Huu ndiyo wakati wa majibu uliyokuwa unajiuliza ukiwa mtoto

Huu ndiyo wakati wa majibu uliyokuwa unajiuliza ukiwa mtoto

nakumbuka 2003 nilikua nakaa miezi mitatu hajarud home yupo shamba kaweka kambi, asaiv ndio naelew
 
Maisha hayakuwahi kunidekeza kwa hiyo nilikuwa najiona nunda maana moyo una sugu 😁😁.. Maisha yakanichekea usoni na kuniambia, hakuna siku nzuri au mbaya kuliko zote kabla hujaingia kaburini

Nilipigwa matukio mfululizo nikajiona bwege mmoja, saa hii nina adabu na heshima zote hata nikisikia mtu kajiua, sina time ya kumuhukumu kama zamani
 
Anaandika, Robert Heriel

Maisha ni mchezo wa maswali na majibu.
Kikawaida swali ndio linatangulia ndipo jibu lifuate. Lakini kwenye maisha majibu huweza kutangulia alafu maswali ndio yafuate. Hayo ni maisha. Yapo majibu yasiyo na maswali. Lakini hakuna swali lisilo na jibu.
Litakuwaje jibu kama hakuna swali🌚🌚
 
Duh kuna jamaa alikuwa mkubwa kwetu aliwahi kutuambia 'kuna siku mtawaambia watu mlikuwa mnaishi mtaa huu watawabishia' kila nikipita huo mtaa namkumbuka yule jamaa!
Aisee...
Nani atanielewa nikisema tulikuwaga tunaishi Mtaa wa Haile Sellasie..
Maisha haya...Acha tu....
 
Back
Top Bottom