Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kweli mkuu. Mimi imeshanitokea. Sema huyu wa kwangu hakuwa na pesa. Ni kipindi kile watalii wamekuja Zanzibar halafu Putin akaliamsha Ukraine.kamba ya kuanikia nguo
Inaweza kweli mkuu. Mimi imeshanitokea. Sema huyu wa kwangu hakuwa na pesa. Ni kipindi kile watalii wamekuja Zanzibar halafu Putin akaliamsha Ukraine.
....bado kuna matembele yale yanayojioteaga tu yaani kule nyuma ya bafu ... yenyewe anajichumia tu bure! ... Demu kusikia hivyo si udenda ukamtoka!
Katika maongezi yao yawezekana alishamuelezea jinsi yalivyo maana anasema alikuwa rafiki yake. Kuna wazungu ambao ni wadadisi wanapenda kukujua unapenda kula chakula gani, mazingira ya nyumbani kwako yakoje, jamii yako, utamaduni wako .Nitajie mzungu anajulia wapi matembele?
😂😂🤣Napita tuHahahaaha
Kwa hiyo ajira Ulaya zimeisha wanakuja kutafuta kazi kwetu
Ila huyo wa kwako atakuwa kavuta pension yake na umri over 60
Hongera sana niulizie na mimi kama mama yake yupo
[emoji23][emoji23][emoji1787]Napita tu
... alishanipa midolari mara kibao! ... na wala sio ile ya kuombwa eti dollars 100 kama gharama za ku'process' za wahuni wa Lagos! 😅Wanigeria kazini,
Soon atakwambia Kuna pesa yake ndefu imekwama bank, mtumie dolla kadhaa afanye clearance aje bongo.
Baadae ya Hapo, utajua hujui