Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
Jibu unalo wanachangia pato la taifaWanalipa kiingilio kama ambavyo ukienda disko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu unalo wanachangia pato la taifaWanalipa kiingilio kama ambavyo ukienda disko.
Jibu unalo wanachangia pato la taifaWanalipa hawatumii bure
KwaniniElimu yako ni duni
Stupid madakoTatizo lako wewe mtumbafu unayejiita mpigwa kirungu ni kuwa hukuwahi kuhoji haya wakati baba yako akiwa kwenye jungu kuu la asali! Uliwahi kuhoji mikutano ya CCM kufanyikia ikulu enzi zile? Je, uliwahi kuhoji makada wa chama kuteuliwa MaDED na kauli za siwezi kukulipa mshahara utangaze mpinzani kashinda uchaguzi?
Akili yako haina akili. Kizazi cha hovyo.Mkuu mbona na wao wanaingia ama kuvitumia ilihali sio wanachama!?
Halina akiliAkili yako haina akili. Kizazi cha hovyo.
Kwanini?? Jibu hojaAkili yako haina akili. Kizazi cha hovyo.
Kwanini?? Jibu hojaHalina akili
Kaitaba?Umesahau na Bukoba wamezungushia fremu za maduka naelekea kuezeka nikajiuliza hela zimetoka wapi hizi za ghafla bin vuu!!
Mkuu waache wavikarabati vitakuja kurudi serikalini ni suala la muda tuComplete violation of the constitution of URT.
[emoji116]Serikali katika mwaka 2022/23 imetenga kiasi cha Sh. 10 bilioni kwa ajili ya Ukarabati wa viwanja saba vilivyopo katika Majiji, ambavyo ni Jamhuri – Dodoma, Sheikh Amri Abeid - Arusha, Sokoine - Mbeya, CCM Kirumba – Mwanza, na Mkwakwani – Tanga-Mohamed Mchengerwa https://t.co/xX4KTXeWzDView attachment 2252140
Wanachangiaje pato la taifa, inaelekea hauelewi kinachoongelewa.Jibu unalo wanachangia pato la taifa
Uwanja wa ccm karibu na Kaitaba au karibu na ofisi za ccm mkoa, lile ghorofa/gofuKaitaba?
Itachukua muda kurudi serikalini.Mkuu waache wavikarabati vitakuja kurudi serikalini ni suala la muda tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sio kweli.Namna katiba ilivyo, huwezi tenganisha CCM na serikali...
Ndio maana kuna wakati unapata katibu mkuu wa CCM anatoa amri kwa waziri au mkuu wa mkoa, utadhani huyo katibu ni mteule wa Rais...
Hawajawahi kuruhusiwa hata mara moja kuvitumia, tutajue tarehe walizoingia humo nyanjaniMkuu mbona na wao wanaingia ama kuvitumia ilihali sio wanachama!?