Bonheur Travels Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 252
- 499
- Thread starter
- #61
Hii true Nchi kama Bulgaria vitu cheaper sana tena inaeza kuwa zaidi ya Bongo gharama kwenye usafiri tu
Kwa bahati mbaya Watanzania wengi hawalielewi hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii true Nchi kama Bulgaria vitu cheaper sana tena inaeza kuwa zaidi ya Bongo gharama kwenye usafiri tu
Ahsante kwa majibu mazuri ila nina bado sijaridhika.Maswali mazuri, tutajitahidi kuyafafanua kama ifuatavyo:
1. Ukisoma maelezo ya package utaona kuna siku 4 hadi 5 za kuwepo huko. Siku zinaanza kuhesabika pale utakapopokelewa kwenda hotelini...
1. Mdau, swali hili uliuliza directly tukakosa jibu la moja kwa moja kwa sababu machaguo ya vyakula yanatofautiana mtu na mtu. Hakuna bei moja ndio sababu tukasema vyakula na bei zake vipo kwenye menu ya hoteli husika.Ahsante kwa majibu mazuri ila nina bado sijaridhika.
1.Kushindwa kujibu namba 5 kunafanya mtu ashindwe kujiandaa hasa kwa bajeti yake angalau ungeweka makadirio ya jumla kwamba angalau ukila chakula cha kawaida kwa siku utatumia...
Hii itakufanya ulale chumba single??Kiukweli tatizo sio kibunda bali ni taarifa mkuu Joseverest. Watanzania wengi hawajui kuwa baadhi ya safari za kutalii nje ya nchi ni cheap zaidi kuliko hata za hapa ndani.
Mfano katika Msimu huu zipo packages za kwenda Uturuki na gharama inaanzia laki 5 tu ($230) kwa siku 4 hadi 5. Utashindwaje hapo?
Nipo Congo Brazaville nabarizi, ni short holiday ya mwanzo wa mwaka na tutafanya nyengine kabla ya July in shaa Allah.Hebu tangaza biashara vizuri.
Weka packages zenu na huduma mnazotoa pamoja na gharama zake kwa ukamilifu na uwazi kabisa.
Weka Jina la kampuni na physical location pia anonymity ya JF usiilete kwenye biashara.
Relief Mirzska muda wa kuzurura unakaribia.
Hapana. Never ever!Kwamba nikiweka laki tano mezani mm nafika, nalala,nakula na kurudi kwa laki tano ?
Muwe mnasoma na kuelewa jamani.Nasubiri jibu.
Musiwe rahisi kutukana watu wadau.Si unaona sasa umeanza kufunguka taratibu. nyie ni matepeli kwa kuwa hamuweki taarifa wazi mpaka mbanwe banwe
Hawa watu ni wa ajabu sana.Mtu anayeelewa hizi tours akisoma ujumbe wako atashangaa au kusikitika sana. Badilisha mindset mkuu. Mambo siyo magumu hivyo!
Mkuu hii ni bei kubwa sana and I doubt itDuh changamoto ni gharama ya tiketi ya ndege, nimecheki Qatar airways mpaka Istanbul ni dola 1500 hivi, jumla na return ticket ni kama dola 3000 hivi, hivyo sio poa cha msingi tutafute nauli tu wakuu, ila kuzurura huko ulaya sio ghali
Someni mueleweGharama za usafiri kutoka Tanzania hadi Uturuki kwenda na kurudi ni kwa dola hizo 230 jumulisha malazi na sehemu za utalii ama inakuwaje?
Mbona napata wasiwasi?
Hajasema hivyoMkuu hebu tusaidie mchanganuo $230 nauli kwenda na kurudi bei gani? Siku 4/5 kwa siku bei gani?
Hapo mwanzo hakufafanua ila nilishamuelewa tayariSomeni muelewe
Why you say so bestyyyy??Huyu bado sana hata kutufanyia marination hajui.
Tusiwe very negative wadau.Hapo mwanzo hakufafanua ila nilishamuelewa tayari
Nani kahisi kataka kutapeliwa? Ni katika kuhoji tu maana hakuwa muwazi hapo mwanzo alipoweka uzi wake. Au tumefanya vibaya kuhoji???Tusiwe very negative wadau.
Yaani kila jambo watu mnahisi mnataka kutapeliwa tu