China ameshikilia utawala wa North KoreaNorth Korea waliwekewa vikwazo na kunyimwa misaada, bado wametengeneza mpaka nuclear. Wanamtisha mpaka Mmarekani. Sisi tunalilia kusaidiwa. Labda ubongo wa mtu mweusi uliumbwa kwa mabaki ya material.
Sio issue ya mkataba, bali ni Nchi inayojinasibu ya Kidemokrasia (Canada) kuitisha nchi ndogo (Tanzania) iwaache Barrick la sivyo wanasitisha misaada, hii inaonesha Fika Misaada inakuja na masharti magumu hata wakiwa wanaiba basi wasishughulikiwe.Ukipitisha mkataba mbovu halafu utake kuuvunja kiholela, kwa dunia ya leo, utapigwa tu.
sasa kama akili HAMNA mnategemea mtafaidika vipi?Its a trap, Nchi nyingi za Ki Africa haziwezi kuishi bila misaada ila haimaanishi kwamba zenyewe ndio zinafaidika.
Hata sisi miaka ya 1970 na 1980 tulikuwa marafiki wakubwa wa China, Cuba, Urusi na East Germany kabla haijaungana. Kwa nini bado hata mlo tu unatushinda ? Kwa nini hatujatumia urafiki wa nchi hizo kuwa sawa na North Korea?China ameshikilia utawala wa North Korea
Kwani anayepereka bakuri si ni wewe? We tulia uone kama watakufuata, walidanganya uchaguzi Zanzibar wakasitisha REA karibu miaka 5, ilirejea tena baada ya kupiga magoti.Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.
Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.
Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,
Sio sifa kujisifia misaada.
Lkn hawanyang'anyiHakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.
Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.
Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,
Sio sifa kujisifia misaada.
alafu suala la kuuliwa watu haliwezi kuwa ni mambo ya ndani.tanzania ipo duniani.kila mtu anaona yanayotendekaIts a trap, Nchi nyingi za Ki Africa haziwezi kuishi bila misaada ila haimaanishi kwamba zenyewe ndio zinafaidika.
Huwezi fananisha urafiki na ukaribu wa China na North Korea na Watanzania na hayo mataifa.Hata sisi miaka ya 1970 na 1980 tulikuwa marafiki wakubwa wa China, Cuba, Urusi na East Germany kabla haijaungana. Kwa nini bado hata mlo tu unatushinda ? Kwa nini hatujatumia urafiki wa nchi hizo kuwa sawa na North Korea?
Zimbabwe vpMfuatilie Traore ndio utajua...Waafrika wanaweza kufunga mipaka yao wakaishi ndani wasitegemee kitu chochote hata media za nje tusiangalie na wakaishi ...Ni kwa vile nchi haijapata dikteta unaweza kuhama .
Magufuli kipind safari za nje zilianza kukoma mpaka mkaanza kusema wawekezaji ....nachoongea kinamlinda kutokana na Tanzania foreign affairs policy ;hakuna kibaya ila kakumbusho moja ya sheria yake hakuna kuingilia mambo ya ndani ya Tz , kama unatoa msaada toa then jikatae huwezi kuingilia mambo ya ndani .
Kama ukiingilia mambo ya ndani, ishu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ni dk sifuri .
Nchi zao kutwa watu wanapigana bastola umesikia ubalozi wa Tz ukipiga kelele , unajua kazi za ubalozi ? kwani katekwa mzungu ?
Peda ni nyingi sana ila kazi yake naona ni kujenga ccm tuKwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!
Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!
Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.
Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, hospitali na maeneo mengi.
Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.
Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Alichokisema muanzisha uzi ni rahisi kueleweka. Sijui kwa nini hujaelewa.Wewe ni kilaza kama walivyo vilaza wengine na ndio mmejaza Africa, Unategemea nini hapo ? Unajisifia umasikini kwenye nchi ya Ardhi tajiri , nyie wajinga ndio mnaturudisha Nyuma sana .
