Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyodhani ni nani hajui kutetea kutopokea mlungula kwa kuandika.Kuwa mkweli.Nani asiyetaka hela usawa huu?Tena askari polisi walivyo na uchu?Una kiseyeye weye!Acha upukundugu.Sasa mimi nisipokuwa na 30 thousand yakuchangia JF wewe shida yako ni nini hasa?
Unafikiria kwakutumia masaburi?
Hapa tunazungumzia hukuhu rushwa.
Huoni ni ujua kutetea rushwa?
Kwa hiyo ulitaka avute mlungula🏃🏃Atabaki na "u-koplo sugu" wake hadi baadaye!
Nashindwa kuelewa dhana hii unawakamata watu wanaovuka kwenda SA Kisha unakuja kuingia gharama za kuwahudumiaa kwa kila kitu ,mbna huu Ni upuuzi ??[emoji1541]View attachment 2413657
Angevuta.Aachege umburukenge.Sampuli ya huyo koplo wengi walikuwa nanga kwenye mafunzo ya ukuruta.Kwa hiyo ulitaka avute mlungula🏃🏃
[emoji1541]View attachment 2413657
Pumbavu.Angevuta.Aachege umburukenge.Sampuli ya huyo koplo wengi walikuwa nanga kwenye mafunzo ya ukuruta.
Unavyodhani ni nani hajui kutetea kutopokea mlungula kwa kuandika.Kuwa mkweli.Nani asiyetaka hela usawa huu?Tena askari polisi walivyo na uchu?Una kiseyeye weye!Acha upukundugu.
Joga hilo.Lilijua linategwa.Ni hopeless kama weye.Ndiyo kakataa sasa.
Unataka nini hasa?
Unalazimisha polisi apokee rushwa?
Unaakili wewe?
Anataka madole ya makalioNdiyo kakataa sasa.
Unataka nini hasa?
Unalazimisha polisi apokee rushwa?
Unaakili wewe?
"Alufu selasini" nyingi sana mwambie achangie afutatu.Umeandika kwa urahisi utadhani ukiambiwa changia JF "alufu salasini" unazo!Muwe mnaacha unafiki.
Weye kasichana,acha kutukana waume zako.Utakosa mimba na maji ya moto/kukandwa.Pumbavu.
Hili ndo tatizo, polisi wakichukua rushwa tunalalamika , wasipochukua tunawatukana. Watu hamjulikani mnataka nini.Jinga hilo likoplo sugu.Achana nalo.
Wachukue ila tusijue.Tukijua huwa tunapata wivu.Hili ndo tatizo, polisi wakichukua rushwa tunalalamika , wasipochukua tunawatukana. Watu hamjulikani mnataka nini.
Ushujaa au ujinga?Amekataa 5.m halafu akiingia kilabuni anagongea kimbo ya mbege.Ni shujaa