christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Nashauri nguvu ingeelekezwa kumalizia kile kiwanja kipya cha kisasa Dodoma.Hivi viwanja vikongwe wangewaachia majiji yenyewe yavirekebishe kwa bajeti zao za ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi za mpira wa miguuHawajawahi kuruhusiwa hata mara moja kuvitumia, tutajue tarehe walizoingia humo nyanjani
Hauna ujanja huo, utalipa tu.Mimi silipi
Wewe unaishi dunia gani! Viwanja vyote vya serikali CCM ilivichukua sasa majiji yatakarabati kwa kutumia fungu gani la pesa! Hawaruhusiwi.Nashauri nguvu ingeelekezwa kumalizia kile kiwanja kipya cha kisasa Dodoma.Hivi viwanja vikongwe wangewaachia majiji yenyewe yavirekebishe kwa bajeti zao za ndani.
Wanaingia kwa viingilio kutunisha CCM. Kodi ya wananchi kukarabati viwanja vya CCM si sawa. CCM ikope bank, au ivirudishe serikalini.Mkuu mbona na wao wanaingia ama kuvitumia ilihali sio wanachama!?
CCM inakusanya Mapato ya Viwanja hivyo Walipaswa wavirekebishe kwa Mapato hayo hayo kwani wanapeleka Wapi hayo Mapato?CCM walitoa wapi hela za kujenga viwanja vyote hivyo?
Kama vilijengwa kwa kodi kuna ubaya gani vikibireshwa kwa kodi. CCM ikitoka vitarudi serikalini.
Mimi ndo ninaye changisha hizo helaHauna ujanja huo, utalipa tu.