Kama ww sio mnafiki, onyesha mahali ulipokwazika na lugha Za yule dhalimu, maana hizo lugha zisizo na staha alikuwa anazitoa kila mara. Kinyume na hapo kaa kwa kutulia mnafiki ww.Kosa halihalalishi kosa ,ni upumbavu wa hali ya juu wanachokifanya hawa wapuuzi CDM eti tunataka katiba mpaya ,hata kama kuna uhitaji kwa aina wa siasa za mbowe za kuropoka zidhani kama watanzania hata watamuunga mkono huyu jinga kwa kichaga tunaita watu wa aina ya mbowe Ni TONDO
Chadema ni CHAMA CHA WAHUNI hakuna system yoyote itaruhusu kundi la watu aina hii kuchukua nchi.
Utamnyoa mdude mwenyeweMama ajiandaye kunyolewa na wembe wa Mdude.
Nimemshangaa sana aisee harafu wafuasi wa Chadema wanamshangilia.
..system...!!? Kumbe...ndivyo?Chadema ni CHAMA CHA WAHUNI hakuna system yoyote itaruhusu kundi la watu aina hii kuchukua nchi.
We jamaa nakuona una data sana, sasa watu kama nyie ndio tunawataka kwenye one to one tuone inakuaje Kati ya CCM Smart vs Upinzani Smart pachimbikeNipe tofauti ya hiyo kauli ya Mdude na ile kauli ya kiongozi dhalimu wa ccm kuwa watu wabaki na mavi yao nyumbani. Mbona hakujitokeza na kulaani kauli ile?
View attachment 1839092
Wanabodi
Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.
Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.
Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mlithi wa Mbowe.
Huyo kiongozi mkubwa unaweza mfananisha na nani unayemjua Chadema?Mkuu umesahau hivi majuzi kuna kiongozi aliyekuwa Mkuu wa nchi aliyesema watu wabaki na mavi yao nyumbani? Umesahau kuwa kiongozi huyo mkubwa kabisa wa ccm na nchi kwenye mkutano wa hadhara alisema kuna mtu titi lake limefanana na barakoa?
Nchi zote duniani zinaongozwa na mfumo ... na MFUMO ukikukataa Dola utaisikia mlima kilimanjaro..system...!!? Kumbe...ndivyo?
Kosa halihalalishi kosa ,ni upumbavu wa hali ya juu wanachokifanya hawa wapuuzi CDM eti tunataka katiba mpaya ,hata kama kuna uhitaji kwa aina wa siasa za mbowe za kuropoka zidhani kama watanzania hata watamuunga mkono huyu jinga kwa kichaga tunaita watu wa aina ya mbowe Ni TONDO
Mdude kaongea kwa kutoa uzoefu wake wa kunyoa kwa kiwembe. Kasema atatumia kiwembe alichotumia kumnyolea MagufuliUtamnyoa mdude mwenyewe
Huyo kiongozi mkubwa unaweza mfananisha na nani unayemjua Chadema?
Tena...Nchi zote duniani zinaongozwa na mfumo ... na MFUMO ukikukataa Dola utaisikia mlima kilimanjaro
Shukrani ya punda mateke, na ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini, tutazidi kumkumbuka mwendazake, mnaotaka kumpiku mtapata taabu sana.Safi sana mdude muonyesheni Mama jinsi gani HAMNA FADHILA ... ukicheka na NYANI UTAVUNA MABUA...
Wengine hawatulivowaambia apa iki chama wa wavuta bangi, ielewe sasa! kuna hawa wavutaji wengine apa
View attachment 1839246