Huu ndiyo muonekano wa sayari ya Mars, kama Dunia yetu vile

Karibu na beach
Beach zimekauka ikiwa unataka kiwanja cha beach tutakuonyesha iliookuwaga miaka 1000 iliopita.. pengine Inshallah basi hata generation yako ya 50 huko watakuja kurithi eneo na kuja kuogeleaga au kufungua "coco beach" yao .. siku beach ikirudi.. ila sio wewe maana hadi irudi wewe BWANA ALIE JUU ATAKUWA KESHATWAA KILICHO CHAKE
 
 
Toka waanze kwenda huko hawajawahi kupanda mti?
haha! hawajawahi kwenda ni vyombo tu vinaenda! kwa binadamu mpk anafika sayari ya mars ni hatari mno! hatari ni nyingi sana! kuna mionzi pia kuna muda kufika huko ni miezi sita na hapo ni dunia imesogeleana na mars,kukaa kwenye chombo miezi sita si jambo dogo na unapokuwa nje ya dunia hatari ya mionzi inaongezeka mara dufu,pia kuna majabali/miamba inatembea kwa spidi sana yenye ukubwa tofauti tofauti yanaweza kugonga chombo!.
pia ni gharama sana japo najua watu hawashindwi ila gharama yake si mchezo ndugu!.

kuna baadhi ya vitu wameshafikia hatua yakuvitatua mfano Kutengeneza artificial gravity!, gravity inaumuhimu mkubwa sana kwenye maisha ya binadamu moja wapo ni kuleta uimara kwenye mifupa!..
so kumsafirisha mtu kwa miezi sita ya kwenda na miezi mengine yakurudi ili asidhohofu mwili basi lazima kwenye chombo kupatikane artificial gravity ili kuimalisha misuli na mifupa!.. na lazima viwekwe vyombo vyengine pia vya kufanyia mazoezi hivyo ni maalum maana atakuwa anafanya hivyo sehemu ambapo hakuna gravity!.

hapo nimegusia machache tu, binadamu kwende mars itachukua kitambo sana.. hapa tunasubiri November nasa wanarudi mwezini baada yakusonkorwa sana nakusuntwa kwanini hawarudi so now wanataka binadamu akakae mwezini halafu ndo itafungua fursa sasa ya kwenda mars!.

lkn elon must yeye yupo mbioni kabisa anataka akatulishe mtu mars na binadamu aishi huko!.. let's time talk tik tok tik tok...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…