Huu ndiyo mtaji mpya wa CHADEMA kuelekea kuchukua dola

Huu ndiyo mtaji mpya wa CHADEMA kuelekea kuchukua dola

Wanabodi,

Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba Mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.

Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.

Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mrithi wa Mbowe.

Kwenye swala la katiba hata mimi naunga mkono ipitishwe, tumpe muda huyu mama kama alivyosema...ila huyu mdude na maneno yake yasiyo na hekma, tena ya kibabe haswaa, hafai kuwa kiongozi...Chadema kuweni makini sana na watu wa style hii, mtapotea aise!
 
Dogo wewe ni uzao wa panya ingelipendeza tu ukaamua kunyamaza ule mema ya mama tanzania kutu chokoa chokoa tutamwaga mtama mbere ya kuku wengi piga kimyaa
Wewe punguani kweli unaweza kuninyamazisha mimi? Wewe ungekuwa na akili ungekuwa mateka wa Mbowe?

Alivyokuwa jela mlituomba tumuombee, alivyotoka mkaomba tumchangie mtaji, ila kwnye kumuonya mnajifanya mna hatimiliki yake.
 
Wanabodi,

Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba Mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.

Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.

Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mrithi wa Mbowe.
Chadema watu wa shari mtazame Mbowe ndio utauona uhalali wa Mdude kukubalika miongoni mwao.
 
Ninaumizwa sana na harakati zenye malengo ya kugawa umma wa watanzania kwa itikadi za vyama, tukosoane na kujadiliana kwa Hoja huku tukiheshimiana. Kukubaliana na kutokubaliana huku mnaheshimiana ndio msingi wa Haki na demokrasia.

Tujenge jamii yenye utu na kuheshimiana sasa Rais Samia, amemkosea nini.
Ccm ndo anagawa umma kwamaslahi yake ongezekeni kumpigia kelele
 
Wewe punguani kweli unaweza kuninyamazisha mimi? Wewe ungekuwa na akili ungekuwa mateka wa Mbowe?

Alivyokuwa jela mlituomba tumuombee, alivyotoka mkaomba tumchangie mtaji, ila kwnye kumuonya mnajifanya mna hatimiliki yake.
Nyie kuleni tu kodi zetu ila mkumbuke mwisho wenu upo
 
Ninaumizwa sana na harakati zenye malengo ya kugawa umma wa watanzania kwa itikadi za vyama, tukosoane na kujadiliana kwa Hoja huku tukiheshimiana. Kukubaliana na kutokubaliana huku mnaheshimiana ndio msingi wa Haki na demokrasia.

Tujenge jamii yenye utu na kuheshimiana sasa Rais Samia, amemkosea nini.
Acha akili za kuvukia barabara! ccm wando wametufikisha hapa tulipo Leo!!
 
Wanabodi,

Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba Mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.

Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.

Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mrithi wa Mbowe.
Ustaarabu kitu cha bure
 
Ninaumizwa sana na harakati zenye malengo ya kugawa umma wa watanzania kwa itikadi za vyama, tukosoane na kujadiliana kwa Hoja huku tukiheshimiana. Kukubaliana na kutokubaliana huku mnaheshimiana ndio msingi wa Haki na demokrasia.

Tujenge jamii yenye utu na kuheshimiana sasa Rais Samia, amemkosea nini.
Kwenye siasa hakuna adui wq kidumu,ndo maana ukienda nchi watu kwenye kwenye exposure mbona Rais anapewa vijembe vyake na maisha yanaendelea tu,yule mama aliyemtukana Uhuru kule Kenya kuwa ni mshenzi maisha yaliendelea tu hiyo ndo siasa safi tu.

Yule mama aliyemnyooshea Trump dole LA kati hata police hawakuangaika nae.

Sema wabongo sisi awamu ya tano imeturudisha nyuma sana.
 
Wanabodi,

Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba Mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.

Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.

Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mrithi wa Mbowe.
Wewe kipi umekifanyia chama Chako na nchi yako tofauti nakusubiri fulsa za kampeni za chama Chako

Tz inaitaji vijana wanaojitambua wasipungue elfu moja na nchi itakaa mahali pake,
 
Kwenye siasa hakuna adui wq kidumu,ndo maana ukienda nchi watu kwenye kwenye exposure mbona Rais anapewa vijembe vyake na maisha yanaendelea tu,yule mama aliyemtukana Uhuru kule Kenya kuwa ni mshenzi maisha yaliendelea tu hiyo ndo siasa safi tu.

Yule mama aliyemnyooshea Trump dole LA kati hata police hawakuangaika nae.

