Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #41
Sawa afandeSoon yatamkuta ya Afande Lameck.
Hapo katengezeza internal conflict na polisi wenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa afandeSoon yatamkuta ya Afande Lameck.
Hapo katengezeza internal conflict na polisi wenzake
"Alufu selasini" nyingi sana mwambie achangie afutatu.
Wewe ndiyo aina ya jamii tuliyonayo. Mabingwa wa uhalifu, mnazidiana kete tu na wale wa LumumbaUshujaa au ujinga?Amekataa 5.m halafu akiingia kilabuni anagongea kimbo ya mbege.
Kutowajibika wakubwa zake si hoja ya yy kutokuwajibikaHuyu Askari kukataa hivyo vijisenti haisaidiii chochote wakati walioko juu yake wanazipiga rushwa kama hawana akili nzuri.
Kama unafanya kitendo ambacho impact yake ni very minimal ni sawa tu na haujafanya.Kutowajibika wakubwa zake si hoja ya yy kutokuwajibika
Wacha Mungu wapo japo wamekubikizwa na waovuTusidanganyane.Huyo aliogopa kupokea mlungula kwa kudhania anategwa.Hivihivi angekwara minoti.
Viongozi wakubwa wanakula rushwa nao wanapata baraka???Wewe unatetea rushwa?
Unadhani hata angechukua ingemsaidia kwa lolote?
Njaa isikutoe akili.
Ukiwa mtu mwema, baraka zipo miguuni mwako.
Vile hujui tu
Pesa ndogo sana hiyo , hongera Afande
hao hawana madhara kwa taifa hili.mkuu huyo askali ni mjinga tu .ulishawahi kusikia Zambia wamekamatwa hao? hawana mpango na sisi wao wanafocus mmbeleeeNampongeza kwa uzalendo wake, Mungu atamlipia though nikifuatilia huu uzi na Comments za wadau umelenga kama kumuona jamaa boya fulani hivi.... Na kusahau kwamba jamaa ka-play part yake vizuri ila walio juu yake ndo waliofeli.
Kwa mshahara gani wa kima cha chini nikatar 5M acha bwana. Pia wangempa pesa labda 10M na cheti ila cheti tuu, labda na 1M thubutu. Wacha ubaki wewe mzalendo mkuu miye nkuu.Nchi imefikia iliko sasa sababu ya watu wa aina yako ambao wamegeuza madaraka ni kitega uchumi wanakula rushwa tu na ufisadi.
Uhalifu kupokea "zawadi"?Una kichaa jamaa yangu.Unataka nikudanganye kwamba nisingechukua ili nikufurahishe?😂😂😂😂Wewe ndiyo aina ya jamii tuliyonayo. Mabingwa wa uhalifu, mnazidiana kete tu na wale wa Lumumba
Mungu huwa habariki wajinga ila huwapa the second chance!Mungu ambariki huyo askari mwaminifu.
Kwa nini afe masikini wakati Yuko kazini na anapata mshahara wake halali kabisa!? Au na yeye mnamtaka awe mla Rushwa Kama Watumishi wengine ndiyo muone kua atakufa tajiri!!?
Watanzania siku hizi wamekua Wajinga sana kwenye Rushwa,yaani kila Mtu eti anaona Rushwa ni haki yake,na usipompaa Rushwa anakuona wwe siyo wamaana hata kidogo!!Sasa mimi nisipokuwa na 30 thousand yakuchangia JF wewe shida yako ni nini hasa?
Unafikiria kwakutumia masaburi?
Hapa tunazungumzia hukuhu rushwa.
Huoni ni ujua kutetea rushwa?