukiwa mtu mwema, baraka zipo miguuni mwako.
Vile hujui tu
Hiki ndio kizazi cha kubet wanapenda easy money!Inashangaza kuona comments nyingi ni za kumkandia na kumbeza badala ya kumpongeza
Mimi ningechukua ila nisingekwambia.Nakununulia zawadi nzuri utulie.Ndio nchi ilipofikia hapa...hivi watu hamuamini kuwa wapo watu wasiopokea rushwa kabisa?
Kwa hiyo kukataa rushwa ni uzembe? Rushwa ni dhambi, (japo sijui kilichomsukuma asichukue rushwa kama ni imani ya dini au maadili ya kazi yake) hivyo alichofanya huyo askari ni kitu chema.Mungu hatoi baraka kizembe kwa mjinga.Fuatilia simulizi ya Jacob na Isaka.