Sema wabongo sisi awamu ya tano imeturudisha nyuma sana.
Sure mkuu
 
Mkuu karibu sana kwenye uwanja wa hoja. Ila ufahamu tatizo la chama chenu kwa sasa sio hoja pekee, bali ni wakati. Ccm sio chama cha kizazi hiki bali ni cha kizazi kilichopita. Hivyo haya matumizi ya nguvu na Siasa za aibu zitaendelea ili ccm iendelee kukaa madarakani kwa shuruti. Mfano mrahisi, miziki ya Sikinde na Ottu jazz ni mizuri na ina maadili, lakini haina mashabiki kwa sasa kwakuwa sio ya kizazi hiki. Vijana wa sasa ambao ndio wengi, wanapenda miziki yao inayoonekana haina maadili, na sio ya Ottu jazz tunayosema ina maadili.

Nikushauri, washauri na wanaccm wenzako, sio kwamba ccm inafanya vibaya sana, na kuwa kikiingia chama kingine ni lazima kifanye vizuri kuliko ccm, lakini wakati ni ukuta. Namna nzuri ya ccm kuweza kwenda na wakati, ni kukubali matokeo ili ibadilike kuendana na wakati. Kinyume na hapo ccm itaendelea kutumia mbinu zilezile kama za Magufuli kupora chaguzi kwa mauaji, kuteka watu, kura za kwenye mabeg nk. Lakini mbinu hizo zitafikia mahali zitaleta machafuko tu.
Yeah, its true
 
Safi Sana mwana ccm huru , tunataka ccm imara na chadema imara, ili tupambane KWA hoja kwenye majukwaa ya kisiasa , siasa Safi na KWA hoja zitajenga taifa bora
 
Wewe kipi umekifanyia chama Chako na nchi yako tofauti nakusubiri fulsa za kampeni za chama Chako

Tz inaitaji vijana wanaojitambua wasipungue elfu moja na nchi itakaa mahali pake,
Mimi sina chama mimi mwananchi wa kawaida wewe ni mateka wa Mbowe?
 
Wanabodi,

Lazima tuwe watu wapya, watu wapya wenye maono mapya, watu wapya wenye mtazamo mpya, watu wapya walio na hamu mpya ya usawa, haki na ujumuishaji, watu wapya wanaobeba Mwenge wa Tanzania mpya, ambayo haki na uhuru kwa wananchi unaheshimiwa na kulindwa tusikubali kuogozwa na wahuni.

Huyu jamaa Chadema wamemtoa wapi sijui sasa hivi ndiyo mtaji wao wa kisiasa kuelekea kuchukuwa dola na kupata katiba mpya, wakati yupo jela nilidhani mtu mmoja makini sana mwenye ushawishi kwa jamii kumbe hali yale ndiyo hiyo.

Cha kushangaza anaongea pumba wafuasi wa Chadema wanamshangilia masikini daaah huyu jamaa Chadema wanamtegemea kuwa mrithi wa Mbowe.
Hapa sasa ndiyo kuna VACUUM ya Party Strategists. CDM ina vijana wasomi wazuri wengi kama akina Jon Mallya, Godlisten Malisa, Tumaini Makene, John Mnyika nk.

Kwa nini msiwatumie hao vijana wawawekee mikakati tu ya namna gani Siasa zenu ziendeshwe kipindi hiki cha 2021- 25. Naamini kabisa kama mungekuwa na timu ya MKAKATI basi Mdude mungepanga akapumzike kwanza, apate mental and psychological rehabilitation ndipo maybe baada ya miezi 6 aanze kujishughulisha na Siasa.

Nawahakikishia CDM Watanzania wamechoka Siasa za matusi na dharau, mukienda hivyo kuomba kura WATAWADHARAU
 
Mimi sio mateka wa Mbowe na wenda hatujuani ila ni mwanachama wa CHADEMA ,naomba swali lingine
Swali lingine jiaandae kuingia barabarani Mbowe akitangaza maandamno.
 
Swali lingine jiaandae kuingia barabarani Mbowe akitangaza maandamno.
Kama ni hoja ya msingi kuingia Barabarani nitaingia ,ila itoshe hata nje ya Chama, binafsi upo mpango na wenzangu kwenda ikulu baada ya taratibu zote kufuatwa mpelekea SSH rais rasim ya KATIBA ya Warioba najua anayo ila tutampelekea copy Kama msisitizo ,naomba SWALI lingine
 
Ninaumizwa sana na harakati zenye malengo ya kugawa umma wa watanzania kwa itikadi za vyama, tukosoane na kujadiliana kwa Hoja huku tukiheshimiana. Kukubaliana na kutokubaliana huku mnaheshimiana ndio msingi wa Haki na demokrasia.

Tujenge jamii yenye utu na kuheshimiana sasa Rais Samia, amemkosea nini.
Mbona CCM imeigawa nchi kwa miaka 5, mwenzetu ukaamua kuingia miti I muda wote huo. Ingekuwa vema kama t utajua kwa nini uliingia mafichoni wakati akina Heri James, Hapi, Chalamila, Makonda nk. walipo kuwa wanalopoka na kuwagawa wananchi.
 
Back
Top Bottom