Huu ndio uzalendo wa kweli. Unakataa rushwa ya mil 5 unapokea cheti

Huu ndio uzalendo wa kweli. Unakataa rushwa ya mil 5 unapokea cheti

Sasa mimi nisipokuwa na 30 thousand yakuchangia JF wewe shida yako ni nini hasa?

Unafikiria kwakutumia masaburi?

Hapa tunazungumzia hukuhu rushwa.

Huoni ni ujua kutetea rushwa?
Unavyodhani ni nani hajui kutetea kutopokea mlungula kwa kuandika.Kuwa mkweli.Nani asiyetaka hela usawa huu?Tena askari polisi walivyo na uchu?Una kiseyeye weye!Acha upukundugu.
 
Nashindwa kuelewa dhana hii unawakamata watu wanaovuka kwenda SA Kisha unakuja kuingia gharama za kuwahudumiaa kwa kila kitu ,mbna huu Ni upuuzi ??

kwani waKenya wao Ni wajinga? wakawaachia wapite ss Tanzania tunaangaika nao Tena kwa gharama kubwa.

huyu koplo Ni mjinga sna anagewaachia tu vijana Wakapambane na maisha potelee pote serekali ya south Africa ipambane nao sis tuje kubebeshwa mizgo wa Ethiopia hapana hili litazamwe kwa umakini sana Kama serekali ya South Africa inataka tuwazuie watenge fungu kubwa na nono uone Nani atakatiza kuja uko upuuz snaa huu kuja kuwalisha watu wasio zalisha
 
Unavyodhani ni nani hajui kutetea kutopokea mlungula kwa kuandika.Kuwa mkweli.Nani asiyetaka hela usawa huu?Tena askari polisi walivyo na uchu?Una kiseyeye weye!Acha upukundugu.

Ndiyo kakataa sasa.

Unataka nini hasa?

Unalazimisha polisi apokee rushwa?

Unaakili wewe?
 
Atakuwa hana majukumu huyu. Hv mfano nidaiwe ada za watoto shule, mke anidai nilimuahidi kitu, kanisani michango ya kutosha; hela ya vikoba ya mke sijampa, sijanunua kilo tano za nyama hme, sijanywa beer,sijatoka na kamchepuko kangu nadaiwa kodi ya nyumba!!??
Naachaje hiyo pesa!!??
The government belongs to nobody.
 
Back
Top Bottom