Kuna sababu kwanini inaitwa Mitego, mikataba mingine ipo kabla ya hao viongozi hawajazaliwa, inabidi uwe smart vibaya mno kuiepuka.Lkn hawanyang'anyi
SI mna viongozi wanaosaini hiyo mikataba
Nakupinga 100%. Kinachotokea ni kuwa kila mmoja anasaidia sisi masikini (in Dkt Samia and Dkt Kikwete Voices), kulingana na repatriation strategy yake. Mfano, US kwenye afya akishaileta hiyo hela anaichukua kupitia kuuza madawa, watalaamu, na washauri ambao ni wa USA, tena wana masharti magumu sana kushinda tenda zao. Same kwa Mchina, anasaidia kulingana na uwezekano wa kurudisha hela kwao. Mfano kwenye maujenzi ana mtaji mkubwa hivyo anaweza kushindana na mara zote anafanya lobbying kwa serikali ili apate kazi na mwisho wa siku hizo hela zinarudi kwake. In short kiuchumi ukingalia equation ya GDP utaona kabisa kuna component ya hela inayorudi kwao ina imarisha uchumi wao, na ndiyo maana kiuchumi inafahamika kuwa nchi inayotoa msaada ndiyo huwa inafaidika kuliko inayopokea. In conclusion, usiandike na kushadadia mambo usiyoyajua, Dkt Magufuli ndiyo alikuwa sahihi ktk ujenzi wa uchumi ambao ni more sustainable kuliko Dkt Samia ambaye anaamini ktk kukopa na misaada kwa sababu eti sisi ni masikini. Kama anauona huu uzi awaulize wachumi wake akina Dkt Blandina kuhusu misaada na maendeleo labda wamdanganye, ila ukweli huwezi kuendelea kwa mikopo nje ya nchi na misaada, ni mpaka uimarishe ukusanyaji wa mapato ya ndani na kufanya more of government expenditure, simple like that. Mengine haya ya factors of production huwa yanakuja menyewe kwa sababu wanasema kila taifa lina own endowment ndiyo maana mwarabu hajasomesha ila anaajili wageni etc.Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na watoto kwa kutoa fedha nyingi sana tunazotumia kuboresha hospitali zetu!
Nchi hizi zinatusaidia hadi kutujengea vituo vya kupokea kupoza na kusambaza umeme. Miradi mingi inayoendelea ni fedha wanazotoa wao kama misaada!
Zinatusaidia hadi kwenye miradi ya uzalishaji chakula ili tuwe na chakula cha kutosha.
Zinatusaidia kwenye masuala ya ya nishati mbadala bila kusahau miradi ya ujenzi wa shule, hospitali na maeneo mengi.
Sijawahi ona mchina akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Sijawahi ona Urusi akitusaidia miradi ya afya zetu na uhai wetu.
Kusema ukweli namuonea sana huruma aliyewapiga biti hawa watu. Wakati ndo wanawasaidia wajisifu kwa wananchi kuwa wanatoa huduma bora.
Tuwaombe tu hawa wakubwa wamuonee huruma wasimchukulie hatua kali huyu aliyewatishia. Maana wakimchukulia hatua tu twafaaaaa🙌View attachment 3100424View attachment 3100425View attachment 3100426View attachment 3100427View attachment 3100434View attachment 3100434View attachment 3100428View attachment 3100435
Ukivunja kiholela mkataba ulioingia mwenyewe utapigwa tu, na hata kama utapigwa kwa kuonewa, wewe mwenyewe utakuwa umejiwekea mazingira ya kupigwa na kutetewa kwako kuwe kugumu.Sio issue ya mkataba, bali ni Nchi inayojinasibu ya Kidemokrasia (Canada) kuitisha nchi ndogo (Tanzania) iwaache Barrick la sivyo wanasitisha misaada, hii inaonesha Fika Misaada inakuja na masharti magumu hata wakiwa wanaiba basi wasishughulikiwe.
Documents show how Ottawa intervened in Tanzania to benefit Canadian mining firms
The documents obtained by Ottawa-based researcher Ken Rubin reveal that Ottawa still goes to bat for Canadian-based transnationals, ensuring that states in the Global South don’t move too close to the perils of what industry figures often call “resource nationalism.” It seems not to matter what...canadiandimension.com
Huyo toka ile mada yake kuhusu Mama Samia anaonekana anayapima mambo kiutoto utoto sana.Hakuna msaada wa bure, wao wanakomba mara kibao ya wanavyoleta.
Mfano mzuri Magufuli alipigwa biti asiwaguse Barrick la sivyo wanasitisha misaada.
Baada ya kuanza kushambuliana kuhusu misaada fikirieni ni vipi mtaji toa kwenye budget deficit,
Sio sifa kujisifia misaada.
Mbona unajitungia comment na kujijibu badala ya Kujibu hoja yangu?Ukivunja kiholela mkataba ulioingia mwenyewe utapigwa tu, na hata kama utapigwa kwa kuonewa, wewe mwenyewe utakuwa umejiwekea mazingira ya kupigwa na kutetewa kwako kuwe kugumu.
Laumu aliyeingia mkataba mbovu. Laumu aliyevunja mkataba kiholela. Utalaumu vipi wafanyabiashara wajanja waliojiwekea mazingira ya kushinda, pamoja na nchi zao zinazowatetea kwa kufuata mifumo ya sheria?
Unaliangalia tatizo kutoka upande usio sahihi. Hapa wa kulaumiwa ni viongozi wa Tanzania. Kuanzia walioingia mkataba mpaka Magufuli. Si Barrick wala serikali ya Canada.
Anayekupa msaada ana uhuru wa kukuwekea masharti yoyote anayoyataka na kusitisha msaada wake kwa sababu zake zozote, si msaada anatoa yeye, unataka kumpangia jinsi ya kutoa msaada?
Anza na NDUI (smallpox)ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi.
Aisee leo umeongea pumba.Mungu Wabariki Wazungu