Huu ni aina ya utapeli au ni watu wamekosa kazi ya kufanya na wanaofanya haya wanataka nini? Labda kutaka kukukomoa sijui!

Ukitapeliwa hivyo wewe ni jinga
 
Ndugu ninakushangaa mno kwa kiwango cha ujinga ulio nao. Inawezekanaje mtu humfahamu akuagize jambo? Pia kwa jinsi bodaboda zilivyotapaka hawezi kupata huko aliko? Dah! Inatia hasira mno uwepo wa watu wajinga kama wewe nchini.
 
Huyo
Na nani anayekufanyia hivyo? Anakujua huyo mtu au? Kwanini mtu from nowhere akupigie simu alafu akuagize kitu nawe ufanye?
Huyo alienipigia simu kumhitaji boda boda alinitaja kwa jina langu, anaomba namba y boda ninaye mfahamu, ikabidi nimpigie boda kwanza kwamba kuna mtu yupo sehemu fulani anahitaji usafiri nimpe namba yako , boda akakubali namba yake nimpe.
Nilimpa namba wakawasiliana akamuagiza mchele na mafuta, akifika atampa hela, boda ameenda kununua anafika eneo husika kupiga simu hapokei, libidi nilipe mimi mchele na mafuta na usafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…