Huu ndiyo muonekano wa sayari ya Mars, kama Dunia yetu vile

Sasa uko ndio sehemu nzuri ya kwenda kutuliza akili na kula maisha,nashauri wale visirani na machawa marufuku kuingia sayari hii mpya,nikifika uko chakwanza najitangazia uraisi wa nchi wa kudumu
 
Nasikia Etihad na Ethiopia Airline wanafanya ruti za moja kwa moja japo bei ndio kipengele ujipange.
 
Nipo rafiki yangu lakin ni ukweli kuna kipindi kilipita kimiya kama miaka 5 bila kuingia humu jamvin

Kitu kingine ndo hivyo tuna kua umri nao unasogea hivyo ya kale tunayaacha tunaanza mapya

Uko poa lakin dada yangu

Nipo poa Amina 🀲🏽
Hakika kukua tunakua 😊
Nakutakia kila la kheri katika yote maishani. πŸ˜πŸ€—
 
venus sahau too hot there!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…